Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto 130,000 waishi na VVU

Dk Pindi ChanaTAKWIMU zinaonesha kuwa watoto 130,000 wana maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) kati ya hao 39,317 wamefikiwa na kupatiwa huduma ya dawa za kupunguza makali ya virusi hivyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Raia 130,000 wa DRC wafukuzwa Brazaville

Zaidi ya wahamiaji 130,000 kutoka Jamhuri ya Demokrasia ya Congo wamefukuzwa kutoka Congo Brazaville tangu mwezi Aprili.

 

11 years ago

TheCitizen

Over 130,000 miss admission at govt-aided schools

At least 137,104 students have missed direct admission into government-aided schools.According to the Uganda National Examinations Board (Uneb) records, 261,438 students passed last year’s O-Level exams out of 289,012 who sat for the papers.

 

10 years ago

Habarileo

'Watoto 130 hufa kila siku kwa lishe duni'

WAKATI Tanzania ikisherehekea Siku ya Chakula Duniani, imeelezwa kuwa watoto 130 hufa kila siku nchini kutokana na kukosa lishe bora na matunzo sahihi.

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto wanaoishi na VVU wakosa kliniki

Asilimia 73 ya watoto wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (VVU), hawafikishwi katika kliniki maalumu ili kupatiwa dawa za kufubaza makali ya ugonjwa huo, badala yake ni asilimia 27 pekee ndiyo waliopo katika matibabu ya ART (ARV).

 

10 years ago

Michuzi

Watoto 130000 Wanaishi na Maambukizi ya VVU.

Na Johary Kachwamba-MAELEZO.
TAKWIMU zinaonesha kwamba watoto 130000 wana maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI (VVU) kati ya hao 39317 wamefikiwa na kupatiwa huduma ya dawa za kupunguza makali ya virusi hivyo.


Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Dkt. Pindi Chana wakati akifungua kongamano la nne la kitaifa la  VVU na UKIMWI kwa watoto linalofanyika  katika Ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere uliopo jijini Dar-es-salaam. 
Dkt . Chana alisema...

 

11 years ago

Mwananchi

Uchunguzi na matibabu ya VVU kwa watoto

Hakika Ukimwi ni ugonjwa hatari. Na inahuzunisha zaidi pale unapomwona mtoto mdogo akiwa na maambukizi haya na akiteseka.

 

9 years ago

StarTV

Zaidi watu 1,000 warejea kwenye tiba mkoani Singida Kupunguza Makali Ya Vvu

ZAIDI ya watu elfu moja wanaoishi na Virusi vya ugonjwa wa UKIMWI katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida, wamerejea kwenye tiba baada ya kuacha kabisa kuhudhuria Kliniki maalum za kuwahudumia miaka mitatu iliyopita kutokana na sababu mbalimbali.

Sababu za kuacha dawa za kufubaza Virus zinatajwa kuwa ni Kikombe cha Babu wa Loliondo, unyanyapaa na wengine kudhani kuwa wamepona hivyo kuendelea kudhofika hadi walipofikiwa na mpango wa huduma majumbani unaoendesha na Shirika la...

 

10 years ago

Habarileo

Watoto, wanaoishi na VVU waongoza mahitaji ya damu

ASILIMIA 90 ya damu yote inayohitajika kwa watoto, huwekewa watoto wanaoumwa malaria wakati asilimia 52 ya damu inahohitajika kwa watu wazima hutumiwa na wenye ugonjwa wa Ukimwi.

 

10 years ago

GPL

KONGAMANO LA TAIFA LA WATOTO, VVU NA UKIMWI KUFANYIKA DAR

Sehemu ya bango likiwa na ujumbe kuhusu  watoto. Mratibu Huduma za Tiba na Mafunzo za VVU na Ukimwi kwa Watoto, Dkt Anath Rwebembeza akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Makamu wa Rais na Mtendaji Mkuu…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani