Wasanii wahimizwa kupaza sauti upigaji wa kura
NA ASIFIWE GEORGE
MSANII kutoka kundi la Weusi, Nickson Saimon (Niki wa Pili), mwanasiasa Chikulupi Kasaka, mjasiriamali Modesta Mahinga na Mbunge Steven Masele wameshiriki katika mdahalo wa vijana uliojadili mambo mbalimbali wanayotaka yafanyike katika uchaguzi mkuu wa Tanzania Oktoba, mwaka huu.
Mdahalo huo umeandaliwa na taasisi ya Tanzania Bora Initiative, ikiwa na lengo la kuweka msimamo kwa vijana katika uchaguzi utakaoweza kusaidia kushiriki kikamilifu katika hatua zote za uchaguzi na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kF3RjTpaWHk/VMi77YNMiyI/AAAAAAAG_3U/GNWv7iy9tn4/s72-c/1..jpg)
WASANII WATAKIWA KUTOA ELIMU YA UPIGAJI KURA
Wasanii nchini wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kutoa elimu ya uraia kwa wananchi ili watambue umuhimu wa kupiga kura na kuwaweka madarakani viongozi wanaowataka.
Wito huo umetolewa mapema wiki hii na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza wakati akichangia mada kuhusu Umuhimu wa Jamii kupiga kura kwenye Jukwaa la Sanaa linalofanyika makao makuu ya BASATA Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam.
“Kama taifa tunazungukwa na matukio mengi...
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA MASOKO, NEC, OSIEA PAMOJA NA WASANII WAZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA UPIGAJI KURA
9 years ago
Bongo529 Sep
Hemedy PHD: Ningependa wasanii tusaidie kutoa elimu ya upigaji kura kuliko kushabikia vyama
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
Balozi wa Palestina awaomba wanahabari Tanzania kupaza sauti
![Balozi wa Palestina nchini Tanzania, Nasri Abu Jaish akizungumza katika mkutano na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0114.jpg)
Balozi wa Palestina nchini Tanzania, Nasri Abu Jaish akizungumza katika mkutano na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari.
![Mhadhiri mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Abdul Sheriff akiwasilisha mada katika mkutano huo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_00882.jpg)
Mhadhiri mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Abdul Sheriff akiwasilisha mada katika mkutano huo.
Sheikh Jalala (katikati) akizungumza katika mkutano huo.
![Meza kuu ikifuatilia majadiliano katika mkutano huo na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_00593.jpg)
Meza kuu ikifuatilia majadiliano katika mkutano huo na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari.
![Baadhi ya wahariri na wageni waalikwa wakiwa katika mkutano na ubalozi wa Palestina.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0056.jpg)
Baadhi ya wahariri na wageni waalikwa wakiwa katika mkutano na ubalozi wa Palestina.
![Baadhi ya wahariri na wageni waalikwa wakiwa katika mkutano na ubalozi wa Palestina.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0143.jpg)
Baadhi ya wahariri...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RYHBD6J0FNk/XnI80GIvNOI/AAAAAAALkNk/LYPR7H1gFME6M6XXiXag4UoXshLrNNZ1gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TUENDELEE KUPAZA SAUTI ZIMBABWE IONDOLEWE VIKWAZO-MAJALIWA
Amesema ili wasiache hata mmoja wao nyuma wanapoelekea kwenye utekelezaji wa Ajenda ya SADC ya baada ya mwaka 2020 yaani SADC Post 2020 Agenda, ni vyema wakaendelea kuisemea Zimbabwe katika majukwaa mbalimbali ya Kikanda na Kimataifa hadi vikwazo hivyo...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0114.jpg?width=650)
BALOZI WA PALESTINA AWAOMBA WANAHABARI TANZANIA KUPAZA SAUTI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MN7TnIRAUHw/XnJNiK-W9lI/AAAAAAALkVg/p45N-5up4GYSQRYjFWO5OJ7aDLdjvMckgCLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA: NCHI ZA SADC TUENDELEE KUPAZA SAUTI KUONDOLEWA VIKWAZO ZIMBABWE
Akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC leo Jumatano (Machi 18, 2020) Jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu Majaliwa alisema Tanzania kupitia nafasi yake ya Uenyekiti wa SADC imeendelea kupaza sauti kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hLoM0FckFO4/Vnp5g7c2cmI/AAAAAAAIOJ0/y0EiJR4LeQQ/s72-c/001.MOROGORO.jpg)
JESHI LA POLISI KITENGO CHA USALAMA BARABARANI PAMOJA NA VODACOM TANZANIA WAENDELEA KUTOA ELIMU KWA MADEREVA NA ABIRIA KUPAZA SAUTI
![](http://3.bp.blogspot.com/-hLoM0FckFO4/Vnp5g7c2cmI/AAAAAAAIOJ0/y0EiJR4LeQQ/s640/001.MOROGORO.jpg)
9 years ago
BBCSwahili25 Oct
Wapiga kura Kariakoo kuhusu upigaji kura