Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umewahi kutoswa na msichana kisa kipato? Soma mashabiki wa AY wanavyosimulia, utacheka, utalia

“Umewahi kutoswa au kukataliwa na mrembo kwasababu huna kipato kizuri? Nataka kusikia story yako leo,” ni swali ambalo AY amewauliza mashabiki wake kupitia Facebook na simulizi zilizotolewa zitakuchekesha na zingine kukuliza. Hizi ni baadhi: (Note: Post zimechukuliwa kama zilivyoandikwa na mashabiki) Dissy Brizy Hiyo mwaka jana mzee mfukoni sina kitu halafu demu anataka mambo mazuri. […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Jose Mourinho ashambuliwa na mashabiki, kisa Terry

jose-mourinho_epa_2587091kLONDON, ENGLAND

MASHABIKI wa klabu ya Chelsea wamemtupia lawama kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho, baada ya kumuweka benchi beki wake, John Terry katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Porto.

 

Mchezo huo ambao ulipigwa kwenye Uwanja wa Dragao nchini Ureno, Chelsea ilikubali kichapo cha mabao 2-1, huku beki wake akiachwa benchi na kocha huyo.

 

Kitendo hicho kiliwafanya mashabiki watume ujumbe mbalimbali katika klabu hiyo wa kudai kwamba wanamtaka beki huyo kupewa nafasi ya kuanza kama...

 

10 years ago

CloudsFM

Mashabiki wamemjia juu Aunty Ezekiel,kisa pombe, kuvaa nguo za kubana ambazo hazistahili kwa mjamzito.

Mashabiki wamemjua juu staa wa filamu za Kibongo,Aunty Ezekiel baada ya kupost picha kwenye mtandao wa Instagram akiwa ameshika chupa ya pombe na kuvaa nguo ambazo hazistahili kuvaa mama mjamzito. godfreymtenga Ila uangalie mavazi wakati wa ujauzito.hiyo kaptula hapana vaa vigauni

stakishobo19 Aunt my kama hako ni kabia achana nacho bwana usitusumbulie kababy ketu jamani vumilia kwanza

kiria_lazaro Umshka pombe, inamadhara kwa mtto in u fucking stomach


mariousmiley Anti naona unatumia...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Omarion akatiza mitaa na mwanae wa mwezi mmoja, utacheka alivyombeba

Omarion ni baba mwenye furaha na ndio maana hivi karibuni alionekana akitabasamu tu akiwa amembeba mwanae wa kiume mwenye umri wa mwezi mmoja, Megaa Omari Grandberry. Muimbaji huyo wa zamani wa kundi la B2K, alikuwa usiku akiwa na mama wa mwanaye, Apryl Jones huko Hollywood. Tatizo ni jinsi alivyombeba sasa!!

 

10 years ago

Mwananchi

Mabaharia walalamikia ‘kutoswa’ katika ajira

Jumuiya ya Mabaharia Tanzania, imeitaka Serikali kusimamia upatikanaji wa ajira zao zilizoporwa na kupewa wageni katika ‘rig’ meli kubwa zinazofanya kazi ya utafiti na uchimbaji mafuta na gesi nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mabaharia walia kutoswa miradi ya gesi

UMOJA wa mabaharia nchini wamesikitishwa na kitendo cha serikali kushindwa kuwasimamia kupata ajira ya uchorongaji wa gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara. Wamesema tangu kazi hiyo ianze, hakuna baharia...

 

10 years ago

Vijimambo

Sentensi 2 Chungu Za Makamba Baada Ya Kutoswa 5 Bora


Nawashukuru wote mliotuunga mkono. Mlitupa nguvu. Nawashukuru pia mliotupinga na kutukosoa. Mlitusaidia kujitazama na kujirekebisha.Hatujapoteza uchaguzi kwasababu mimi na vijana niliokuwa tumejifunza mengi na tumejenga undugu. Tumepambana na matakwa ya Mungu yametimia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watuhumiwa kuvunja viti Taifa walia kutoswa Simba

WAKATI kesi ya kufanya fujo na kuvunja viti vya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mechi kati ya Simba na Kagera Sugar ikitarajiwa kuanza kusikilizwa Januari 27 katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Umewahi kula konokono?

Mfanyabiashara mmoja nchini Kenya ameanzisha kampeni kali ya kufuga konokono Afrika Mashariki

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani