Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashabiki wa Alikiba shingoni mwa MTV Base, waanzisha kampeni ya kuitaka icheze video zake

12362286_1753528134868355_448805419_n

MTV Base hawapumui sababu mashabiki wa Alikiba wapo shingoni mwao.

12362286_1753528134868355_448805419_n

Hilo limekuja baada ya tawi lake la Afrika Mashariki, MTV Base East kuanzisha shindano dogo kwenye Twitter (Face Off Tanzania) wakiwataka mashabiki kumtaja msanii aliyefanya vizuri Tanzania mwaka 2015 na kuwaweka Alikiba, Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz.

Watu zaidi ya 1500 walipiga kura na Alikiba alishinda mtanange huo kama inavyoonekana hapo chini.

#FaceOff Tanzania Who ruled 2015?

— MTV Base East (@MTVBaseEast)...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Video ya Jux yachezwa MTV Base

juxNA ELLY MHAGAMA (TUDARCO)

MSANII wa Bongo Fleva, Juma Mussa (Jux) ametambulisha video ya wimbo wake mpya aliouita ‘I m looking for you’ ambao picha za video yake imefanyika nchini Afrika Kusini.

Katika video hiyo aliyomshirikisha mwana hip hop, Joh Makini, ni ya kwanza kwa msanii huyo kuchezwa katika kituo cha kimataifa cha MTV Base.

Wimbo huo uliochezwa katika kituo hicho jana majira ya saa 12, video yake imeandaliwa na muongozaji kutoka Afrika Kusini, Justin Compos wa Gorilla Films huku...

 

9 years ago

Bongo5

Director Enos Olik wa Kenya azungumzia kuhusu wasanii kushoot video SA, na baadhi ya video kutoka EA kutochezwa Trace na MTV Base

enos4

Enos Olik ni muongozaji na mtayarishaji wa video za muziki kutoka Kenya, ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Afrika kuanzia A-list hadi wale wa kawaida.

enos-2

Shaa, Young Dee, Alikiba na Christian Bella ni baadhi ya wasanii wa Bongo ambao wameshampa ulaji director huyo kufanya video zao. Video zingine alizofanya ni ‘Kioo’ ya Jaguar, ‘Sura Yako remix’ ya Sauti Sol na Iyanya, ‘Never Been Loved’ ya Maurice Kirya, ‘Touch Me There’ ya Redsan ft. Nyla na zingine kadhaa wa kadhaa.

enos4

Bongo5...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Mtazame Vanessa Mdee akihost show ya #MadeOfBlack ya MTV Base

Mtazame Vanessa Mdee pamoja na watangazaji wengine wa MTV Base wakihost show ya Made of Black ambapo wasanii wakiwemo Fuse ODG walitumbuiza. Hii ni video iliyotokana na kampeni hiyo, ‘Black Commando’ ya Fuse ODG, Olamide & Stanley

 

9 years ago

Bongo5

Video mpya ya Chege ‘Sweety Sweety’ yaanza kuinyemelea chati ya MTV Base

chege nw

Ni ndoto za kila msanii anayewekeza pesa zake kwenda kufanya video nje ya nchi na waongozaji wa nje kuona video yake inampigisha hatua moja mbele, moja wapo ikiwa ni kuchezwa kwenye vituo vikubwa vya nje.

chege nw

Chege ni miongoni mwa wasanii walioachia video mpya hivi karibuni, na video yake ya ‘Sweety Sweety’ iliyoongozwa na Justin Campos wa kampuni ya Gorilla Films baada ya kupata airplay kwenye kituo cha MTV Base kwa siku 12 imeanza kunusa chati ya nyimbo bora za Afrika za kituo hicho wiki hii...

 

9 years ago

Bongo5

Video ya Yamoto Band ‘Cheza Kwa Madoido’ kutambulishwa MTV Base (Sept 2)

Miongoni mwa sabaabu ambazo wasanii wa Tanzania huzitoa wanapoamua kwenda kufanya video na madirector wa nje, moja wapo huwa ni kupata connection ya video zao kuchezwa katika vituo vya kimataifa. Yamoto Band pia wanaingia kwenye orodha ya wasanii wa Bongo ambao video zao zinaoneshwa na kituo cha MTV Base. Video yao ‘Cheza Kwa Madoido’ iliyoongozwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Video ya Shaa ‘Toba’ iliyoongozwa na Campos kutambulishwa na MTV Base Jumatatu Nov.23

Shaa MTV

Ile video mpya ya Shaa aka Malkia wa Uswazi, ‘Toba’ aliyoshoot na muongozaji Justin Campos wa Afrika Kusini na kukaa nayo ndani kwa muda mrefu, sasa itatambulishwa Jumatatu ya November 23.

Shaa MTV

Video hiyo itaoneshwa kwa mara ya kwanza na kituo cha MTV Base kupitia segement yao ya kutambulisha video mpya ‘Spanking New’, saa 12 za jioni saa za Afrika Mashariki.

Wimbo na video hiyo ni muendelezo wa kazi za Shaa kwenye mkataba wake na Said Fella pamoja na Babu Tale ambao pia ndio walihusika na...

 

9 years ago

MillardAyo

GoodNews ni hapa ilipofikia video ya #Game ya Navy Kenzo kwenye chati za MTV Base

Wasanii wawili wanaounda kundi la Navy Kenzo (Aika & Nahreel) wanazidi kupanda chart baada ya video ya wimbo wao Game waliyomshirikisha Vanessa Mdee kuendelea kushika  nafasi ya kwanza kwenye chati za MTV Base. Huku wakizishinda video 7 zilizoingia katika chati hiyo ya MTV Base. 7.Tecno – Duro 6.Joh Makini – Don’t Bother ft AKA 5.Cassper […]

The post GoodNews ni hapa ilipofikia video ya #Game ya Navy Kenzo kwenye chati za MTV Base appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Video ya wimbo mpya wa Joh Makini ft. AKA ‘Don’t Bother’kutambulishwa MTV Base (Nov.10)

Joh na AKA MTV

Baada ya Nikki Wa Pili wa Weusi kutambulisha wimbo wake mpya ‘Baba Swalehe’ Ijumaa iliyopita, sasa ni zamu ya kaka yake Joh Makini kuwaonesha mashabiki wake wa Tanzania na Afrika kwa ujumla kile alichoenda kufanya Afrika Kusini miezi kadhaa iliyopita.

Joh na AKA MTV

Video ya wimbo mpya wa Joh Makini aliomshirikisha rapper wa Afrika Kusini ‘AKA’ itatambulishwa kwa mara ya kwanza leo (Nov. 10) saa 12 jioni (saa za Afrika Mashariki) na kituo cha kimataifa cha MTV Base.

‘Don’t Bother’ imetayarishwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani