Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Omarion akatiza mitaa na mwanae wa mwezi mmoja, utacheka alivyombeba

Omarion ni baba mwenye furaha na ndio maana hivi karibuni alionekana akitabasamu tu akiwa amembeba mwanae wa kiume mwenye umri wa mwezi mmoja, Megaa Omari Grandberry. Muimbaji huyo wa zamani wa kundi la B2K, alikuwa usiku akiwa na mama wa mwanaye, Apryl Jones huko Hollywood. Tatizo ni jinsi alivyombeba sasa!!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Chamberlain kukaa nje mwezi mmoja

Arsenal itakosa huduma za Alex Oxlade-Chamberlain kwa takriban majuma 4 kutokana na jeraha

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwezi mmoja wa uongozi wa Magufuli Tanzania

Kasi ya utendaji wa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli imeibua hisia mbalimbali nchini humo, nchi za jirani na hata zingine za mbali barani Afrika.

 

9 years ago

Michuzi

TRA YAONGEZA MWEZI MMOJA USAJILI WA PIKIPIKI

Na Raymond Mushumbusi MAELEZO
Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) imesema imeongeza muda kwa usajili  wa vyombo vya usafiri vya Pikipiki za magurudumu mawili na matatu mpaka  Februari Mosi mwaka 2016.
Hayo yamesemwa leo na Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo Alphayo Kidata alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari katika kikao chake cha kutoa taarifa kwa umma juu ya ukusanyaji wa kodi, Kaimu Kamishna Mkuu amesema wameamua kuongeza muda wa zoezi la usajili wa pikipiki ili kuiwapa nafasi wale...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwakyembe apigwa mwezi mmoja kutoa majibu

1

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa mjini Mtwara katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye  viwanja vya Mashujaa mjini humo akihitimisha ziara yake ya siku 16 aliyoifanya katika mikoa ya Lindi na Mtwara akikagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 inayotekelezwa na serikali kwa kushirikiana na wananchi wenyewe na kuhimiza uhai wa chama cha Mapinduzi CCM.

Katika ziara hiyo Katibu mkuu huyo aliongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwezi mmoja toka mauaji ya Baga Nigeria

Leo ni mwezi mmoja tangu wapiganaji wa Boko Haram waliposhambulia miji ya Baga na Doron Baga kaskazini mashariki mwa Nigeria.

 

11 years ago

GPL

KICHANGA KILICHOOPOLEWA CHOONI TANGA CHATIMIZA MWEZI MMOJA

Walezi wa kwaya ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Francis Mihayo (kushoto) na Sylvester Tyienyi wakiwa na kichanga kilichoopolewa chooni mkoani Tanga ambacho kimetimiza mwezi mmoja sasa. Mlezi wa kwaya ya Kanisa Katoliki la Mtakatifu…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani