Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Documentary ya Chris Brown ‘Welcome To My Life’ kuachiwa mwezi Juni

Baada ya kusubiriwa kwa kipindi kirefu ujio wa documentary ya Chris Brown, imetajwa kutoka mwezi Juni mwaka huu.

Muimbaji huyo amethibitisha hilo kupitiaa mtandao wa Instagram, kwa kuweka video ya trailer ya documentary hiyo na kuandika, “In theaters 🎭 June.”

Documentary hiyo itakayoitwa ‘Welcome To My Life’ itakuwa ikizungumzia maisha ya muimbaji huyo aliyowahi kupitia, ikiwemo mahusiano yake na aliyewahi kuwa mpenzi wake Rihanna, yaliyomsababishia kuchukiwa na mashabiki baada ya kumshushia...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

GIVEMESPORT

WWE news: Chris Jericho says Dark Side of the Ring documentary on Chris Benoit won't glorify him

WWE news: Chris Jericho says Dark Side of the Ring documentary on Chris Benoit won't glorify him  GIVEMESPORTChris Jericho On Not Wanting To Glorify Chris Benoit Tragedy With New Documentary  Ringside NewsChris Jericho Discusses Dark Side Of The Ring Involvement  SEScoopsView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Bongo5

Mtoto wa Chris Brown sasa ni Royalty Brown rasmi

Chris Brown na mzazi mwenzie, Nia Guzman wamemaliza vita vyao kuhusiana na haki ya kila mmoja kukaa na mtoto wao pamoja na jina lake rasmi kwenye cheti cha kuzaliwa. Vyanzo vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Chris na Nia wamekubaliana rasmi kumlea pamoja mtoto huyo. Chris atakaa naye kwa siku 12 katika mwezi na hakutakuwa na […]

 

10 years ago

GPL

OSCAR PISTORIUS KUACHIWA MWEZI AGOSTI

Oscar Pistorius akilia wakati wa hukumu yake. MWANARIADHA maarufu nchini Afrika Kusini ambaye ni mlemavu, Oscar Pistorius huenda akaachiwa huru mwezi Agosti, mwaka huu baada ya kukaa jela kwa miezi 10. Pistorius akiwa katika mashindano ya riadha. Mwanariadha huyo anatumikia kifungo cha miaka mitano baada ya kukutwa na hatia ya kumuua kwa kumpiga risasi mpenzi wake ambaye alikuwa mwanamitindo aitwaye Reeva Steenkamp. "Oscar...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Chris Brown — Zero

Msanii Chris Brown ameachia wimbo mpya mwingine unaitwa “Zero” utakaokuepo kwenye Album yake mpya ambayo inategemewa kutoka hivi karibuni. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Chris Brown – Fine By Me

cb-fine-by-me

Alitanguliza audio ya wimbo huu mpya ‘Fine By Me’ siku ya jana, na sasa Chris Brown ameachia video yake.

cb-fine-by-me

Video hii imeongozwa na Breezy mwenyewe.

‘Fine By Me’ ni wimbo utakaopatikana kwenye album yake mpya ‘Royalty’ ambayo sasa watu wameanza kuruhusiwa kuweka oda kupitia iTunes.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Chris Brown – ‘Little More (Royalty)’

final4

Chris Brown ameachia video mpya ya wimbo ‘Little More (Royalty)’ ikiwa ndio final chapter inayokamilisha album mpya ya Chris. video queen si mwingine bali mwanae mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu, Royalty! angalia hapa.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Music: Chris Brown — Gravity

Chris Brown digs into the crates and unearths a song from the “unreleased Breezy collection” called “Gravity,” which he recorded a while ago. It’s a melancholy pop song with pounding stadium drums and an anthemic chorus. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyumba ya Chris Brown yavamiwa

Nyumba ya nyota wa muziki Chris Brown kutoka Marekani imevamiwa na kupekuliwa na watu watatu waliofunika nyuso zao ambao walimfungia shangazi lake ndani chumba chake kulingana na maafisa wa polisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani