Ardhi yawatesa wanakijiji Sange
UMASKINI ni adui namba moja nchini. Rais wa Awamu ya Kwanza Julius Nyerere, alitangaza vita dhidi ya umaskini na kusema kuwa taifa linakabiliwa na maadui watatu ambao ni umaskini, ujinga...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWASHIRIKI WA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAHIMIZA WANAKIJIJI KUFANYA KILIMO CHA BIASHARA, WAWAPA BURUDANI WANAKIJIJI.
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Saratani yawatesa zaidi Watanzania
11 years ago
Mwananchi29 May
Masharti yawatesa wauza samaki
11 years ago
Mwananchi22 May
Mashindano usafi yawatesa Wamachinga
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Saratani ya damu, jicho yawatesa watoto nchini
10 years ago
Dewji Blog23 May
Fistula yawatesa akinamama 3,000 Tanzania kila mwaka
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu Duniani (UNFPA), Dk. Natalia Kanem wa (kwanza kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuzungumzia Maadhimisho ya Siku ya kupinga ugonjwa wa Fistula Duniani. Wa pili kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa Hospitali ya CCBRT Tanzania, Brenda Msangi.
Naibu Mkurugenzi wa Hospitali ya CCBRT Tanzania, Brenda Msangi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuzungumzia Maadhimisho ya Siku ya kupinga...
10 years ago
Michuzi23 May
Festula Yawatesa Akinamama 3,000 Tanzania Kila Mwaka
10 years ago
Vijimambo23 May
FESTULA YAWATESA AKINAMAMA 3,000 TANZANIA KILA MWAKA - UNFPA
10 years ago
Dewji Blog31 Aug
TANESCO yawatesa wananchi wa Mwanagati Kitunda kwa kukosekana umeme siku tatu mfululizo
Na Mwandishi wetu
Kwa habari tulizozipokea hivi punde toka kwa wananchi wa Mwanagati-Kitunda jijini Dar es Salaam zinasemekana kwamba wananchi wa maeneo haya hawana umeme kwa siku 3 mfululizo usiku na mchana mpaka sasa na hakuna taarifa zozote toka shirika la umeme Tanesco kuelezea hali hii inayoendelea mpaka sasa.
Wananchi mbalimbali wakielezea, walisema hawakupata taarifa yoyote ile toka Tanesco na mpaka sasa wengi wao wamepata hasara kubwa kibiashara kutokana na tatizo ili na upande...