Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigwangalla: Ni makosa kubeza kazi kubwa iliyofanywa na CCM

Dk Hamisi Kigwangalla MBUNGE wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla amewataka Watanzania kutokejeli utendaji na kazi kubwa inayofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na viongozi wake katika kutekeleza Ilani kwa kuwaletea wananchi wake maendeleo, kwa madai kuwa si viongozi wote walio ndani ya “Boti ya CCM” ni wabovu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

CCM BAGAMOYO YARIDHISHWA NA KAZI YA UTEKELEZAJI WA ILANI ILIYOFANYWA NA MGALU KIPINDI CHA MIAKA MITANO





****************************
NA MWAMVUA MWINYI, PWANI  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, kimeelezea kuridhishwa na kazi kubwa inayofanywa na Mbunge wa Viti Maalumu mkoani hapo ,Subira Mgalu.
Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa chama hicho wilayani hapa Alhaj Abdul Sharifu, katika Baraza la Jumuia ya Wanawake (UWT) lililofanyika Msata, ambapo Mgalu na Madiwani wa Viti Maalumu walisoma taarifa za utekelezaji wa kazi zao, katika kipindi cha miaka...

 

10 years ago

Michuzi

LOWASSA- NAWAPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA NAPE KWA KAZI KUBWA WANAYOIFANYA YA KUKIIMARISHA CHAMA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa kwa furaha na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa wakati wa mapokezi  yaliyofanyika Makuyuni, tayari kuanza ziara mkoani Arusha leo.ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuziMhe. Lowassa amewafagilia Kinana na Nape kwa kazi nzuri wanaoifanya ya kuzunguka mikoa...

 

10 years ago

Michuzi

CHAMA CHA CCM KINAKABILIWA NA KAZI KUBWA YA KUHAKIKISHA KINASHIDA UCHAGUZI WA MWAKA HUU-BALOZI SEIF ALI IDDI.

Mke wa Mbunge wa Kitope Mama Asha Suleiman Iddi akiwanasihi wazazi kuendelea kuwaonyesha njia watoto wao wakati akizungumza kwenye mkutano wa ccm wa Matawi ya Kumbaurembo na Cairo katika Kijiji cha Kiwengwa ndani ya Jimbo la Kitope.Kulia ya Mama Asha ni Mbunge wa Jimbo la Kitope ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akimjuilia Hali Muwasisi wa ASP na Muanzilishi wa CCM Bibi Fatma Suleriman Sio Katika Kijiji cha Kiwengwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Kigwangalla hatarini CCM

Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamis Kigwangalla yuko hatarini kuvuliwa uanachama wa chama hicho, hatua ambayo endapo itachukuliwa itasababisha apoteze nafasi yake ya ubunge.

 

9 years ago

Michuzi

DK. KIGWANGALLA AFANYA ZIARA MUHIMBILI NA KUKAGUA MASHINE ZA CT-SCAN NA MRI, AFURAHISHWA NA UTENDAJI KAZI

IMG_0910Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Dk. Hamisi Kingwangalla akimpongeza Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Prof. Lawrence Mseru baada ya kuona mabadiliko makubwa katika hospitali hiyo tangu alipokaimu kiti hicho wakati wa zaiara ya kushtukiza katika chumba kilichofungwa mashine mpya ya CT-Scan iliyonunuliwa na Serikali hivi karibu na inauwezo mkubwa wa kufanya kipimo kwa sekunde 6 na kutoa majibu. Kulia ni Mkuu wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Baadhi ya makosa wafanyayo viongozi mahali pa kazi — 1

Ni ukweli usiopingika kuwa kufanya makosa ni sehemu ya ubinadamu na kukosea ni kujifunza. Pia, wahenga walinena kujikwaa si kuanguka. 

 

5 years ago

Michuzi

DKT. KIGWANGALLA AELEZA MAFANIKIO YA CCM JIMBO LA NZEGA VIJIJINI

Sehemu ya pikipiki 40 na Baiskeli 736 zilizotolewa na Mbunge wa jimbo la Nzega Vijijini na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla kwa Chama Cha Mapiduzi ikiwa ni mchango wake wa kusaidia utendaji wa shughuli za Chama hicho kwenye Kata na matawi mbalimbali ya jimbo hilo.Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mlezi...

 

9 years ago

Michuzi

JITAMBUE KISHERIA UNAPOFUKUZWA KAZI KWA MAKOSA YA KINIDHAMU.

Na  Bashir  Yakub


Kisheria  yapo  mambo  mengi  ambayo  huweza  kubatilisha  mkataba  wa  ajira  kati  ya  mwajiri  na  mwajiriwa. Mkataba  wa  ajira  sawa  na  mikataba  mingine  yote huzaliwa,  huishi  na  hufa. Huzaliwa  pale  tu  unaposainiwa ,  huishi  pale  unapoanza  kutekelezwa  na  hufa   pale  yanapojitokeza  baadhi  ya  mambo  ambayo  yameainishwa  na  sheria  kama  mambo  yanayoua mkataba  wa  ajira. Aidha zipo  taratibu  maalum  za  kumaliza/kuua  mkataba  wa  ajira  na  hii ...

 

10 years ago

Vijimambo

Salamu za Mbunge wa Nzega -CCM Dr. Hamisi Kigwangalla kwa Watanzania , Mwaka Mpya 2015


 Mbunge wa Nzega -CCM Dr Hamisi Kigwangalla-Ni Mwaka Mpya Tena! Dr. Hamisi Kigwangalla, MB.Ndugu Watanzania wenzangu,Kwa heshima na taadhima na kwa moyo wa kiutumishi, najisikia furaha kuwatumia salamu za Mwaka mpya 2015. Kwa hakika Mungu amekuwa mwema sana kwangu na kwako mwaka 2014 kwa namna nyingi mbalimbali, ila kwa kiasi kikubwa kwa kutujalia zawadi ya uhai, mafanikio kwenye kazi zetu, uvumilivu tulipoanguka, nguvu tulipokutana na changamoto mbalimbali, na uwezo wa kupambana nazo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani