‘Mume kanikimbia kisa nazaa sana’
“Sitasahau siku niliyokimbiwa na mume wangu baada ya kumzalia pacha kwa mara ya tatu mfululizo.†Hii ni kauli ya Salome Paul Mhando, mama wa watoto sita ambao ni pacha, aliowazaa kwa nyakati tofauti katika kipindi cha miaka sita iliyopita, wakipishana miaka miwili miwili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mza-*42r4qhrG8qQmvDPFRkfuIz4wus7C5gHR03eGue-2p84*QvXBGWriPwtJ5xH-1NUIdcwZP5XlihbWnzQvKNd9rn8eJ3F/kisu.jpg?width=650)
ACHOMWA KISU KISA MUME WA MTU!
JESHIla polisi mkoani hapa linamshikilia mwanamke aliyejulikana kwa jina la Pima Mabubu kwa tuhuma za kumchoma kisu mpaka kumjeruhi vibaya mwanamke mwenzake, Amina Hussein akidai ana uhusiano wa kimapenzi na mumewe, Adam Ndekeja, Risasi Jumamosi lina mkasa wote. Amina Hussein akipata matibabu katika hospital ya taifa Muhimbili. Tukio hilo lililowaacha watu vinywa wazi, lilijiri Aprili 22, mwaka huu shambani katika Kijiji cha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3VhYbLuVZbXAszpipVmaPWydyzKEFcaw-YHReF-5ufHfXir*qphF1PCNdUEwaAguQayYvvWt2rTivtfJsxg6hCUp/BACKIJUMAA.gif)
ALA KICHAPO KISA MUME WA MTU
Hamida hassan
Dada mmoja aliyefahamika kwa jina la Jamila mkazi wa Kawe jijini Dar hivi karibuni alipata kipigo cha kufa mtu akituhumiwa kuchepuka na mume wa mwanamke mmoja aitwaye Sheila.Tukio hilo lilitokea hivi karibuni ambapo ilielezwa kuwa, Sheila alitonywa na wambeya kuwa Jamila amekuwa akichepuka na mumewe na bila kuchunguza akapanga kumshikisha adabu. Jamila akiwa na jeraha usoni kwa tuhuma zakutembea na mume wa mtu....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKl1eoH5hTywXDuNBvVrQT5l5E-pWW77G5yI78YWC6RPzSxawu5ByYP1HRouN8vavPr2Y5xbla7HAonkqT*TdNKp/BACKUWAZI.jpg?width=650)
MUME AMNYONGA MKEWE, KISA WIVU
Stori: Waandishi Wetu
INAUMA sana! Katika kinachoonekana kama ni wivu wa kimapenzi, dada mmoja aliyefahamika kwa jina la Magdalena Lucas ( 23) ameuawa kikatili na ‘mumewe’ aliyetajwa kwa jina la Stephano Lucas (28) nyumbani kwao maeneo ya Mbezi Luis jijini Dar es Salaam wiki iliyopita baada ya kupigwa na kitu kizito kichwani na mwili wake kufungiwa chumbani kwa siku tatu. Magdalena Lucas enzi za uhai wake....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCnST9ghfiVbQRo9XI-jMTyKEAS*MDaNNyO8GenSD6pmZkajWcn2aIV02-pYVBSxencwyqigJ5SIVuGmAWj48E7c/isabela.jpg)
ISABELA ACHEZEA KIPIGO, KISA MUME WA MTU
MAJANGA! Staa wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda alijikuta akichezea kipigo kutoka kwa mke wa kigogo mmoja maarufu jijini Dar baada kutuhumiwa kuwa anaiba penzi la bosi huyo. Staa wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda akipozi. Tukio hilo la aibu lilitokea mwaka 2010 ambapo chanzo cha staa huyo kuumbuka kilikuwa ni meseji aliyomtumia kigogo huyo kisha mkewe kuinasa. Mke huyo akaichukua namba ya Isabela na kuanza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/klmPPeYfCPi6L2CK2xPMdTr5pbIxwDoSAts-nBBDU5k1H5-qxzFgy58FQHDAYjsFTXuQd3*LPghJrqbLC*VD0ZryVLLG1VRw/wivu.jpg)
KISA WIVU MUME AMFYEKA MGUU MKEWE!
