Video: Mtazame Vanessa Mdee akihost show ya #MadeOfBlack ya MTV Base
Mtazame Vanessa Mdee pamoja na watangazaji wengine wa MTV Base wakihost show ya Made of Black ambapo wasanii wakiwemo Fuse ODG walitumbuiza. Hii ni video iliyotokana na kampeni hiyo, ‘Black Commando’ ya Fuse ODG, Olamide & Stanley
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo513 Dec
Vanessa Mdee ashika nafasi ya pili kwenye orodha ya MTV Base ya wasanii wa kike walio juu Afrika
![12346294_444980479044924_1318155553_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12346294_444980479044924_1318155553_n-300x194.jpg)
Vanessa Mdee amekuwa na mwaka wenye mafanikio makubwa kimataifa.
Ndio muimbaji wa kike aliye busy zaidi na show si ndani tu ya Tanzania, bali Afrika nzima.
MTV Base wametoa orodha ya wasanii watano walio juu Afrika kwa sasa na hitmaker huyo wa Never Ever akishika nafasi ya pili.
Orodha hiyo ni:
1. Yemi Alade (Nigeria)
2. Vanessa Mdee (Tanzania)
3. Seyo Shay (Nigeria)
4. Cynthia Morgan (Nigeria)
5. Bucie (Afrika Kusini)
9 years ago
Bongo521 Oct
Video: Mtazame Iyanya akiufurahia na kuuimba wimbo wa Vanessa Mdee ‘Hawajui’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wib7New*8449JzCm7vuy20o0qs5Uz5h3CUBFj8cGSALM8n0D9ziE8f5zLwVoZN1KorbvjGuzubDtva2JiDuw2NqvNUbobUQS/MTV.jpg?width=650)
DIAMOND, VANESSA MDEE WATAJWA TUZO ZA MTV 2015
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-p5Qh8j-W54A/VZgi8cH2nqI/AAAAAAAHm5U/YjHiJyDga8g/s72-c/CJE8-L4UYAAl2Pu.jpg)
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Video ya Jux yachezwa MTV Base
NA ELLY MHAGAMA (TUDARCO)
MSANII wa Bongo Fleva, Juma Mussa (Jux) ametambulisha video ya wimbo wake mpya aliouita ‘I m looking for you’ ambao picha za video yake imefanyika nchini Afrika Kusini.
Katika video hiyo aliyomshirikisha mwana hip hop, Joh Makini, ni ya kwanza kwa msanii huyo kuchezwa katika kituo cha kimataifa cha MTV Base.
Wimbo huo uliochezwa katika kituo hicho jana majira ya saa 12, video yake imeandaliwa na muongozaji kutoka Afrika Kusini, Justin Compos wa Gorilla Films huku...
9 years ago
Bongo520 Nov
Director Enos Olik wa Kenya azungumzia kuhusu wasanii kushoot video SA, na baadhi ya video kutoka EA kutochezwa Trace na MTV Base
![enos4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/enos4-300x194.jpg)
Enos Olik ni muongozaji na mtayarishaji wa video za muziki kutoka Kenya, ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Afrika kuanzia A-list hadi wale wa kawaida.
Shaa, Young Dee, Alikiba na Christian Bella ni baadhi ya wasanii wa Bongo ambao wameshampa ulaji director huyo kufanya video zao. Video zingine alizofanya ni ‘Kioo’ ya Jaguar, ‘Sura Yako remix’ ya Sauti Sol na Iyanya, ‘Never Been Loved’ ya Maurice Kirya, ‘Touch Me There’ ya Redsan ft. Nyla na zingine kadhaa wa kadhaa.
Bongo5...
9 years ago
Bongo502 Sep
Video ya Yamoto Band ‘Cheza Kwa Madoido’ kutambulishwa MTV Base (Sept 2)