Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OSCAR PISTORIUS KUACHIWA MWEZI AGOSTI

Oscar Pistorius akilia wakati wa hukumu yake. MWANARIADHA maarufu nchini Afrika Kusini ambaye ni mlemavu, Oscar Pistorius huenda akaachiwa huru mwezi Agosti, mwaka huu baada ya kukaa jela kwa miezi 10. Pistorius akiwa katika mashindano ya riadha. Mwanariadha huyo anatumikia kifungo cha miaka mitano baada ya kukutwa na hatia ya kumuua kwa kumpiga risasi mpenzi wake ambaye alikuwa mwanamitindo aitwaye Reeva Steenkamp. "Oscar...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

OSCAR PISTORIUS KUACHIWA IJUMAA

Mwanariadha Oscar Pistorius. Oscar Pistorius akiwa na mpenzi wake Reeva Steenkamp. Oscar Pistorius akiwa mahakamani wakati wa kesi yake. Mwanariadha mahiri wa nchini Afrika Kusini, Oscar Pistorius anatarajiwa kuachiwa Ijumaa hii baada ya kuonyesha tabia nzuri akiwa gerezani. Pistorius alihukumiwa kifungo cha…

 

10 years ago

BBCSwahili

Pistorius 'kuachiliwa huru mwezi Agosti'

Mwanariadha mlemavu kutoka Afrika Kusini Oscar Pistorius huenda akaachiliwa huru Agosti tarehe 21

 

11 years ago

GPL

OSCAR PISTORIUS KUFANYIWA UCHUNGUZI WA KIAKILI KWA MWEZI MMOJA

Mwanariadha wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius. JAJI katika kesi inayomkabili Oscar Pistorius wa Afrika Kusini anasema kuwa mwanariadha huyo lazima aanze kufanyiwa uchunguzi wa kiakili kuanzia Jumatatu wiki ijayo kwa muda wa mwezi mmoja kubaini hali yake kiakili alipomuua mpenzi wake Reeva Steenkamp. Jaji Thokozile Masipa aliamuamuru Pistorius kua awe anakwenda katika hospitali ya maradhi ya kiakili ya Weskoppies mjini Pretoria...

 

5 years ago

Bongo5

Documentary ya Chris Brown ‘Welcome To My Life’ kuachiwa mwezi Juni

Baada ya kusubiriwa kwa kipindi kirefu ujio wa documentary ya Chris Brown, imetajwa kutoka mwezi Juni mwaka huu.

Muimbaji huyo amethibitisha hilo kupitiaa mtandao wa Instagram, kwa kuweka video ya trailer ya documentary hiyo na kuandika, “In theaters 🎭 June.”

Documentary hiyo itakayoitwa ‘Welcome To My Life’ itakuwa ikizungumzia maisha ya muimbaji huyo aliyowahi kupitia, ikiwemo mahusiano yake na aliyewahi kuwa mpenzi wake Rihanna, yaliyomsababishia kuchukiwa na mashabiki baada ya kumshushia...

 

9 years ago

BBC

What next for Oscar Pistorius?

Why killer athlete set to remain behind bars - for now

 

10 years ago

BBC

Oscar Pistorius 'has no money'

The sentencing hearing of Oscar Pistorius hears the athlete has no money left after the seven-month trial.

 

11 years ago

BBC

Oscar Pistorius in nightclub row

South African athlete and murder accused Oscar Pistorius was involved in an argument at a nightclub at the weekend, his spokesperson confirms.

 

11 years ago

BBCSwahili

Oscar Pistorius akana mashitaka

Siku ya kwanza ya kesi ya mauaji dhidi ya Oscar Pistorius imekamilika nchini Afrika Kusini. Pistorius amaka kumuua mpenzi wake marehemu Reeva Steenkamp

 

11 years ago

BBC

Oscar Pistorius 'close to disaster'

Andrew Harding says Pistorius' testimony failed to impress

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani