Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Young Killer aanza kushoot video ya ‘Umebadilika’ na director Hefemi

Ikiwa ni zaidi ya mwezi mmoja toka wimbo wa ‘Umebadilika wa Young Killer Msodoki ulipoachiwa July 22, rapper huyo kutoka jiji la miamba (Rock City) Mwanza ameanza kushoot video ya wimbo huo aliomshirikisha Banana Zorro. Histry..beybiiii #UMEBADILIKA … Cc @hefemi @mxcarter – Young Killer Safari hii Msodoki amemkabidhi director Hefemi Mikoba ya kuiongoza video hiyo. […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music Video: Young Killer ft BananaZorro — Umebadilika

Young Killer Msodoki ameachia rasmi video ya wimbo wake ‘Umebadilika’ aliomshirikisha Banana Zorro. Video imeongozwa na director Hefemi.

 

10 years ago

Bongo5

Young Killer asema video ya ‘Umebadilika’ itakuwa bora kuliko zote alizowahi kufanya

Rapper Young Killer Msodoki, amedai kuwa video ya wimbo wake ‘Umebadilika’ aliomshirikisha Banana Zorro itakuwa bora zaidi kuliko video zote alizowahi kufanya. Video hiyo iliyoongozwa na Hefemi Studios imefanyika katika visiwa vya Mbudya jijini Dar es Salaam. Msodoki ameiambia Kikwetu Blog kuwa uzuri wa video hiyo utachangiwa na mandhari aliyoyatumia ambayo yatapendezeshwa na muonekano wa […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Fid Q na Young Killer waingia mtaani kushoot video ya ‘13’ muongozaji ni..

Wakati video ya ‘Umebadilika’ ikiwa njia kutoka, Young anaandaa silaha nyingine tena aliyomshirikisha kaka yake kimuziki, Fareed Kubanda aka Fid Q. Japo wawili hao hawajasema chochote kuhusiana na video hiyo, inaonekana kuwa inaongozwa na Nisher. Balaa linakuja!! Wakandarasi Nisher na Young Killer wakijadiliana kitu

 

11 years ago

Bongo5

Young Killer afunga ndoa ….. kwenye kava la single mpya ‘Umebadilika’

Ukimuuliza Young Killer utaoa lini? Huenda akawa na jibu tofauti kidogo na lile la Mwana FA. At least July 22 atakapoachia single yake mpya ‘Umebadilika aliyomshirikisha Banana Zorro, anaweza kukujibu ‘bado nipo nipo kidogo’. Kama lilivyo jina la single yake, yeye mwenyewe amebadilika pia kwakuwa ameamua kurekodi wimbo wake na producer Man Walter ambaye hajazoeleka […]

 

10 years ago

Bongo5

AY kushoot video ya ‘Zigo’ Zanzibar na director Nisher

AY ni miongoni mwa wasanii ambao wamekuwa wakifanya video zao nyingi nje ya Tanzania na madirector wa nje, lakini mwaka huu ameamua kufanya video ya single yake mpya hapa hapa nyumbani na director wa hapa. Ambwene Yessaya a.k.a AY amesema kuwa video ya wimbo wake mpya ‘Zigo’ itafanyika Zanzibar, na itaongozwa na director Nisher. Akizungumza […]

 

9 years ago

Bongo5

Director Enos Olik wa Kenya azungumzia kuhusu wasanii kushoot video SA, na baadhi ya video kutoka EA kutochezwa Trace na MTV Base

enos4

Enos Olik ni muongozaji na mtayarishaji wa video za muziki kutoka Kenya, ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Afrika kuanzia A-list hadi wale wa kawaida.

enos-2

Shaa, Young Dee, Alikiba na Christian Bella ni baadhi ya wasanii wa Bongo ambao wameshampa ulaji director huyo kufanya video zao. Video zingine alizofanya ni ‘Kioo’ ya Jaguar, ‘Sura Yako remix’ ya Sauti Sol na Iyanya, ‘Never Been Loved’ ya Maurice Kirya, ‘Touch Me There’ ya Redsan ft. Nyla na zingine kadhaa wa kadhaa.

enos4

Bongo5...

 

9 years ago

Bongo5

Mo Music kwenda Afrika Kusini kushoot video ya ‘Skendo’ na director huyu…

Mo Music

Muimbaji wa Bongo fleva, Moshi Katemi maarufu kama Mo Music anatarajia kwenda nchini Afrika Kusini kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Skendo’ aliouachia hivi karibuni.

Mo Music

Hit Maker huyo wa ‘Basi Nenda’ amesema licha ya kuwa anaenda kushoot nje ya nchi lakini atamtumia director wa hapa nyumbani Adam Juma ambaye ndiye alishoot video zake mbili zilizopita.

“Sitaki kuwaangusha mashabiki wangu, nitakwenda Afrika Kusini kufanya video ya Skendo ila nitamtumia Adam Juma kwa sababu ni mwongozaji bora na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani