UTT-PID: “Wananchi waishi maeneo yaliyopimwa”
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene akiwahutubia wananchi (hawapo pichani) wakati wa hafla hiyo.
..Yatoa hati ya viwanja kwa wateja wake
Na Andrew Chale, Bagamoyo
NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ametoa rai kwa Taasisi za Kiserikali na zisizo za Kiserikali kuona umuhimu wa kutoa elimu ya kutosha kwa wananchi katika shughuli za upimaji ardhi ili kuwaepusha na adha zinazoweza kuwapata pale yanapotokea maafa.
Alisema hayo, mjini Bagamoyo wakati wa ufunguzi wa mradi na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
UTT PID yatoa huduma za uuzwaji wa fomu za viwanja vyake kwa Wananchi wanaotembelea maonesho ya 39 ya Sabasaba
Afisa Masoko Bi.Kilave Atenaka akitoa maelezo kwa mmoja wa wananchi waliotembelea kwenye banda hilo lililopo jirani ya kuingia katika banda kubwa la Ukumbi wa Karume
Na Mwandishi Wetu
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) ipo kwenye Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam, yanayoendelea katika mabanda ya Saba saba katika viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, barabara ya Kilwa jijini.
Banda la UTT PID lipo jirani na kuingia katika...
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
UTT-PID yashiriki mkutano wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS jijini Dar es Salaam!
Maafisa masoko wa UTT-PID, Laurence Nzuki (kushoto) na Martin Mchanjila (katikati) wakitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliotembelea kwenye banda hilo la UTT-PID wakati wa mkutano huo wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS uliofanyika mwishoni mwa wiki, Novemba 21-22.2015, Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) inafanya miradi mbalimbali ikiwemo huduma za uuzwaji wa viwanja katika...
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Madiwani wa Manispaa ya Lindi watembelea miradi ya UTT-PID
Mkurugenzi Mkuu wa UTT-PID, Dk. Gration Kamugisha (kulia) akielezea juu ya Taasisi hiyo juu ya utendaji wa kazi zake hapa Nchini, kushoto kwake ni Naibu Meya wa Manispaa ya Lindi, Amida Abdallah na pichani chini kulia ni Mstahiki Mstahiki Meya wa manispaa ya Lindi, Frank Magali.
Baadhi ya Madiwani wa Manispaa ya Lindi, wakiendelea na mafunzo hayo kutoka kwa maofisa wa UTT-PID (hawapo pichani).
Baadhi ya Madiwani kutoka Halmashahuri ya Lindi wakifuatilia mafunzo ya elimu juu ya ufanyaji...
10 years ago
Vijimambo16 Mar
Madiwani wa Manispaa ya Lindi watembelea miradi ya UTT-PID
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F03%2FMkurugenzi-Mkuu-wa-UTT-PID-Dk.-Gration-Kamugisha-kulia-akielezea-juu-ya-Taasisi-hiyo-juu-ya-utendaji-wa-kazi-zake-hapa-Nchini-kushoto-kwake-ni-Naibu-Meya-wa-Manispaa-ya-Lindi-Amida-Abdala.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F03%2FUTT-PID.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F03%2FBaadhi-ya-Madiwani-wa-Manispaa-ya-Lindi-wakiendelea-na-mafunzo-hayo-kutoka-kwa-maofisa-wa-UTT-PID-hawapo-pichani.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F03%2FBaadhi-ya-Madiwani-kutoka-Halmashahuri-ya-Lindi-wakifuatilia-mafunzo-ya-elimu-juu-ya-ufanyaji-wa-kazi-wa-UTT-PID.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Michuzi02 May
UTT-PID yashiriki maonesho ya Dar Property 2015
Katika maonyesho hayo, UTT-PID, inashiriki ikiwemo kutoa elimu mbalimbali na maelezo juu ya utendaji wa kazi za taasisi pamoja na huduma kwa watu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xvy15oBdi3Q/VImAH2R5UlI/AAAAAAAG2gw/d-Qc6GFVkjs/s72-c/unnamed..jpg)
UTT-PID YATOA HATI YA VIWANJWA KWA WATEJA WAKE
NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ametoa rai kwa Taasisi za Kiserikali na zisizo za Kiserikali kuona umuhimu wa kutoa elimu ya kutosha kwa wananchi katika shughuli za upimaji ardhi ili kuwaepusha na adha zinazoweza kuwapata pale yanapotokea maafa.
Hayo alisema mjini hapa siku Desemba 8, wakati wa ufunguzi wa mradi na ugawaji wa hati kwa wanunuzi wa Viwanja katika Kijiji cha Mapinga- Bagamoyo ulioratibiwa na Taasisi ya Maendeleo ya Miundombinu chini ya Dhamana...
10 years ago
Michuzi11 May
ZIARA YA BODI YA UTT-PID NA MENEJIMENTI YAKE NCHINI CHINA
![3.jpg picha](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/3.jpg-picha.jpg)
Na Mwandishi MaalumBodi ya Taasisi ya...
10 years ago
Vijimambo10 Apr
UTT-PID YASHIRIKI MKUTANO MKUU WA 30 WA ALAT JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F04%2FDSC_0085-e1428575817381.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![DSC_8842 (1)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_8842-1-e1428576116739.jpg)
![IMG_6592](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_6592-e1428576616361.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Uf7ikrGkKBk/VZhCyEzvuqI/AAAAAAABivQ/IwjnixaPsls/s72-c/1a.jpeg)
UTT-PID YASHIRIKI MAONYESHO YA SABASABA NDANI YA BANDA LA WIZARA YA FEDHA
Banda la UTT PID lipo jirani na kuingia katika Banda la Wizara ya Fedha upande wa kulia… karibuni sana wananchi mnaombwa kujitokeza kwa wingi mjipatie huduma mbali mbali zinazotolewa na taasisi hiyo ikiwemo huduma za uuzwaji wa viwanja katika...