Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK ahimiza wanawake kujitokeza kupima saratani

Rais Jakaya KikweteSERIKALI imeweka mikakati ya kuhakikisha inapunguza vifo vinavyotokana na saratani ya mlango wa kizazi na matiti nchini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Salma Kikwete ahimiza wanawake kuchunguzwa saratani

ASILIMIA 90 ya akina mama wanaosumbuliwa na saratani ya mlango wa kizazi wanafia majumbani, kwenye zahanati na vituo vya afya kutokana na kutogundulika mapema kwa viashiria vya ugonjwa huo.

 

11 years ago

Habarileo

Watakiwa kujitokeza kupima selimundu

WATANZANIA wametakiwa kujitokeza kupima damu ili kufahamu kama wana ugonjwa ama vinasaba vya ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ili waweze kupewa matibabu mapema.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wananchi wahimizwa kujitokeza kupima ugonjwa wa Kisukari

PIX 2,,

Naibu Waziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Stephen Kebwe.

Na Beatrice Lyimo- Maelezo

Serikali imetoa wito kwa kila mwananchi nchini kuhakikisha kwamba anapima afya yake  mara kwa  mara  kwa kuwa ugonjwa wa kisukari unaweza usionyeshe dalili yoyote mapema ili kuweza kukabiliana  na kupunguza athari za ugonjwa huo

Aidha Serikali imesisitiza kuwa endapo mtu atatambulika  kuwa ana ugonjwa huo, atumie huduma za afya kulingana na ushauri wa atakaopewa na wataalam wa afya.

Hayo...

 

10 years ago

Habarileo

Ahimiza vijana kujitokeza kuwania ubunge

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka vijana wasomi wilayani Hanang kujitokeza kuwania Ubunge wa Jimbo hilo katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu, kwa lengo la kusukuma kasi ya maendeleo jimboni humo.

 

10 years ago

Habarileo

Wahamasishwa kupima saratani

WANAWAKE wote waliofikia umri wa miaka 30 wametakiwa kwenda kupima virusi vinavyosababisha saratani ya mlango wa kizazi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wananchi wahimizwa kujitokeza kwa wingi kupima afya zao kuelekea siku ya Ukimwi Desemba

TACAIDS - 0

Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI nchini Tanzania Dkt. Fatma Mrisho  akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani mwaka huu ambayo inaadhimishwa kwa  kuwahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi  kupima afya zao na kupata elimu ya kujikinga  na maambukizi ya ugonjwa huo.

Na. Nyakongo Manyama- MAELEZO.

[DAR ES SALAAM] Wito umetolewa kwa wananchi kote nchini kuyatumia maadhimisho ya Siku ya UKIMWI duniani ambayo huadhimishwa kila ifikapo...

 

9 years ago

Michuzi

WANANCHI WAHIMIZWA KUJITOKEZA KWA WINGI KUPIMA AFYA ZAO KUELEKEA DESEMBA MOSI, 2015.

Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI nchini Tanzania Dkt. Fatma Mrisho  akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani mwaka huu ambayo inaadhimishwa kwa  kuwahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi  kupima afya zao na kupata elimu ya kujikinga  na maambukizi ya ugonjwa huo.  Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Tathmini wa TACAIDS Dkt. Jerome Kamwela akiwaonesha waandishi wa Habari Bango lenye Takwimu za Hali ya Maambukizi ya VVU nchini Tanzania.
Na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani