MABAHARIA 940 WAKUTWA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-U-Bg3Gf9fFY/XprGEfM43fI/AAAAAAAAyMU/Br4Te0KEjAgw7JUrfGpLQtCfoFV0JzYxgCLcBGAsYHQ/s72-c/USS-Carl-Vinson-South-China-Sea-3-2-17.png)
Wizara ya Afya Ufaransa imesema Mabaharia 940 kati ya 2300 waliomo kwenye meli ya kubebea ndege za kijeshi ya Ufaransa, Charles de Gaulle, wamekutwa na corona, Meli hiyo imeegeshwa kwenye Bandari ya Toulon
“Kati yao wagonjwa 20 wamelazwa, 8 wanasaidiwa kupumua na mmoja yuko ICU”
Jeshi limeanza uchunguzi ili kupata majibu yatakayowezesha kubaini corona imeingiaje kwenye Meli hiyo.
Hadi takwimu za muda huu Ufaransa ina jumla ya vifo 18,681 vya corona na visa 109,252.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Virusi vya corona: Madereva 4 wa malori kutoka Tanzania wakutwa na virusi hivyo Uganda
10 years ago
TheCitizen05 Oct
940 households face court action
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Mabaharia walilia bima ya maisha
MWENYEKITI wa Umoja wa Mabahari nchini, Frank Chuma, amesema wapo katika mchakato wa kuhakikisha kila anayefanya kazi majini anapatiwa bima ya maisha. Alisema suala la kuwa na bima ya maisha...
11 years ago
BBCSwahili08 Jun
Mabaharia wa meli ya Malaysia waachiliwa
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Mabaharia walia kutoswa miradi ya gesi
UMOJA wa mabaharia nchini wamesikitishwa na kitendo cha serikali kushindwa kuwasimamia kupata ajira ya uchorongaji wa gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara. Wamesema tangu kazi hiyo ianze, hakuna baharia...
9 years ago
Habarileo25 Oct
Mabaharia wapata njia ya kuongeza ajira
JUMUIYA ya Mahabaria nchini imesema muda wowote kuanzia sasa itaanza kupeleka mabaharia 200 katika vyombo vya uchakataji, utafutaji, uchimbaji na usambazaji wa gesi baharini ikiwa ni hatua ya kupunguza tatizo la ajira nchini.
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Mabaharia walalamikia ‘kutoswa’ katika ajira
10 years ago
Habarileo05 Oct
Mabaharia wataka kazi meli za utafiti wa mafuta
JUMUIYA ya Mabaharia Tanzania imeiomba Serikali kuajiri wanachama wake katika meli za utafiti na uchimbaji mafuta na gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/M_g4z6mj1q4/default.jpg)