WATANZANIA KUTIBIWA KITEKNOLOGIA ZAIDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-5khwT2Pms8U/U85id7ZpSsI/AAAAAAAF4uw/fmr58pSnRkI/s72-c/001+cera.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Ceragem, Africa Mashariki, Nam Chae Woo,(kulia) akitoa maelezo kwa Mkurugenzi wa Dafa Ceragem, Edmund Mndolwa jinsi mashine mpya ya Ceragem V3 inavyofanya kazi , wakati wa uzinduzi wa mashine hiyo inayotumia teknolojia ya hali ya juu katika kutibu magonjwa mbalimbali bila ya mgonjwa kumeza dawa au kuchomwa sindano katika vituo vya Dafa Ceragem vilivyopo sehemu mbalimbali hapa nchini . Anaeshuhudia ni Patricia Mndolwa.
Mzee Fransis Kavishe na Bi Ashura...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeK5bKHdsaU9h74GZCzYbftBmxKZ3atfA3du72gTr5PVBwt*alAf3GXU92eX0gJ*PxVMIKcbB2MJX5wwHuxrtuzc/001cera.jpg?width=650)
WATANZANIA KUTIBIWA KITEKNOLOGIA ZAIDI
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Saratani yawatesa zaidi Watanzania
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FuyxV5Eh4jI/VT6gjrmldtI/AAAAAAAC3rg/E-Zyq7h5BoQ/s72-c/Dr%2BAbel%2BKinyondo%2B%26%2BInvited%2BExpert%2BInnocent%2BBash%2Bfrom%2BTEITI%2Baddressing%2Bthe%2Bmedia%2B.jpg)
Watanzania kunufaika zaidi na Gesi Asilia
KUTOKANA na kugundulika kwa hazina kubwa ya gesi nchini ambayo inategemewa kukuza pato la taifa zaidi ya mara 15 ya sasa, kiasi cha kuiwezesha Tanzania kuwa miongoni mwa nchi zenye uchumi wa kati kufikia mwaka 2025.
Hata hivyo, dhana ya kwamba Rais ajaye baada ya uongozi wa Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete kumaliza muda wake, anaweza akaikuta Tanzania ikiwa ni nchi tajiri tayari kutokana na rasilimali...
9 years ago
MichuziFNB TANZANIA YAHIMIZA WATANZANIA KUWEKA AKIBA ZAIDI
BENKI ya FNB Tanzania imetoa wito kwa Watanzania kujijengea mustakabali salama kifedha kwa kuendelea kuweka akiba zaidi benki kupitia fursa ya mpango mpya wa benki hiyo wa “Weka akiba na ushinde”.
Wito huo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kzELoRP2Aac/XmZSGB_3O_I/AAAAAAALiR8/unsdU9XV-p838dlN1p7imAALjYELJ09fQCLcBGAsYHQ/s72-c/21f1ba3d-771c-48a7-95d0-97a4d5d404ae.jpg)
UFARANSA YATENGA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 1.10 KWA AJILI YA KUHAMASISHA WATANZANIA KUJUA LUGHA YA KIFARANSA, AGUSIA MAADHIMISHO YA MIAKA 50...
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii
NCHI ya Ufaransa imesema kwamba imetenga zaidi ya shilingi Bilioni 1.10 kwa ajili ya kutoa mafunzo ya lugha ya Kifaransa kwa walimu na maprofesa mbalimbali nchini Tanzania kwa ajili ya kuhakikisha lugha hiyo inazungumzwa na Watanzania wengi.
Kwa mujibu wa Ufaransa ni kwamba mkakati wa nchi hiyo ni kuhakikisha lugha ya Kifaransa inaendelea kuwa na watu wengi zaidi ambao watakuwa wanaizungumza kwa ufasaha na kuitumia kama sehemu muhimu ya Mawasiliano...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xp9s-dMJ914/XrViSRT4MSI/AAAAAAALpfQ/mJWEizrYY3gbDZpxfk71dWKekw2nqmEMwCLcBGAsYHQ/s72-c/94084611_2818284451645258_6601521376068816212_n.jpg)
UPELELEZI KATIKA KESI YA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA ZAIDI YA KILO 270 INAYOMKABILI RAIA WA NIGERIA, WATANZANIA WAWILI BADO HAUJAKAMILIKA
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV
UPELELEZI katika kesi ya kukutwa na dawa za kulevya zaidi ya kilo 270 inayomkabili Raia wa Nigeria, David Chukwu (38) na Watanzania wawili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu bado haujakamilika.
Mbali na Chukwu ambaye ni Mkazi wa Masaki, washitakiwa wengine ni Isso Lupembe (49) Mkazi wa Mbezi na Allistair Mbele (38).
Wakili wa Serikali, Ester Martin alidai jana mbele ya Hakimu Mfawidhi Godfrey Isaya kuwa kesi hiyo imekuja kwa ajili ya kutajwa na kwamba...
10 years ago
Mwananchi27 Dec
Watoto 55 kutibiwa India
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg8aF-re*gT7HR*CYZlV1Hj7036wTYh3Z-ZnXSYKnY5ubaPa6dgbiJSeR5ZmC7tdayRIrgd3uZzySjLCyHoaUfTn/KIONGERA.jpg?width=600)
Kiongera kutibiwa nje ya nchi
11 years ago
BBCSwahili03 Feb
Dmytro Bulatov kutibiwa Lithuania