Dk Kigwangalla hatarini CCM
Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamis Kigwangalla yuko hatarini kuvuliwa uanachama wa chama hicho, hatua ambayo endapo itachukuliwa itasababisha apoteze nafasi yake ya ubunge.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Oct
Kigwangalla: Ni makosa kubeza kazi kubwa iliyofanywa na CCM
MBUNGE wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla amewataka Watanzania kutokejeli utendaji na kazi kubwa inayofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na viongozi wake katika kutekeleza Ilani kwa kuwaletea wananchi wake maendeleo, kwa madai kuwa si viongozi wote walio ndani ya “Boti ya CCM” ni wabovu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SqosI_WlAEY/XuX8Uqb09EI/AAAAAAALtyM/ZdMs0Ia_v98uEYOeqiExS13KKxueZwM1ACLcBGAsYHQ/s72-c/picha-3AAA-2-768x512.jpg)
DKT. KIGWANGALLA AELEZA MAFANIKIO YA CCM JIMBO LA NZEGA VIJIJINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-SqosI_WlAEY/XuX8Uqb09EI/AAAAAAALtyM/ZdMs0Ia_v98uEYOeqiExS13KKxueZwM1ACLcBGAsYHQ/s640/picha-3AAA-2-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/picha-4AAA-1024x684.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-IRUMv7t-BkY/VKXQaRBHbPI/AAAAAAADLIU/FVC7ZS4GdRQ/s72-c/115.jpg)
Salamu za Mbunge wa Nzega -CCM Dr. Hamisi Kigwangalla kwa Watanzania , Mwaka Mpya 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-IRUMv7t-BkY/VKXQaRBHbPI/AAAAAAADLIU/FVC7ZS4GdRQ/s1600/115.jpg)
Mbunge wa Nzega -CCM Dr Hamisi Kigwangalla-Ni Mwaka Mpya Tena! Dr. Hamisi Kigwangalla, MB.Ndugu Watanzania wenzangu,Kwa heshima na taadhima na kwa moyo wa kiutumishi, najisikia furaha kuwatumia salamu za Mwaka mpya 2015. Kwa hakika Mungu amekuwa mwema sana kwangu na kwako mwaka 2014 kwa namna nyingi mbalimbali, ila kwa kiasi kikubwa kwa kutujalia zawadi ya uhai, mafanikio kwenye kazi zetu, uvumilivu tulipoanguka, nguvu tulipokutana na changamoto mbalimbali, na uwezo wa kupambana nazo...
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Kigwangalla akamatwa na Polisi
JESHI la Polisi wilayani Nzega, mkoani Tabora limemkamata na kumuachia kwa masharti Mbunge wa Nzega, Dk. Hamis Kigwangallah, kwa madai ya kuongoza maandamano ya wachimbaji wadogo wa dhahabu ambao wanapinga...
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Kigwangalla: Ninautaka urais
10 years ago
Mwananchi08 Jun
Dk Kigwangalla: Urais hauhitaji uzoefu
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Dk. Kigwangalla amshushia tuhuma Sitta
10 years ago
Habarileo08 Sep
Mbunge Kigwangalla kugombea urais
MBUNGE wa Jimbo la Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla ametangaza nia ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka kesho.
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Kigwangalla atenga mapesa ya urais 2015