Director Enos Olik wa Kenya azungumzia kuhusu wasanii kushoot video SA, na baadhi ya video kutoka EA kutochezwa Trace na MTV Base
Enos Olik ni muongozaji na mtayarishaji wa video za muziki kutoka Kenya, ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Afrika kuanzia A-list hadi wale wa kawaida.
Shaa, Young Dee, Alikiba na Christian Bella ni baadhi ya wasanii wa Bongo ambao wameshampa ulaji director huyo kufanya video zao. Video zingine alizofanya ni ‘Kioo’ ya Jaguar, ‘Sura Yako remix’ ya Sauti Sol na Iyanya, ‘Never Been Loved’ ya Maurice Kirya, ‘Touch Me There’ ya Redsan ft. Nyla na zingine kadhaa wa kadhaa.
Bongo5...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo508 Dec
Hanscana aeleza alichojifunza SA kuhusu video nyingi za wabongo kutochezwa MTV na Trace

Baadhi ya wasanii wa Bongo ambao wamewahi kutuma video zao kwenye vituo vya MTV na Trace huwa wanaamini kuwa vituo hivyo vinaupendeleo, kutokana na kucheza video za wasanii wachache tu wa Tanzania licha ya wengi kujaribu kutuma kazi zao.
Director wa video nchini Hanscana alienda Afrika Kusini hivi karibuni, na miongoni mwa mambo aliyoyafanya huko ni pamoja na kujifunza jinsi ya kufanya kazi kwa kiwango cha kimataifa, na kutafuta ‘password’ za mageti ya kupeleka kazi zake kwenye channel za...
9 years ago
Bongo514 Dec
Director Enos Olik wa Kenya apata mtoto wa kwanza

Director wa video kutoka nchini Kenya, Enos Olik anaingia kwenye orodha ya mastaa wa Afrika Mashariki waliopata watoto mwaka huu.
December 12 ndio siku mke wake ambaye ni mtangazaji wa KTN alijifungua mtoto wao waliyempa jina la Aiden Olik.
“Welcome to the unforgiving world baby Aiden Olik… Daddy will always be here to support you.. Born 12/12/15…Your birthdays will be on a public holiday #FeelingBlessed.. With @misstamima” aliandika Enos Instagram iliyosindikizwa na picha ya mkono wa...
11 years ago
Bongo525 Oct
Wizkid na Victoria Kimani washoot video Kenya na Enos Olik
10 years ago
Bongo504 Nov
One Africa: Enos Olik wa Kenya aongoza video ya Butera Knowles wa Rwanda aliyemshirikisha Roberto wa Zambia

Kiwanda cha muziki cha Afrika kinazidi kuungana pamoja.
Kuanzia Kushoto: Butera Knowles, Enos Olik na Roberto
Miaka ya hivi karibuni wasanii wa Afrika wamekuwa wakishirikiana kwenye nyimbo zao za hivyo kuzidi kuusogeza karibu zaidi muziki wa bara hili.
Baada ya kutoka kuongoza video ya wimbo wa Christian Bella na Alikiba ‘Nagharamia’ iliyofanyika nchini Afrika Kusini, Enos Olik ameongoza tena video ya collabo ya wasanii wa Afrika.
Butera na Roberto walipokuwa wakielekea Nairobi kushoot...
11 years ago
Bongo515 Oct
Enos Olik aongoza video ya wimbo mpya wa Shaa
10 years ago
Bongo507 Mar
AY kushoot video ya ‘Zigo’ Zanzibar na director Nisher
11 years ago
Bongo530 Aug
Young Killer aanza kushoot video ya ‘Umebadilika’ na director Hefemi
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Video ya Jux yachezwa MTV Base
NA ELLY MHAGAMA (TUDARCO)
MSANII wa Bongo Fleva, Juma Mussa (Jux) ametambulisha video ya wimbo wake mpya aliouita ‘I m looking for you’ ambao picha za video yake imefanyika nchini Afrika Kusini.
Katika video hiyo aliyomshirikisha mwana hip hop, Joh Makini, ni ya kwanza kwa msanii huyo kuchezwa katika kituo cha kimataifa cha MTV Base.
Wimbo huo uliochezwa katika kituo hicho jana majira ya saa 12, video yake imeandaliwa na muongozaji kutoka Afrika Kusini, Justin Compos wa Gorilla Films huku...
9 years ago
Bongo530 Nov
Mo Music kwenda Afrika Kusini kushoot video ya ‘Skendo’ na director huyu…

Muimbaji wa Bongo fleva, Moshi Katemi maarufu kama Mo Music anatarajia kwenda nchini Afrika Kusini kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Skendo’ aliouachia hivi karibuni.
Hit Maker huyo wa ‘Basi Nenda’ amesema licha ya kuwa anaenda kushoot nje ya nchi lakini atamtumia director wa hapa nyumbani Adam Juma ambaye ndiye alishoot video zake mbili zilizopita.
“Sitaki kuwaangusha mashabiki wangu, nitakwenda Afrika Kusini kufanya video ya Skendo ila nitamtumia Adam Juma kwa sababu ni mwongozaji bora na...