DIAMOND AKAMATWA NA KUACHIWA KWA DHAMANA
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' . Baada ya wacheza shoo wake kukamatwa, hatimaye Diamond naye ajisalimisha polisi Kituo cha Polisi cha Oyster Bay, alihojiwa kwa masaa kadhaa kisha kuachiwa kwa dhamana baada ya kukabidhi sare za JWTZÂ kituoni hapo.
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE ASHANGAA MTUHUMIWA KUACHIWA NA MAHAKAMA ZANZIBAR KWA KUKOSEKANA MKALIMANI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0BwsZPYwdWUHlREjZJJCN14VGA0kW62IZxO7T930-3L9YeRMgD7unOxs9gfxwrHsXtiHS1QMaV1UrhxoSPwIAyr/PICHACHADEMA.jpg?width=750)
MASHA AACHIWA KWA DHAMANA
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Hasanoo huru kwa dhamana
11 years ago
Habarileo01 Jan
SMZ kufuta dhamana kwa wabakaji
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema ipo katika mchakato wa kurekebisha sheria zake za mwenendo wa makosa ya jinai pamoja na kufuta dhamana kwa watuhumiwa wa makosa ya ubakaji.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Katiba na Sheria Abubakar Khamis Bakary .
Kauli hiyo imekuja kufuatia hoja ya Mwakilishi wa Viti Maalumu Wanawake kutoka CCM Mgeni Hassan Juma aliyoiwakilisha katika Baraza la Wawakilishi inayoitaka Serikali kudhibiti na kupambana na matukio ya udhalilishaji wa kijinsia na...
10 years ago
StarTV29 Jun
Karenzi Kareke ameachiliwa kwa dhamana
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/23/150623091518_karenzi_karake_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda ameachiliwa kwa dhamana.
Luteni jenerali Karenzi Karake ametakiwa kufika kwenye kituo cha polisi kila siku.
Luteni jenerali Karenzi Karake alikamatwa siku ya jumamosi katika uwanja wa ndege wa Heathrow Jumamosi iliyopita chini ya kibali cha kukamatwa cha ulaya.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/25/150625115654_karenzi_kareke_kufikishwa_mahakamani_leo_624x351_bbc_nocredit.jpg)
KK anatakiwa na Madrid kuhusiana na vifo vya wafanyikazi...
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Kibonde aachiwa kwa dhamana Oysterbay
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Mansour aachiwa kwa dhamana Z’bar
9 years ago
Mwananchi04 Nov
Wanachama wa Chadema waachiwa kwa dhamana
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Lema, wenzake waachiwa kwa dhamana