Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Save the Children, EU waanzisha kampeni ya Baba Bora

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Save the Children kwa kushirikiana na Jumuiya ya Ulaya (EU), wameanzisha kampeni ya ‘Baba Bora’ inayolenga kuwahamasisha wanaume kushiriki katika malezi na kutetea haki za watoto na wanawake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Waanzisha kampeni ya amani

TAASISI ya Suleiman Kova Security and Disaster Management (SUKOS) imeanzisha kampeni maalumu ya kudumisha amani na upendo. Kampeni hiyo inakuja baada ya wadau wa taasisi hiyo kusema kuwa wameona nchi imeanza kuonesha viashiria vya kutoweka kwa amani kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ukosefu wa ajira pamoja na ugumu wa maisha.

 

10 years ago

TheCitizen

Help parents, save children

Several million Tanzanian youngsters under 18 are engaged in child labour, according to information put out at a three-day international meeting in Dar es Salaam on Tuesday. A 2013 survey study shows some three million children aged five to 14 are already working.

 

10 years ago

Habarileo

Mviwata waanzisha kampeni ya afya katika masoko yake

MTANDAO wa vikundi vya wakulima nchini (Mviwata)- tawi la Mkoa wa Rukwa umeanzisha mpango wa upimaji kwa hiyari afya kwa kila mkulima anayefanya biashara kwenye vituo vya masoko ya mtandao huo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wafanya biashara wa chakula mkoa wa Dar Es Salaam waanzisha jumuiya ya Mama na Baba lishe!

4.Baadhiyaakinamamalishenababalishewakiwakwenyemaadhimishohayo.Baadhi ya akina mamalishe na babalishe wakiwa katika moja ya majumuiko yao (Picha kwa msaada wa mtandao wa Global Publisher.

Na Rabi Hume

Wafanya biashara wa kuuza chakula katika mkoa wa Dar es Salaam wameanzisha jumuiya ya wafanya biashara hao ikiwa na lengo la kuunganisha wafanyabiashara hao, kulinda haki zao na kuzitafutia ufumbuzi wapatapo tatizo.

Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa jumuiya hiyo, Ramadhani Mhonzu amesema kuwa wameamua kuanzisha jumuiya hiyo ili iweze...

 

10 years ago

BBC

How did Rwanda save 590,000 children?

How did Rwanda save 590,000 children?

 

10 years ago

TheCitizen

EDITORIAL: We must save children from wayward parents

>According to a story we ran yesterday, police in Sumbawanga are holding a woman who beat up her own child and then burnt his hand, ostensibly to teach him a lesson for stealing food. And, as if that was not bad enough, she locked him in a room for four days without food!

 

5 years ago

Morocco World News

Save the Children: Coronavirus Could Kill Millions in Sub-Saharan Africa

Save the Children: Coronavirus Could Kill Millions in Sub-Saharan Africa  Morocco World News'Can they get COVID-19?' and other questions about pets during a pandemic  euronews (in English)Covid and the courts  News4JAXDamilola Ogunbiyi SEforALL Power in a pandemic: Why energy access matters during coronavirus Reliable, affordable electricity  Thomson Reuters FoundationAfrica faces grave risks as COVID-19 emerges, says Berkeley economist  UC BerkeleyView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Dewji Blog

Save the Children yaikabidhi pikipiki tano Wizara ya Afya Zanzibar

2 (1)Mwakilishi  wa Shirika la kuhudumia watoto Zanzibar (Save the children)  Mali lisson akimkabidhi funguo za pikipiki tano, Naibu waziri  wa  Afya  Mahmoud Thabit Kombo
kwa ajili ya wakuu wa vitengo vya mkono kwa mkono  wa wilaya katika hafla  iliyofanyika  wizara ya Afya  mnazimmoja  mjini Zanzibar. (picha zote na Miza Othman –maelezo zanzibar).

3 (1) Naibu waziri wa Afya Mahmoud Thabit  Kombo akitia saini  baada ya kupokea
pikipiki tano kwa ajili ya kuwarahisishia kazi  wakuu wa vitengo vya...

 

9 years ago

Bongo5

Mashabiki wa Alikiba shingoni mwa MTV Base, waanzisha kampeni ya kuitaka icheze video zake

12362286_1753528134868355_448805419_n

MTV Base hawapumui sababu mashabiki wa Alikiba wapo shingoni mwao.

12362286_1753528134868355_448805419_n

Hilo limekuja baada ya tawi lake la Afrika Mashariki, MTV Base East kuanzisha shindano dogo kwenye Twitter (Face Off Tanzania) wakiwataka mashabiki kumtaja msanii aliyefanya vizuri Tanzania mwaka 2015 na kuwaweka Alikiba, Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz.

Watu zaidi ya 1500 walipiga kura na Alikiba alishinda mtanange huo kama inavyoonekana hapo chini.

#FaceOff Tanzania Who ruled 2015?

— MTV Base East (@MTVBaseEast)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani