KAMPUNI YA MASOKO, NEC, OSIEA PAMOJA NA WASANII WAZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA UPIGAJI KURA
Mmoja wa Wakurugenzi wa Kampuni ya Masoko inayojihusisha na masuala ya mawasiliano na masoko, Conctantine Magavila (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati wa uzinduzi wa kampeni maalumu ya kuhamasisha vijana kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura na hatimaye kupiga kura ilijulikanayo kama 'Kuradili". Kampuni hiyo itafanya kampeni hiyo katika mikoa kadhaa kwa kushiriakiana na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Shirika la Open...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Wasanii wahimizwa kupaza sauti upigaji wa kura
NA ASIFIWE GEORGE
MSANII kutoka kundi la Weusi, Nickson Saimon (Niki wa Pili), mwanasiasa Chikulupi Kasaka, mjasiriamali Modesta Mahinga na Mbunge Steven Masele wameshiriki katika mdahalo wa vijana uliojadili mambo mbalimbali wanayotaka yafanyike katika uchaguzi mkuu wa Tanzania Oktoba, mwaka huu.
Mdahalo huo umeandaliwa na taasisi ya Tanzania Bora Initiative, ikiwa na lengo la kuweka msimamo kwa vijana katika uchaguzi utakaoweza kusaidia kushiriki kikamilifu katika hatua zote za uchaguzi na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kF3RjTpaWHk/VMi77YNMiyI/AAAAAAAG_3U/GNWv7iy9tn4/s72-c/1..jpg)
WASANII WATAKIWA KUTOA ELIMU YA UPIGAJI KURA
Wasanii nchini wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kutoa elimu ya uraia kwa wananchi ili watambue umuhimu wa kupiga kura na kuwaweka madarakani viongozi wanaowataka.
Wito huo umetolewa mapema wiki hii na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza wakati akichangia mada kuhusu Umuhimu wa Jamii kupiga kura kwenye Jukwaa la Sanaa linalofanyika makao makuu ya BASATA Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam.
“Kama taifa tunazungukwa na matukio mengi...
10 years ago
GPLWASANII WAANDAA TAMASHA LA KUHAMASISHA KUPIGA KURA
10 years ago
Habarileo12 Jun
Kampeni ya kuhamasisha daftari la kura yazinduliwa
KAMPENI maalumu ya kuwahamasisha vijana kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura na hatimaye kupiga kura, imezinduliwa jijini Dar es Salaam jana.
9 years ago
Dewji Blog17 Aug
Tume ya Uchaguzi ‘NEC’ yaombwa zoezi la upigaji kura lianze saa 12:00 Asubuhi Shinyanga
Baadhi ya waandishi wa habari 25 kutoka mikoa ya Singida, Katavi, Kigoma na Shinyanga,waliohudhuria mafunzo ya uandishi bora wa habari za uchaguzi yaliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Vigimark hotel nje kidogo ya mji wa Shinyanga. Mafunzo hayo ya siku tano, yaliratibiwa na Baraza la habari (MCT) na kufadhiliwa na BBC Media Action .Wa tatu kulia waliosimama, ni mwandishi wa habari wa Modewji blog, Singida, Bw. Nathaniel Limu.
Baadhi ya barabara ndani ya manispaa ya Shinyanga.(Picha na...
9 years ago
Bongo529 Sep
Hemedy PHD: Ningependa wasanii tusaidie kutoa elimu ya upigaji kura kuliko kushabikia vyama
10 years ago
Mwananchi27 May
MAONI: NEC, uandikishaji usiende pamoja na kampeni
9 years ago
BBCSwahili25 Oct
Wapiga kura Kariakoo kuhusu upigaji kura
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Kasoro kibao upigaji kura