JK ahimiza wanawake kujitokeza kupima saratani
SERIKALI imeweka mikakati ya kuhakikisha inapunguza vifo vinavyotokana na saratani ya mlango wa kizazi na matiti nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Apr
Salma Kikwete ahimiza wanawake kuchunguzwa saratani
ASILIMIA 90 ya akina mama wanaosumbuliwa na saratani ya mlango wa kizazi wanafia majumbani, kwenye zahanati na vituo vya afya kutokana na kutogundulika mapema kwa viashiria vya ugonjwa huo.
11 years ago
Habarileo15 Dec
Watakiwa kujitokeza kupima selimundu
WATANZANIA wametakiwa kujitokeza kupima damu ili kufahamu kama wana ugonjwa ama vinasaba vya ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ili waweze kupewa matibabu mapema.
10 years ago
Dewji Blog13 Nov
Wananchi wahimizwa kujitokeza kupima ugonjwa wa Kisukari
Naibu Waziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Stephen Kebwe.
Na Beatrice Lyimo- Maelezo
Serikali imetoa wito kwa kila mwananchi nchini kuhakikisha kwamba anapima afya yake mara kwa mara kwa kuwa ugonjwa wa kisukari unaweza usionyeshe dalili yoyote mapema ili kuweza kukabiliana na kupunguza athari za ugonjwa huo
Aidha Serikali imesisitiza kuwa endapo mtu atatambulika kuwa ana ugonjwa huo, atumie huduma za afya kulingana na ushauri wa atakaopewa na wataalam wa afya.
Hayo...
10 years ago
Habarileo30 Mar
Ahimiza vijana kujitokeza kuwania ubunge
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka vijana wasomi wilayani Hanang kujitokeza kuwania Ubunge wa Jimbo hilo katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu, kwa lengo la kusukuma kasi ya maendeleo jimboni humo.
10 years ago
Habarileo05 Jul
Wahamasishwa kupima saratani
WANAWAKE wote waliofikia umri wa miaka 30 wametakiwa kwenda kupima virusi vinavyosababisha saratani ya mlango wa kizazi.
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Wananchi wahimizwa kujitokeza kwa wingi kupima afya zao kuelekea siku ya Ukimwi Desemba
Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI nchini Tanzania Dkt. Fatma Mrisho akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani mwaka huu ambayo inaadhimishwa kwa kuwahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kupima afya zao na kupata elimu ya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa huo.
Na. Nyakongo Manyama- MAELEZO.
[DAR ES SALAAM] Wito umetolewa kwa wananchi kote nchini kuyatumia maadhimisho ya Siku ya UKIMWI duniani ambayo huadhimishwa kila ifikapo...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ccUiA8-KL-I/VlRqQG14fVI/AAAAAAAIIPk/LDJmrlZ-KQA/s72-c/TACAIDS%2B-%2B0.jpg)
WANANCHI WAHIMIZWA KUJITOKEZA KWA WINGI KUPIMA AFYA ZAO KUELEKEA DESEMBA MOSI, 2015.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ccUiA8-KL-I/VlRqQG14fVI/AAAAAAAIIPk/LDJmrlZ-KQA/s640/TACAIDS%2B-%2B0.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-G7TA2xAGnlc/VlRqQGeZ-tI/AAAAAAAIIPg/oh0O7jT4GMk/s640/TACAIDS.jpg)
Na...
9 years ago
GPL12 Nov