Stori:Gladness Mallya
Maumivu ya kufa! Akiwa ananyonyesha kichanga wake, dakika chache mwanamama Neema Iwena hakujua kama angenusurika kufa baada ya kukatwa shingoni, kichwani kisha kufyekwa mguu wa kulia na mumuwe, Victor Nzali, kisa kikidaiwa ni wivu wa kimapenzi. Mwanamama Neema Iwena aliyekatwa mapanga na mumuwe, Victor Nzali.
Kwa mujibu wa mashuhuda wetu, tukio hilo la kutisha, kusikitisha na la ukatili wa kijinsia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH5doByiFTOS2rGNBHOSzWa9KBY2k**9nV-fmSS*Intj8*BEm4xL0hfPvnwpAVGp9SMdR9-4bfSBzHe2dYNZkSQ0/mume.jpg)
AMWAGIWA MAFUTA YA MOTO USONI, KISA MUME WA MTU!
NA WAANDISHI WETU MWANADADA aliyefahamika kwa jina moja la Mbuva, mkazi wa Gongo la Mboto jijini Dar, hivi karibuni amejikuta akiharibiwa uso wake kwa kumwagiwa mafuta ya moto na shosti wake aitwaye Mama Sofia, kisa kikidaiwa ni mume wa mtu. Mbuva, akiwa na majeraha usoni baada ya kumwagiwa mafuta ya moto. Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo inadaiwa mama Sofia alimfanyia mwenzake unyama huo akimtuhumu...
10 years ago
Bongo525 Oct
Amber Rose: Nampenda, nammiss sana mume wangu (Wiz Khalifa)
Mwanamitindo, Amber Rose amekiri kuwa bado anampenda mume wake Wiz Khalifa licha ya kwamba wameachana. “Inaumiza,” Rose alijibu baada ya kuulizwa kuhusu anavyokabiliana na talaka. “Mimi ni binadamu, unajua? Nipo kwenye talaka. Nampenda mume wangu, nammiss sana na mambo mabaya hutokea.” Amber alimshutumu Wiz kuwa alisaliti ndoa yao.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GgrM3U-k7JsTUTdCGDlIY4pvD6ddVkSGR0WFQpv7TZvqw-p4IU4TrnLLwFNJIk6OhjkQHgy*aqsM3r1SANAwYHmZGwov5*NR/Magamba.jpg?width=650)
MKE ASEMA: MUME KANITIMUA KISA, NIMEZAA MTOTO MWENYE MAGAMBA
Shani Ramadhani WE mshukuru Mungu! Rose Joseph (19), mzaliwa wa Mkoa wa Mara anayeishi Kirumba jijini Mwanza amefukuzwa na mumewe akituhumiwa kuitia mkosi familia baada ya kuzaa mtoto Violeth (miezi nane) mwenye magamba (matatizo ya ngozi). Mtoto Violeth akiwa na mama yake. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Rose alisema, baba yake mzazi alimlazimisha kuolewa akiwa na umri wa miaka 14 baada ya kuhitimu elimu ya darasa...
9 years ago
Bongo507 Oct
Flora Mbasha afuta kesi ya talaka dhidi ya mumewe, ‘bado nampenda sana mume wangu’
Ndoa ya Flora Mbasha na mume wake Emmanuel Mbasha bado ipo hai baada ya wawili hao kukubali kuifuta kesi ya talaka iliyodumu kwa takriban mwaka mmoja. Flora ndiye aliyefungua kesi hiyo baada ya kutokea mgogoro kwenye ndoa yao iliyosababishwa na kesi ya kudaiwa kubaka aliyoshtakiwa mumewe. Hata hivyo Emmanuel hivi karibuni alikuwa mtu huru baada […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania