Posta Tabora watoa msaada
SHIRIKA la Posta mkoani Tabora, wametembelea kituo cha watu wasiojiweza cha Kanisa Katoliki kilichoko katika manispaa ya Tabora na kutoa misaada ya mbalimbali. Misaada waliyotoa ni Juisi katoni tatu, sukari...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi20 Mar
Benki ya Posta yawapa msaada waathirika wa mvua ya mawe Kahama
![Meneja wa Benki ya Posta Tawi la Shinyanga Lawrence Munisi (kulia) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Kahama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maafa Benson Mpesya (kushoto) msaada wa tani saba na nusu za saruji kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokana na mvua yam awe yaliyotokea kijiji cha Mwakata Wilaya ya Kahama.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/Maafa-1.png)
![Mkuu wa Wilaya ya Kahama na Mwenyekiti wa Kamati ya Maafa Benson Mpesya (kulia) akitoa shukrani kwa Benki ya Posta mara baada ya kupokea msaada wa tani saba na nusu za mifuko ya saruji zilizotolewa na benki hiyo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/Maafa-2.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yVPblvyDJXs/XvITTgIiTsI/AAAAAAAAlQw/U9SeNMoqQvANH7-UmiwJuCKsNufe_BwNQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BENKI YA POSTA YATOA MSAADA WA MABATI 100 KUSAIDIA KUPAUA SHULE SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yVPblvyDJXs/XvITTgIiTsI/AAAAAAAAlQw/U9SeNMoqQvANH7-UmiwJuCKsNufe_BwNQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utawala wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Diana Myonga (wa tatu kushoto) akimkabidhi Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe (wa nne kutoka kushoto) moja ya bati kati ya 100 yaliyotolewa mwishoni mwa wiki na benki hiyo kwa ajili ya kupaua madarasa ya shule mkoani humo. Kutoka kushoto ni Kaimu Meneja Mwandamizi wa Uhusiano wa benki hiyo, Chichi Banda, Meneja wa TPB Tawi la Singida, Redemter Rweyemamu. Wengine ni Wenyeviti wa Vikundi...
9 years ago
VijimamboBENKI YA POSTA TAWI LA DODOMA YAKABIDHI MSAADA WA KOMYUTA KATIKA SHULE YA TUMAINI ENGLISH MEDIUM ACADEMY
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9tLGlPLNoGM/U13xKXuKCsI/AAAAAAAATa0/zjb5Dl3ZQcA/s72-c/YBY_8051.jpg)
BENKI YA POSTA TANZANIA YATOA MSAADA VITU MBALIMBALI KWA WODI YA WATOTO WENYE MAGONJWA YA SARATANI MUHIMBILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-9tLGlPLNoGM/U13xKXuKCsI/AAAAAAAATa0/zjb5Dl3ZQcA/s1600/YBY_8051.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AxK_2AroDg8/U13xKXtE5zI/AAAAAAAATaw/hDpUlT9b1Fk/s1600/YBY_8058.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Muslim Agency watoa msaada wa mil. 60/-
WAATHIRIKA wa mafuriko yaliyotokea katika vijiji vya Magole na Mateteni wilayani Kilosa, Morogoro wamepewa msaada wa sh milioni 60 na Taasisi ya Kimatifa ya Afrika Muslim Agency. Msaada huo ni...
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Posta waadhimisha Siku ya Posta Duniani jijini Dar es Salaam
Wafanyakazi na wadau wa Shirika la Posta nchini (TPC), wa ndani na nje ya nchi wakiwa katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani kwenye jengo la Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), jijini Dar es Salaam jana. Maadhimisho hayo, huadhimishwa duniani kote Oktoba 9. (Picha zote na Kassim Mbarouk- www.bayana.blogspot.com)
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Elia Madulesi (kulia), akiteta jambo na mmoja wa Maofisa wa shirika hilo, wakati...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Wafanyakazi Airtel watoa msaada Ocean Road
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kupitia Umoja wa Wanawake ujulikanao kama ‘Airtel Divas’ umetoa msaada wa vifaa vya hospitali kwa ajili ya wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO4taT-NXmjX4frUFa6MOsqQlbdc1iQOykigLTy9gc8ZE10w57shs0kC6g53eybPucTp*BYr5wIEpYsNTV5V0TL-/1A.jpg?width=650)
AIRTEL DIVAS WATOA MSAADA KWA WANAMAKE WASIOJIWEZA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DbQ2tuw9UFI/U6KxDpd-BQI/AAAAAAAFro8/NijwOtE43G4/s72-c/1A.jpg)
Airtel Divas watoa msaada kwa wanawake wasiojiweza
Wafanyakazi hao wa Airtel walifanya uzinduzi rasmi wa Airtel Divas na kualika kikundi cha SWAUTA kuonyesha na kuuza bidhaa zao kwa wafanyakazi wa Airtel na kuwawezesha kupata fedha kwaajili ya kuwa na banda lao katika maonyesho ya 38 ya kimataifa ya SABASABA.
Akiongea wakati wa uzinduzi huo...