Mashindano usafi yawatesa Wamachinga
Halmashauri ya Jiji la Mwanza imesema imeamua kutumia polisi kuwaondoa wafanyabiashara ndogondogo maarufu Wamachinga, kusafisha jiji kuhakikisha sheria ya usafi na utunzaji mazingira zinafuatwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 May
Masharti yawatesa wauza samaki
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Ardhi yawatesa wanakijiji Sange
UMASKINI ni adui namba moja nchini. Rais wa Awamu ya Kwanza Julius Nyerere, alitangaza vita dhidi ya umaskini na kusema kuwa taifa linakabiliwa na maadui watatu ambao ni umaskini, ujinga...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Saratani yawatesa zaidi Watanzania
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Saratani ya damu, jicho yawatesa watoto nchini
10 years ago
Michuzi23 May
Festula Yawatesa Akinamama 3,000 Tanzania Kila Mwaka
10 years ago
Dewji Blog23 May
Fistula yawatesa akinamama 3,000 Tanzania kila mwaka
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu Duniani (UNFPA), Dk. Natalia Kanem wa (kwanza kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuzungumzia Maadhimisho ya Siku ya kupinga ugonjwa wa Fistula Duniani. Wa pili kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa Hospitali ya CCBRT Tanzania, Brenda Msangi.
Naibu Mkurugenzi wa Hospitali ya CCBRT Tanzania, Brenda Msangi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuzungumzia Maadhimisho ya Siku ya kupinga...
10 years ago
Vijimambo23 May
FESTULA YAWATESA AKINAMAMA 3,000 TANZANIA KILA MWAKA - UNFPA
10 years ago
Dewji Blog31 Aug
TANESCO yawatesa wananchi wa Mwanagati Kitunda kwa kukosekana umeme siku tatu mfululizo
Na Mwandishi wetu
Kwa habari tulizozipokea hivi punde toka kwa wananchi wa Mwanagati-Kitunda jijini Dar es Salaam zinasemekana kwamba wananchi wa maeneo haya hawana umeme kwa siku 3 mfululizo usiku na mchana mpaka sasa na hakuna taarifa zozote toka shirika la umeme Tanesco kuelezea hali hii inayoendelea mpaka sasa.
Wananchi mbalimbali wakielezea, walisema hawakupata taarifa yoyote ile toka Tanesco na mpaka sasa wengi wao wamepata hasara kubwa kibiashara kutokana na tatizo ili na upande...
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Tatizo ni wamachinga au wateja?
HIVI karibuni serikali kupitia Mamlaka ya Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) ilikihamisha kituo cha mabasi ya daladala kutoka eneo la Mwenge kwenda Makumbusho. Kitendo hiki kimeathiri makundi ya...