Saratani yawatesa zaidi Watanzania
>Februari 4, kila mwaka ni Siku ya Saratani Duniani.Siku hii huadhimishwa kila nchi kutokana na ukubwa wa tatizo hilo. Taarifa zinaonyesha Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara, zenye ongezeko kubwa la wagonjwa wa saratani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Saratani ya damu, jicho yawatesa watoto nchini
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Wataka vituo zaidi vya saratani
WANAWAKE wilayani Sikonge Mkoa wa Tabora, wameomba huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi (Cervical Cancer) kufika hadi vijijini ili kupunguza hatari ya akina mama wengi kupoteza maisha...
10 years ago
Habarileo10 Feb
Wanawake zaidi ya 1,000 kuchunguzwa saratani
ZAIDI ya kinamama 1,000 wa Mkoa wa Dodoma wanatarajia kufanyiwa uchunguzi wa satarani ya matiti. Kazi hiyo itafanyika kwa muda wa siku tano katika viwanja vya Nyerere Square mjini hapa.
9 years ago
StarTV17 Dec
Zaidi ya 50% ya maisha ya watoto wenye ugonjwa Saratani  yaokolewa
Katika kipindi cha miaka mitano, tangu Serikali kwa kushirikiana na wadau wa afya waanzishe kitengo cha ugonjwa wa Saratani kwa watoto kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zaidi ya asilimia 50 ya maisha ya watoto wenye ugonjwa huo yameokolewa.
Awali katika wodi ya watoto wenye tatizo hilo kwenye taasisi ya Saratani ya Ocean Road ni asilimia 10 tu ya watoto hao walioweza kuokolewa maisha.
Umasikini na uelewa mdogo katika ugonjwa Saratani ni miongoni mwa sababu zinazochangia ongezeko la...
10 years ago
Vijimambo14 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uow3g9c8x0o/VCkLgiXHn6I/AAAAAAAGmac/qzDYZxLhZvM/s72-c/Salma-Kikwete.jpg)
MAMA KIKWETE APEWA MASHINE YA KUPIMA SARATANI YA MATITI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA DOLA 200000
![](http://3.bp.blogspot.com/-uow3g9c8x0o/VCkLgiXHn6I/AAAAAAAGmac/qzDYZxLhZvM/s1600/Salma-Kikwete.jpg)
Na Anna Nkinda – Maelezo, Washington.
29/9/2014 Chama cha Wanawake wa Afrika na Uelewa wa Saratani (African Women Cancer Awareness Assossiation - AWCAA) imemkabidhi Mke wa Rais Mama Salma kikwete mashine moja ya Mammogram ambayo inatumika kupima ugonjwa wa saratani ya matiti yenye thamani yazaidi dola za kimarekani laki mbili.
Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Ubalozi wa Tanzania uliopo mjini Washington D.C nchini Marekani.
Akiongea mara baada ya kukabidhiwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5khwT2Pms8U/U85id7ZpSsI/AAAAAAAF4uw/fmr58pSnRkI/s72-c/001+cera.jpg)
WATANZANIA KUTIBIWA KITEKNOLOGIA ZAIDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-5khwT2Pms8U/U85id7ZpSsI/AAAAAAAF4uw/fmr58pSnRkI/s1600/001+cera.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-orn9l4zZzwQ/U85iz0FUQpI/AAAAAAAF4vY/ecJzZA9LGR8/s1600/002++cera.jpg)
Mzee Fransis Kavishe na Bi Ashura...
10 years ago
Michuzi06 Feb
Benki ya Exim yaadhimisha Siku ya Saratani Duniani na Watoto wenye Saratani Hospitali ya Taifa Muhimbili
![exim1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/exim1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QXIIoSI6nbc/U5SbiZp5oWI/AAAAAAAFpAY/h9YIonXjV80/s72-c/tbr7.jpg)
Rais Kikwete azindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-QXIIoSI6nbc/U5SbiZp5oWI/AAAAAAAFpAY/h9YIonXjV80/s1600/tbr7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CiBi1_fdBOQ/U5SbxpbgT_I/AAAAAAAFpAk/1cQtJRg3LiU/s1600/tbr8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iYYrbJWmS3w/U5SbxuiQx2I/AAAAAAAFpAg/F-uVi2Fi9p8/s1600/tbr6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vr2pW1Irbog/U5ScG76Ga6I/AAAAAAAFpAw/CFLGEbAxZCI/s1600/tbr1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d1HDHIIyWTE/U5ScuHNl9aI/AAAAAAAFpBI/E1RtH2vHR1o/s1600/tbr5.jpg)