Wanawake zaidi ya 1,000 kuchunguzwa saratani
ZAIDI ya kinamama 1,000 wa Mkoa wa Dodoma wanatarajia kufanyiwa uchunguzi wa satarani ya matiti. Kazi hiyo itafanyika kwa muda wa siku tano katika viwanja vya Nyerere Square mjini hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Apr
Salma Kikwete ahimiza wanawake kuchunguzwa saratani
ASILIMIA 90 ya akina mama wanaosumbuliwa na saratani ya mlango wa kizazi wanafia majumbani, kwenye zahanati na vituo vya afya kutokana na kutogundulika mapema kwa viashiria vya ugonjwa huo.
10 years ago
Habarileo07 Dec
Wanawake 1,000 wapima saratani ya matiti
WANAWAKE zaidi ya 1,000, wamejitokeza kupimwa saratani ya matiti bure katika miezi minne ya kampeni inayoendeshwa na Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam.
9 years ago
StarTV18 Dec
Zaidi ya Wajasiriamali 17,000 wajikwamua kiuchumi kupitia Mikopo ya Benki Ya Wanawake
Zaidi ya wanawake wajasiriamali 17,000 wamejikwamua kiuchumi kutokana na kupata mitaji kwa njia ya mikopo kutoka Benki ya wanawake ambayo imekuwa ikitoa mikopo ya viwango vya aina mbalimbali kusaidia wajasiriamali.
Benki hiyo ya wanawake ambayo imetimiza miaka 6 tangu kuanzishwa kwake imeweza kutengeneza faida kubwa kutokana na kuboresha huduma zake katika matawi mbalimbali nchini.
Benki ya wanawake Tanzania imekuwa miiongoni mwa Benki ambayo imekuwa mstari wa mbele kusaidia wananchi wa...
10 years ago
Habarileo12 Oct
Wanawake 200 wachunguzwa saratani
WANAWAKE zaidi ya 200 jana walijitokeza katika kambi ya bure ya uchunguzi wa saratani ya matiti katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es salaam, kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi pamoja na kupata ushauri kuhusu saratani ya matiti.
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Saratani yawatesa zaidi Watanzania
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Aga Khan yachunguza saratani wanawake
11 years ago
Habarileo08 Jun
JK ahimiza wanawake kujitokeza kupima saratani
SERIKALI imeweka mikakati ya kuhakikisha inapunguza vifo vinavyotokana na saratani ya mlango wa kizazi na matiti nchini.
11 years ago
Habarileo30 Apr
Wanawake 100 salama na saratani ya kizazi
ZAIDI ya wanawake 100 waliojitokeza kupima maambukizi ya ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi katika Jukwaa la Familia Kitchen Party Gala, lililofanyika Dar es Salaam juzi, wamethibitika kutokuwa na ugonjwa huo.
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19