Mviwata waanzisha kampeni ya afya katika masoko yake
MTANDAO wa vikundi vya wakulima nchini (Mviwata)- tawi la Mkoa wa Rukwa umeanzisha mpango wa upimaji kwa hiyari afya kwa kila mkulima anayefanya biashara kwenye vituo vya masoko ya mtandao huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo02 Sep
Waanzisha kampeni ya amani
TAASISI ya Suleiman Kova Security and Disaster Management (SUKOS) imeanzisha kampeni maalumu ya kudumisha amani na upendo. Kampeni hiyo inakuja baada ya wadau wa taasisi hiyo kusema kuwa wameona nchi imeanza kuonesha viashiria vya kutoweka kwa amani kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ukosefu wa ajira pamoja na ugumu wa maisha.
10 years ago
Habarileo15 Mar
NHIF, Wizara ya Afya katika kampeni kubwa ya damu salama
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kupitia Mpango wa Taifa wa Damu Salama, utaendesha shughuli ya upimaji wa afya na kukusanya damu salama katika mikoa sita.
10 years ago
Habarileo22 Nov
Save the Children, EU waanzisha kampeni ya Baba Bora
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Save the Children kwa kushirikiana na Jumuiya ya Ulaya (EU), wameanzisha kampeni ya ‘Baba Bora’ inayolenga kuwahamasisha wanaume kushiriki katika malezi na kutetea haki za watoto na wanawake.
9 years ago
StarTV15 Dec
UKAWA waahidi kuimarisha huduma za afya, maji safi katika Kampeni Za Ubunge Masasi
Ikiwa zimebaki siku tano kufanyika kwa uchaguzi mdogo katika jimbo la Masasi Mkoani Mtwara Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA vimeendelea kufanya kampeni ambapo suala la kuboresha uuzwaji wa Korosho,Upatikanaji wa maji safi na Salama pamoja na huduma bora katika vituo vya afya kuchukua nafasi katika kampeni hizo.
Baadhi ya Viongozi wa Vyama vya Chadema Pamoja na Chama cha wananchii CUf wameendelea kufanya kampeni huku wakiwaomba wananchii kumchagua kundambanda kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AyqZ-Fdk1Yw/VHAWrMln8bI/AAAAAAAGyzo/srQbCUWcFdE/s72-c/D92A4106.jpg)
Rais Kikwete atolewa nyuzi katika mshono,Afya yake yazidi kuimarika
![](http://2.bp.blogspot.com/-AyqZ-Fdk1Yw/VHAWrMln8bI/AAAAAAAGyzo/srQbCUWcFdE/s1600/D92A4106.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Xuv-aLuA6dc/VHAWwuaA0gI/AAAAAAAGyzw/baHv5jX6x0U/s1600/0L7C0136.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N7*qQ6E0U5Lg68yi7GxeoWZAVWuA7blvsjX*gzVuJlVn4hB7NEFotMPCMxEYwJ5C0w6fSWQNZFYIFK2Lejk8p6F8uxK1Q9WN/D92A4106.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATOLEWA NYUZI KATIKA MSHONO, AFYA YAKE YAZIDI KUIMARIKA
9 years ago
Bongo507 Jan
Mashabiki wa Alikiba shingoni mwa MTV Base, waanzisha kampeni ya kuitaka icheze video zake
![12362286_1753528134868355_448805419_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/12362286_1753528134868355_448805419_n-300x194.jpg)
MTV Base hawapumui sababu mashabiki wa Alikiba wapo shingoni mwao.
Hilo limekuja baada ya tawi lake la Afrika Mashariki, MTV Base East kuanzisha shindano dogo kwenye Twitter (Face Off Tanzania) wakiwataka mashabiki kumtaja msanii aliyefanya vizuri Tanzania mwaka 2015 na kuwaweka Alikiba, Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz.
Watu zaidi ya 1500 walipiga kura na Alikiba alishinda mtanange huo kama inavyoonekana hapo chini.
#FaceOff Tanzania Who ruled 2015?
— MTV Base East (@MTVBaseEast)...
9 years ago
Dewji Blog05 Dec
PSPF waanzisha kampeni mpya ya mtaa kwa mtaa kuhamasisha wanachama wake!
![](http://3.bp.blogspot.com/-zDzQydVn6iw/VlnL1taDRUI/AAAAAAABZXk/KALo3gV627Y/s640/vlcsnap-2015-11-28-17h41m47s240.png)
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA MASOKO, NEC, OSIEA PAMOJA NA WASANII WAZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA UPIGAJI KURA