Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MABAHARIA 940 WAKUTWA NA CORONA

Wizara ya Afya Ufaransa imesema Mabaharia 940 kati ya 2300 waliomo kwenye meli ya kubebea ndege za kijeshi ya Ufaransa, Charles de Gaulle, wamekutwa na corona, Meli hiyo imeegeshwa kwenye Bandari ya Toulon

 “Kati yao wagonjwa 20 wamelazwa, 8 wanasaidiwa kupumua na mmoja yuko ICU”

Jeshi limeanza uchunguzi ili kupata majibu yatakayowezesha kubaini corona imeingiaje kwenye Meli hiyo.

Hadi takwimu za muda huu Ufaransa ina jumla ya vifo 18,681 vya corona na visa 109,252.

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Madereva 4 wa malori kutoka Tanzania wakutwa na virusi hivyo Uganda

Wizara ya afya nchini Uganda imetangaza wagonjwa wanne wapya wa virusi vya corona na kufanya idadi ya wanaothirika na ugonjwa huo kufikia 79.

 

10 years ago

TheCitizen

940 households face court action

Some 940 Kashule villagers in Kashogo Ward, Bukoba District may be charged in court after they failed to contribute towards the construction of laboratories for a public secondary school.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabaharia walilia bima ya maisha

MWENYEKITI wa Umoja wa Mabahari nchini, Frank Chuma, amesema wapo katika mchakato wa kuhakikisha kila anayefanya kazi majini anapatiwa bima ya maisha. Alisema suala la kuwa na bima ya maisha...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mabaharia wa meli ya Malaysia waachiliwa

Mabaharia 11 wa meli moja ya Malaysia iliotekwa nyara na maharamia wa Somali wameachiliwa huru .

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mabaharia walia kutoswa miradi ya gesi

UMOJA wa mabaharia nchini wamesikitishwa na kitendo cha serikali kushindwa kuwasimamia kupata ajira ya uchorongaji wa gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara. Wamesema tangu kazi hiyo ianze, hakuna baharia...

 

9 years ago

Habarileo

Mabaharia wapata njia ya kuongeza ajira

JUMUIYA ya Mahabaria nchini imesema muda wowote kuanzia sasa itaanza kupeleka mabaharia 200 katika vyombo vya uchakataji, utafutaji, uchimbaji na usambazaji wa gesi baharini ikiwa ni hatua ya kupunguza tatizo la ajira nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Mabaharia walalamikia ‘kutoswa’ katika ajira

Jumuiya ya Mabaharia Tanzania, imeitaka Serikali kusimamia upatikanaji wa ajira zao zilizoporwa na kupewa wageni katika ‘rig’ meli kubwa zinazofanya kazi ya utafiti na uchimbaji mafuta na gesi nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Mabaharia wataka kazi meli za utafiti wa mafuta

JUMUIYA ya Mabaharia Tanzania imeiomba Serikali kuajiri wanachama wake katika meli za utafiti na uchimbaji mafuta na gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani