TUENDELEE KUPAZA SAUTI ZIMBABWE IONDOLEWE VIKWAZO-MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tanzania kwa nafasi yake ya Uenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)imeendelea kupaza sauti ya kuondoa vikwazo kandamizi vya kiuchumi vilivyowekwa katika Jamhuri ya Zimbabwe.
Amesema ili wasiache hata mmoja wao nyuma wanapoelekea kwenye utekelezaji wa Ajenda ya SADC ya baada ya mwaka 2020 yaani SADC Post 2020 Agenda, ni vyema wakaendelea kuisemea Zimbabwe katika majukwaa mbalimbali ya Kikanda na Kimataifa hadi vikwazo hivyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU MAJALIWA: NCHI ZA SADC TUENDELEE KUPAZA SAUTI KUONDOLEWA VIKWAZO ZIMBABWE
Akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC leo Jumatano (Machi 18, 2020) Jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu Majaliwa alisema Tanzania kupitia nafasi yake ya Uenyekiti wa SADC imeendelea kupaza sauti kwa...
5 years ago
CCM Blog
WAZIRI MKUU MAJALIWA ATOA MWITO KUENDELEA KUPAZWA SAUTI ZIMBABWE IONDOLEWE VIKWAZO

Amesema ili wasiache hata mmoja wao nyuma wanapoelekea kwenye utekelezaji wa Ajenda ya SADC ya baada ya mwaka 2020 yaani SADC Post 2020 Agenda, ni vyema wakaendelea kuisemea Zimbabwe katika majukwaa mbalimbali ya Kikanda na Kimataifa hadi vikwazo hivyo...
11 years ago
Michuzi.jpg)
NCHI 188 ZAPIGA KURA YA NDIYO YA KUTAKA CUBA IONDOLEWE VIKWAZO
.jpg)
Na Mwandishi Maalum , New York
Kwa mwaka wa 23 sasa hapo jana ( Jumanne ) Nchi wanachama wa Umoja wa...
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Wasanii wahimizwa kupaza sauti upigaji wa kura
NA ASIFIWE GEORGE
MSANII kutoka kundi la Weusi, Nickson Saimon (Niki wa Pili), mwanasiasa Chikulupi Kasaka, mjasiriamali Modesta Mahinga na Mbunge Steven Masele wameshiriki katika mdahalo wa vijana uliojadili mambo mbalimbali wanayotaka yafanyike katika uchaguzi mkuu wa Tanzania Oktoba, mwaka huu.
Mdahalo huo umeandaliwa na taasisi ya Tanzania Bora Initiative, ikiwa na lengo la kuweka msimamo kwa vijana katika uchaguzi utakaoweza kusaidia kushiriki kikamilifu katika hatua zote za uchaguzi na...
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
Balozi wa Palestina awaomba wanahabari Tanzania kupaza sauti

Balozi wa Palestina nchini Tanzania, Nasri Abu Jaish akizungumza katika mkutano na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari.

Mhadhiri mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Abdul Sheriff akiwasilisha mada katika mkutano huo.
Sheikh Jalala (katikati) akizungumza katika mkutano huo.

Meza kuu ikifuatilia majadiliano katika mkutano huo na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari.

Baadhi ya wahariri na wageni waalikwa wakiwa katika mkutano na ubalozi wa Palestina.

Baadhi ya wahariri...
11 years ago
GPL
BALOZI WA PALESTINA AWAOMBA WANAHABARI TANZANIA KUPAZA SAUTI
9 years ago
Michuzi
JESHI LA POLISI KITENGO CHA USALAMA BARABARANI PAMOJA NA VODACOM TANZANIA WAENDELEA KUTOA ELIMU KWA MADEREVA NA ABIRIA KUPAZA SAUTI

9 years ago
CCM Blog
PICHA RASMI ZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA NA MKEWE MAMA MARY MAJALIWA


11 years ago
Mwananchi19 Apr
‘NHC iondolewe kodi ya majengo’