Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msaada Mvomero wagharimu mil. 12/-

CHAMA cha Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS) kimetumia zaidi ya sh milioni 12 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa mbalimbali kuwasaidia waathirika wa mafuriko yaliyotokea hivi karibuni Wilaya ya Mvomero, Morogoro....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mradi wa mawasiliano wagharimu mil 292/-

MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzani(TCAA), imesema kuwa mradi wa kuboresha kituo cha kupokea na kutuma mawasiliano ya redio zinazotumika katika usafiri wa anga kilichopo Mnyusi mkoani Tanga umegharimu shilingi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Shule yapatiwa msaada wa mil 14/-

MFANYABIASHARA na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Arif Abri ametoa msaada wa sh milioni 14 kwa shule ya Sekondari ya Nyerere iliyopo wilaya ya Iringa kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muslim Agency watoa msaada wa mil. 60/-

WAATHIRIKA wa mafuriko yaliyotokea katika vijiji vya Magole na Mateteni wilayani Kilosa, Morogoro  wamepewa msaada wa sh milioni 60 na Taasisi ya Kimatifa ya Afrika Muslim Agency. Msaada huo ni...

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge viti maalumu atoa msaada wa mil 6/-

Martha MlataMBUNGE wa Viti Maalum kupitia tiketi ya CCM mkoa wa Singida, Martha Mlata ametoa msaada wa vifaa tiba mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 5.7 kwa Kituo cha afya cha Sokoine cha mjini Singida.

 

10 years ago

Vijimambo

TBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA CHA SH. MIL. 65 RUFIJI

 Mkuu wa Wilaya ya Rufiji , Nurdin Babu akiwa na Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakifungua maji ya bomba mara baada ya makabidhiano ya kisima kilichochimbwa na TBL kwa gahrama ya shilingi mil. 65 katika Kijiji cha Mwaseni Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani. Makabidhiano hayo yalifanyika kijijini hapo mwishoni mwa wiki.
 Mkuu wa Wilaya ya Rufiji, Nurdin Babu akiwa na Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Stephen Kilindo, wakiwatwisha...

 

10 years ago

GPL

TBL YATOA MSAADA WA SH. MIL.24.6 WIKI YA NENDA KWA USALAMA

Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve  Kilindo (kulia), akimkabidhi Mganga Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, SSP Charles Msenga (wa pili kushoto) mfano wa hundi yenye thamani ya sh.mil. 24.6 kwa ajili ya Wiki ya Nenda kwa Usalama inayotarajia kuanza hivi karibuni. Wanaoshuhudia makabidhiano hayo ni Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Naibu Kamishna Mohamed Mpinga (wa pili kulia) na...

 

10 years ago

GPL

TBL YATOA MSAADA WA SH. MIL 24.6 WIKI YA NENDA KWA USALAMA

 Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve  Kilindo (kulia), akimkabidhi Mganga Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, SSP Charles Msenga mfano wa hundi yenye thamani ya sh. mil. 24.6 kwa ajili ya Wiki ya Nenda kwa Usalama inayotarajia kuanza hivi karibuni. Anayeshuhudia makabidhiano hayo yaliyofanyika Dar es Salaam jana, ni Kamanda wa Kikosi cha Usalama barabarani, Naibu Kamishna Mohamed Mpinga....

 

10 years ago

Michuzi

TBL YATOA MSAADA WA SH. MIL. 56 ZA KISIMA CHA MAJI MKURANGA

 Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani, Luteni Mstaafu Abdallah Kihato (wa pili kulia), akipokea Hundi ya Sh. Milioni 56 kutoka kwa Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kusini, Bw. Victor Kavishe (wa pili kushoto) kwa ajili ya kusaidia mradi wa maji katika Kijiji cha Magoza, kilichoko Kata ya Kiparang'anda. Kushoto ni Meneja Mahusiano wa TBL, Bi. Emma Urio na Diwani wa Kata hiyo, Bi. KAru Karapina.
  Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kanda ya Kusini,...

 

11 years ago

Michuzi

TBL YATOA MSAADA WA SH. MIL. 45 ZA KISIMA KIJIJI CHA KAMBI YA SIMBA KARATU

 Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Doris Malulu akipeana mkono na Mwenyekiti wa Kijiji cha Kambi ya Simba, Damian John wakati wa makabidhiano ya mfano wa hundi ya Sh. Milioni 45 zilizotolewa kwa ajili ya kuchimba kisima cha maji kijijini hapo mwishoni mwa wiki. Wengine ni Meneja Mauzo TBL Mkoa wa Arusha Richard Temba (mwenye miwani) na Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Karatu Moses Mabula.
 Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Doris Malulu akizungumza na ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani