Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muslim Agency watoa msaada wa mil. 60/-

WAATHIRIKA wa mafuriko yaliyotokea katika vijiji vya Magole na Mateteni wilayani Kilosa, Morogoro  wamepewa msaada wa sh milioni 60 na Taasisi ya Kimatifa ya Afrika Muslim Agency. Msaada huo ni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TAASISI YA CSEE, CHILD FUND KOREA WATOA MSAADA WA VIFAA KUKABILIA VIRUSI VYA CORONA VYA THAMANI YA MIL 40/- KARATU


Na  Woinde Shizza, KARATU
TAASISI  ya Community Aid and Social Education Empowerment  (CSEE)  kwa kushirikiana  na Child Fund Korea  ambao wamejikita katika kusaidia watoto dhidi ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona wametoa msaada wa vifaa venye thamani ya shilingi million 40 kwa Wilaya ya Karatu.
Msaada huo ni vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona ambavyo ni  pamoja na  spika za sauti za kusaidia kuelimishia jamii sehemu mbalimbali zenye shughuli zinazokusanya watu wengi kwa ...

 

11 years ago

Habarileo

CCM watoa rambirambi mil.1/-, Chadema 50,000/-

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa Sh milioni moja kwa familia tatu zilizofiwa na ndugu zao katika ajali mbaya ya gari, iliyotokea Februari 27, katika mlima wa Ipwasu, jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Posta Tabora watoa msaada

SHIRIKA la Posta mkoani Tabora,  wametembelea kituo cha watu wasiojiweza  cha Kanisa Katoliki kilichoko katika manispaa ya Tabora na kutoa misaada ya  mbalimbali. Misaada waliyotoa ni Juisi katoni tatu, sukari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msaada Mvomero wagharimu mil. 12/-

CHAMA cha Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS) kimetumia zaidi ya sh milioni 12 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa mbalimbali kuwasaidia waathirika wa mafuriko yaliyotokea hivi karibuni Wilaya ya Mvomero, Morogoro....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Shule yapatiwa msaada wa mil 14/-

MFANYABIASHARA na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Arif Abri ametoa msaada wa sh milioni 14 kwa shule ya Sekondari ya Nyerere iliyopo wilaya ya Iringa kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyakazi Airtel watoa msaada Ocean Road

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kupitia Umoja wa Wanawake ujulikanao kama ‘Airtel Divas’ umetoa msaada wa vifaa vya hospitali kwa ajili ya wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa ya...

 

11 years ago

Michuzi

Airtel Divas watoa msaada kwa wanawake wasiojiweza

Umoja wa wafanyakazi wanawake wa Airtel ujulikanao kama Airtel Divas umejitoa kuwasaidia na Kikundi cha Sauti ya Wanawake wenye Ulemavu Tanzania (SWAUTA )  kilichopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi hao wa Airtel walifanya uzinduzi rasmi wa Airtel Divas  na kualika kikundi cha SWAUTA kuonyesha na kuuza bidhaa zao kwa wafanyakazi wa Airtel na kuwawezesha kupata fedha kwaajili ya kuwa na banda lao katika maonyesho ya 38 ya kimataifa  ya SABASABA.
Akiongea wakati wa uzinduzi huo...

 

11 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa Airtel watoa msaada hospitali ya Ocean Road

Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake wafanyakazi wa Airtel Tanzania ‘Airtel Diva’, Amitin Mbamba (kulia), akikabidhi msaada wa machela za kisasa mbili, ‘wheel chair’ mbili na bidhaa mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya milioni 5/-, kwa Muuguzi Mkuu wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI), Mary Haule, kwaajili ya matumizi ya wagongwa katika taasisi hiyo, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wanaoshuhudia ni wanachama wa Airtel Diva. Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake wafanyakazi wa...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL DIVAS WATOA MSAADA KWA WANAMAKE WASIOJIWEZA

Mgeni Rasmi ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Kazi Services Ltd, Zuhura Muro (kushoto), huku akisaidiwa na Makamu Mwenyekiti wa Kikundi cha Wanawake wafanyakazi wa Airtel Tanzania ‘Airtel Divas’, Happy John wakikata keki kuashiria uzinduzi rasmi wa kikundi hicho, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katika uzinduzi huo, Airtel iliweza kukisadia Kikundi cha Sauti ya Wanawake wenye Ulemavu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani