Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake 1,000 wapima saratani ya matiti

WANAWAKE zaidi ya 1,000, wamejitokeza kupimwa saratani ya matiti bure katika miezi minne ya kampeni inayoendeshwa na Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete azindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wananchi wakati akizindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora, katika uwanja wa Chipukizi mkoani humo. Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na baadhi ya akina mama wa Tabora. Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Dkt. Joseph Komwihangiro, Mkurugenzi wa Marie Stopes kwa kuwa mstari wa mbele katika huduma na elimu za mzazi wa mpango Jumamosi Mei 7, 2014 wakati akizindua ...

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake zaidi ya 1,000 kuchunguzwa saratani

ZAIDI ya kinamama 1,000 wa Mkoa wa Dodoma wanatarajia kufanyiwa uchunguzi wa satarani ya matiti. Kazi hiyo itafanyika kwa muda wa siku tano katika viwanja vya Nyerere Square mjini hapa.

 

11 years ago

GPL

TIBA YA SARATANI YA MATITI - 4

Tunaendelea kujadili ugonjwa wa kansa au saratani ya matiti, ambapo leo tutaanza kuzungumzia tiba ya ugonjwa huo. Kuna aina tofauti za tiba kwa wagonjwa wanaousumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya matiti. Baadhi ya tiba hizo tayari zinatumika rasmi na nyingine zinafanyiwa majaribio. Matibabu ya majaribio au Treatment clinical trials ni uchunguzi wa kitiba unaofanyika kwa lengo la kusaidia kuboresha tiba zilizoko au kwa ajili ya kupata...

 

11 years ago

GPL

TIBA YA SARATANI YA MATITI - 5

Tunaendelea kuwaletea tiba ya saratani ya matiti baada ya kuelezea ile ya upasuaji. Endelea. KEMIKALI MAALUM
Ugonjwa wa saratani ya matiti pia hutibiwa kwa njia ya dawa au Systemic theraphy. Tiba ya aina hii inahusisha matumizi ya kemikali maalum za kutibu saratani au Chemotherapy pamoja na kutumia homoni au Hormonal therapy. Tiba kwa kutumia homoni, hufanywa ili kuua seli za saratani ambazo hazikugundulika hapo awali na ambazo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Saratani ya matiti huweza kuepukika

Saratani ya Matiti inaweza kuepukwa ikiwa wanawake watajenga tabia ya kujichunguza

 

10 years ago

Tanzania Daima

Uchunguzi saratani ya matiti bure

HOSPITALI  ya Aga Khan (AKH), jijini Dar es Salaam imesema itakuwa ikiendesha  kambi ya huduma ya bure ya uchunguzi wa saratani ya matiti kila mwezi. Hayo yalibainishwa juzi na Mkurugenzi wa...

 

11 years ago

Habarileo

Wenye dalili za saratani ya matiti waaswa

Angela KuzilwaTAASISI ya Saratani ya Matiti nchini (TBCF) imewataka Watanzania kwenda haraka hospitali, kupima wanapoona dalili za ugonjwa huo kwa kuwa unaweza kutibika, iwapo utagunduliwa ukiwa katika hatua za awali.

 

9 years ago

Dewji Blog

Tigo yashiriki matembezi ya kuchangia saratani ya matiti

DANDERSON

Afisa huduma kwa jamii wa Kampuni ya Tigo, May Thomas (kulia) akishiriki matembezi ya kuchangia fedha kwa ajili ya Saratani ya matiti kwa akinamama yaliyodhaminiwa na kampuni hiyo Dar es Salam jana.

DANDERSON

DANDERSON

Washiriki wa matembezi ya hisani ya kuchangia fedha kwa ajili ya Saratani ya matiti kwa akinamama yaliyodhaminiwa na kampuni ya Tigo jijini Dar es Salam jana.

DANDERSON

 

 

 

11 years ago

Tanzania Daima

Saratani ya kizazi, matiti tishio kwa wanawake 

IMEBAINIKA kuwa saratani ya kizazi na matiti imezidi kuwa tishio kwa wanawake nchini. Hayo yalibainishwa na Dk. Aldina Amyria wa Hospitali ya Aga Khan ya jijini Dar es Salaam alipofanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani