Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Save the Children yaikabidhi pikipiki tano Wizara ya Afya Zanzibar

2 (1)Mwakilishi  wa Shirika la kuhudumia watoto Zanzibar (Save the children)  Mali lisson akimkabidhi funguo za pikipiki tano, Naibu waziri  wa  Afya  Mahmoud Thabit Kombo
kwa ajili ya wakuu wa vitengo vya mkono kwa mkono  wa wilaya katika hafla  iliyofanyika  wizara ya Afya  mnazimmoja  mjini Zanzibar. (picha zote na Miza Othman –maelezo zanzibar).

3 (1) Naibu waziri wa Afya Mahmoud Thabit  Kombo akitia saini  baada ya kupokea
pikipiki tano kwa ajili ya kuwarahisishia kazi  wakuu wa vitengo vya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAKABIDHIWA PIKIPIKI TANO

 Mwakilishi  wa washirika la kuhudumia watoto Zanzibar (Save the children)  Mali Lisson akitoa maelezo kabla  ya kukabidhi pikipiki za wakuu wa vitengo vya mkono kwa mkono  katika hafla iliyofanyika  wizara ya  afya  mnazimmoja mjini zaznibar. Mwakilishi  wa Shirika la kuhudumia watoto Zanzibar (Save the children)  Mali lisson akimkabidhi funguo za pikipiki tano, Naibu waziri  wa  Afya  Mahmoud Thabit Kombo  kwa ajili ya wakuu wa vitengo vya mkono kwa mkono  wa wilaya katika hafla ...

 

5 years ago

Michuzi

WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAPOKEA MSAADA KUTOKA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO)



Na Khadija Khamis –Maelezo Zanzibar 28/04/2020.WIZARA ya Afya Zanzibar imepokea msaada wa vifaa mbali mbali vya kuthibiti maambukizi ya Corona kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 110.
Akipokea msaada huo, huko Wizara ya Afya Mnazimmoja Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar Dkt Jamala Adam Taib amelishukuru shirika hilo kwa kutoa msaada ambao utawasaidia wafanyakazi kutekeleza kazi zao kwa ufanisi pamoja na kujikinga na maambukizi ya...

 

11 years ago

Michuzi

Dk.Shein akutana na Uongozi wa Wizara ya Afya Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Afya katika utekelezaji wa mpamgo wa kazi wa miezi 9 kutoka Julai -Machi 2013/2014,katika ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Unguja leo. Uongozi wa Wizara ya Afya ukiwa katika kikao cha utekelezaji wa mpamgo wa kazi wa miezi 9 kutoka Julai -Machi 2013/2014,katika ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Unguja leo,chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAKABIDHIWA MAGARI YA MSAADA TOKA UENGEREA

Na Makame Mshenga- Maelezo Zanzibar
Shirika la Shistosomiasis Control Initiative (SCI) la Uengereza limetoa Msaada wa Magari mawili aina ya Toyota Double Cabin kwa Wizara ya Afya Zanzibar kupitia kitengo chake cha Maradhi yasiyopewa umuhimu (NTD).
 Akikabidhi msaada huo leo Mwakilishi wa Shirika hilo Dkt. Khalfan Abdallah Mohamed amesema lengo la Msaada huo ni kuiwezesha Zanzibar kupiga hatua katika mapambano yake na Maradhi hayo ambayo yanawaandama watu wengi. Maradhi hayo ni pamoja na...

 

10 years ago

Vijimambo

WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAKABIDHIWA MAGARI YA MSAADA TOKA UINGEREZA

Na Makame Mshenga- Maelezo ZanzibarShirika la Shistosomiasis Control Initiative (SCI) la Uingereza limetoa Msaada wa Magari mawili aina ya Toyota Double Cabin kwa Wizara ya Afya Zanzibar kupitia kitengo chake cha Maradhi yasiyopewa umuhimu (NTD).
 Akikabidhi msaada huo leo Mwakilishi wa Shirika hilo Dkt. Khalfan Abdallah Mohamed amesema lengo la Msaada huo ni kuiwezesha Zanzibar kupiga hatua katika mapambano yake na Maradhi hayo ambayo yanawaandama watu wengi. 
Maradhi hayo ni pamoja na...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAPOKEA MSAADA WA AMBULANCE TOKA (UNFPA)

Na RAMADHANI ALI /HABARI MAELEZO ZANZIBAR
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu (UNFPA) limekabidhi msaada wa magari manne ya Ambulance kwa Wizara ya Afya ya Zanzibar ambayo yatatumika katika Hospitali nne visiwani hapa.
Mwakilishi wa UNFPA Tanzania Dkt. Natalia Kanem alimkabidhi Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman magari hayo katika sherehe fupi zilizofanyika Wizarani Mnazi mmoja.
Dkt. Natalia alitaka magari hayo yatumike kwa uangalifu ili kufikia malengo ya...

 

5 years ago

Michuzi

WIZARA YA AFYA YAPOKEA MSAADA KUTOKA TAASISI YA MILELE ZANZIBAR FOUNDATION

Khadija Khamis –Maelezo Zanzibar 13/04/2020.
NAIBU Waziri wa Afya Harusi Said Suleiman amewataka wananchi na Taasisi za kiraia kushirikiane na Serikali katika mapambano dhidi ya maradhi ya Corona.
Amesema mashirikiano ya pamoja kati ya wananchi na viongozi na kufuata maekezo yanayotolewa na wataalamu wa afya yatasaidia kushinda vita dhidi ya maradhi hayo.  
Naibu Waziri wa Afya alitoa kauli hiyo baada ya kupokea msaada wa vifaa vya kujikinga na maradhi ya Corona kutoka Taasisi ya Milele...

 

10 years ago

Michuzi

WAGANGA WA TIBA ASILI ZANZIBAR WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA MADAKTARI WA WIZARA YA AFYA

 Mwenyekiti wa Shirika la World Doctors kutoka Itali Bi. Tanya Niestedt (kulia) akizungumza na Waganga wa Tiba asili hawapo pichani katika semina ya siku moja ya yakuwataka waganga hao washirikiane na Madaktari katika kutibu magonjwa ya Kisukari na Presha, kushoto ni Mkuu wa kitengo cha maradhi yasiyo ambukiza Zanzibar Dkt. Omar Mwalim, hafla hiyo imefanyika ukumbi wa Wizara ya Afya Mnazi mmoja Mjini Zanzibar.  Mkuu wa kliniki ya Kisukari Hospitali ya Mnazi mmoja Dkt. Faiza Kassim...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani