Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Kigwangalla hatarini CCM

Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamis Kigwangalla yuko hatarini kuvuliwa uanachama wa chama hicho, hatua ambayo endapo itachukuliwa itasababisha apoteze nafasi yake ya ubunge.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kigwangalla: Ni makosa kubeza kazi kubwa iliyofanywa na CCM

Dk Hamisi Kigwangalla MBUNGE wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla amewataka Watanzania kutokejeli utendaji na kazi kubwa inayofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na viongozi wake katika kutekeleza Ilani kwa kuwaletea wananchi wake maendeleo, kwa madai kuwa si viongozi wote walio ndani ya “Boti ya CCM” ni wabovu.

 

5 years ago

Michuzi

DKT. KIGWANGALLA AELEZA MAFANIKIO YA CCM JIMBO LA NZEGA VIJIJINI

Sehemu ya pikipiki 40 na Baiskeli 736 zilizotolewa na Mbunge wa jimbo la Nzega Vijijini na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla kwa Chama Cha Mapiduzi ikiwa ni mchango wake wa kusaidia utendaji wa shughuli za Chama hicho kwenye Kata na matawi mbalimbali ya jimbo hilo.Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mlezi...

 

10 years ago

Vijimambo

Salamu za Mbunge wa Nzega -CCM Dr. Hamisi Kigwangalla kwa Watanzania , Mwaka Mpya 2015


 Mbunge wa Nzega -CCM Dr Hamisi Kigwangalla-Ni Mwaka Mpya Tena! Dr. Hamisi Kigwangalla, MB.Ndugu Watanzania wenzangu,Kwa heshima na taadhima na kwa moyo wa kiutumishi, najisikia furaha kuwatumia salamu za Mwaka mpya 2015. Kwa hakika Mungu amekuwa mwema sana kwangu na kwako mwaka 2014 kwa namna nyingi mbalimbali, ila kwa kiasi kikubwa kwa kutujalia zawadi ya uhai, mafanikio kwenye kazi zetu, uvumilivu tulipoanguka, nguvu tulipokutana na changamoto mbalimbali, na uwezo wa kupambana nazo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kigwangalla akamatwa na Polisi

JESHI la Polisi wilayani Nzega, mkoani Tabora limemkamata na kumuachia kwa masharti Mbunge wa Nzega, Dk. Hamis Kigwangallah, kwa madai ya kuongoza maandamano ya wachimbaji wadogo wa dhahabu ambao wanapinga...

 

10 years ago

Mwananchi

Kigwangalla: Ninautaka urais

Mbunge wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla (CCM) ametangaza nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu 2015, huku akisema siyo lazima uwe mtoto wa tajiri au kiongozi ndiyo uonyeshe kipaji chako.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Kigwangalla: Urais hauhitaji uzoefu

>Mbunge wa Jimbo la Nzega, Dk Hamis Kigwangalla ametangaza kwa mara ya pili  kuwania urais wa Tanzania akitoa vipaumbele vitatu na kufafanua kuwa urais hauhitaji uzoefu.

 

11 years ago

Mwananchi

Dk. Kigwangalla amshushia tuhuma Sitta

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Dk. Abdalah Kigwangalla, jana alimtuhumu waziwazi Mwenyekiti Samuel Sitta kuwa anapendelea kundi la walio wachache.

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge Kigwangalla kugombea urais

MBUNGE wa Jimbo la Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla ametangaza nia ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka kesho.

 

10 years ago

Mwananchi

Kigwangalla atenga mapesa ya urais 2015

Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamis Kigwangalla amesema amejiandaa vizuri kifedha kuzunguka nchi nzima kuusaka urais mwaka 2015, huku akijisifu kuwa ni mwadilifu asiye na chembe ya doa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani