Wanakijiji waishi mapangoni (1)
Utajiuliza mara mbili mbili pale utakaposikia ama kuona binadamu wa karne ya 21 tena katika ardhi ya Tanzania, wananchi wake kuishi maisha kama ya wakimbizi au kulala usingizi wenye mashaka, tena chini ya mapango ya majabari ya mawe kama wanyama wasio na makazi maalum.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qvExWd4vz5Q/VckOPeSODEI/AAAAAAAAcO4/Y15_wybsc-s/s72-c/IMG-20150810-WA0020.jpg)
WASHIRIKI WA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAHIMIZA WANAKIJIJI KUFANYA KILIMO CHA BIASHARA, WAWAPA BURUDANI WANAKIJIJI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-qvExWd4vz5Q/VckOPeSODEI/AAAAAAAAcO4/Y15_wybsc-s/s640/IMG-20150810-WA0020.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UdmRQchvpo8/VckOQ4MHqmI/AAAAAAAAcPM/qXNNJVdOGmM/s640/IMG-20150810-WA0026.jpg)
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Kaya zaidi ya 177 zaishi mapangoni Ulanga
11 years ago
Habarileo20 Apr
Shule taabani, walimu waishi darasani
SHULE ya Msingi Mwamashimba katika Kata ya Mwamalasa wilayani Kishapu Shinyanga, inakabiliwa na ukosefu wa vyoo, madawati na nyumba za walimu, hali inayosababisha baadhi ya walimu kuishi kwenye vyumba vya madarasa.
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Watanzania 23 waishi kambini Afrika Kusini
10 years ago
Habarileo13 Apr
Watanzania waingia, waishi China kinyemela
WATANZANIA wengi wametajwa kuingia na kuishi nchini China kinyemela na kusababisha wanapopata matatizo yanayohitaji msaada wa serikali kushindikana kupewa, kwa kuwa hawamo katika utaratibu wa Diaspora.
10 years ago
Habarileo20 Nov
Watoto 130,000 waishi na VVU
TAKWIMU zinaonesha kuwa watoto 130,000 wana maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) kati ya hao 39,317 wamefikiwa na kupatiwa huduma ya dawa za kupunguza makali ya virusi hivyo.
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Pacha waliotenganishwa India waishi kwa shida
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Vijana waishi vyooni kwa ugumu wa maisha
VIJANA wanne wakazi wa mji wa O’murushaka, Kata ya Bugene, wilayani Karagwe, wanaishi kwenye vyoo vya huduma vya wasafiri vilivyopo katika mji huo kwa miezi sita sasa kwa madai ya...
10 years ago
Dewji Blog12 Dec
UTT-PID: “Wananchi waishi maeneo yaliyopimwa”
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene akiwahutubia wananchi (hawapo pichani) wakati wa hafla hiyo.
..Yatoa hati ya viwanja kwa wateja wake
Na Andrew Chale, Bagamoyo
NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ametoa rai kwa Taasisi za Kiserikali na zisizo za Kiserikali kuona umuhimu wa kutoa elimu ya kutosha kwa wananchi katika shughuli za upimaji ardhi ili kuwaepusha na adha zinazoweza kuwapata pale yanapotokea maafa.
Alisema hayo, mjini Bagamoyo wakati wa ufunguzi wa mradi na...