Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanakijiji waishi mapangoni (1)

Utajiuliza mara mbili mbili pale utakaposikia ama kuona binadamu wa karne ya 21 tena katika ardhi ya Tanzania, wananchi wake kuishi maisha kama ya wakimbizi au kulala usingizi wenye mashaka, tena chini ya mapango ya majabari ya mawe kama wanyama wasio na makazi maalum.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WASHIRIKI WA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAHIMIZA WANAKIJIJI KUFANYA KILIMO CHA BIASHARA, WAWAPA BURUDANI WANAKIJIJI.

 Baada ya washiriki wa Shindano la Mama shujaa wa Chakula  Shindano linalo endeshwa na Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow na kudhaminiwa na Gates and Melinda Foundation,TBS, Cooperative Bank Great Britain na Care Tanzania, baada ya  kuwasili wote sasa wanapangwa makundi makundi kwa ajili ya kuanza mchakato wa siku Hapa katika kundi la kwanza washiriki wa Shindano la  Mama Shujaa wa Chakula , Shindano linaloendeshwa na Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow hapa wakiwahamasisha wanakijiji cha...

 

11 years ago

Mwananchi

Kaya zaidi ya 177 zaishi mapangoni Ulanga

>Zaidi ya kaya 177 zinaishi kwenye mapango, huku watoto 350 wakikosa nafasi ya kwenda shule baada ya wananchi wa Kijiji cha Mbangayao kuhamishwa katika kijiji chao na kupelekwa kijiji kipya cha Isaka kwa madai kuwa eneo hilo ni msitu wa hifadhi.

 

11 years ago

Habarileo

Shule taabani, walimu waishi darasani

SHULE ya Msingi Mwamashimba katika Kata ya Mwamalasa wilayani Kishapu Shinyanga, inakabiliwa na ukosefu wa vyoo, madawati na nyumba za walimu, hali inayosababisha baadhi ya walimu kuishi kwenye vyumba vya madarasa.

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania 23 waishi kambini Afrika Kusini

Dar es Salaam. Watanzania 23 wamewekwa kwenye kambi maalumu ya Isipingo nchini Afrika Kusini ili kupewa ulinzi kutokana na mashambulizi yanayofanywa na wazawa wa nchi hiyo dhidi ya wageni.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania waingia, waishi China kinyemela

Balozi wa Tanzania nchini China, Abdulrahman Shimbo WATANZANIA wengi wametajwa kuingia na kuishi nchini China kinyemela na kusababisha wanapopata matatizo yanayohitaji msaada wa serikali kushindikana kupewa, kwa kuwa hawamo katika utaratibu wa Diaspora.

 

10 years ago

Habarileo

Watoto 130,000 waishi na VVU

Dk Pindi ChanaTAKWIMU zinaonesha kuwa watoto 130,000 wana maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) kati ya hao 39,317 wamefikiwa na kupatiwa huduma ya dawa za kupunguza makali ya virusi hivyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Pacha waliotenganishwa India waishi kwa shida

>Mwezi mmoja baada ya pacha waliokuwa wameungana, Ericana na Eliud kurejea nyumbani mkoani Mbeya baada ya kutenganishwa huko India, imebainika kuwa sasa wanaishi maisha magumu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana waishi vyooni kwa ugumu wa maisha

VIJANA wanne wakazi wa mji wa O’murushaka, Kata ya Bugene, wilayani Karagwe, wanaishi kwenye vyoo vya huduma vya wasafiri vilivyopo katika mji  huo kwa miezi sita sasa kwa madai ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

UTT-PID: “Wananchi waishi maeneo yaliyopimwa”

Waziri Mbene akizungumza

Naibu Waziri  wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene akiwahutubia wananchi (hawapo pichani) wakati wa hafla hiyo.

..Yatoa hati ya viwanja kwa wateja wake

Na  Andrew Chale, Bagamoyo

NAIBU  Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ametoa rai kwa Taasisi za Kiserikali na zisizo za Kiserikali kuona umuhimu wa kutoa elimu ya kutosha kwa wananchi katika shughuli za upimaji ardhi ili kuwaepusha na adha zinazoweza kuwapata pale yanapotokea maafa.

Alisema hayo, mjini Bagamoyo wakati wa ufunguzi wa mradi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani