WAZIRI SIMBACHAWENE ASHANGAA MTUHUMIWA KUACHIWA NA MAHAKAMA ZANZIBAR KWA KUKOSEKANA MKALIMANI
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na Watendaji Wakuu wa Jeshi na Polisi Zanzibar, katika ukumbi wa mikutano wa Jeshi hilo, Mjini Unguja, leo. Simbachawene amesema atafuatilia kwa viongozi baada ya kupokea taarifa ya Jeshi lake, kuwa mtuhumiwa wa dawa za kulevya mjini humo kuachiwa huru na mahakama kwasasabu ya kukosekana kwa mkalimani. Pia alishangazwa na baadhi watuhumiwa wa dawa za kulevya kuachiliwa huru na mahakama kwa kupewa adhabu ndogo ambacho...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE AWASILI ZANZIBAR KWA ZIARA YA KIKAZI
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (katikati) akizungumza na Kamishna wa Polisi Zanzibar, Mohamed...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI SIMBACHAWENE AJITAMBULISHA KWA RAIS DK.SHEIN, IKULU JIJINI ZANZIBAR, LEO
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Goerge Simbachawene, Ikulu jijini Zanzibar, leo. (Picha na Ikulu, Zanzibar)
5 years ago
MichuziRAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA WAZIRI SIMBACHAWENE IKULU JIJINI ZANZIBAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g1bQiFSh6Hs/XmeYY7y0b3I/AAAAAAALibQ/5RsVZdWeWD8WEDQo7upWwzUFZmcicT0YwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AAA-2-768x512.jpg)
RAIS, DK SHEIN AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI SIMBACHAWENE, IKULU ZANZIBAR, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-g1bQiFSh6Hs/XmeYY7y0b3I/AAAAAAALibQ/5RsVZdWeWD8WEDQo7upWwzUFZmcicT0YwCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AAA-2-768x512.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), wakati alipofika kujitambulisha na kufanya mazungunzo, Ikulu Zanzibar, leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-2AA-5-1024x682.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6PpPNrtVSI8/XkqlE1yacrI/AAAAAAALdw8/qrUAn7kzLD0K7y06hYfFs8019nXBg1ZvACLcBGAsYHQ/s72-c/06bfda21-15e6-41d7-bf61-d7afc4312ce3.jpg)
WAKILI KICHEELE AIOMBA MAHAKAMA KUFUNGUA AKAUNTI YA MTUHUMIWA ANAYEKABILIWA KWA KOSA LA KULAWITI
WAKILI Nyaronyo Kicheele anayemtetea mshtakiwa Samwel Philemon anayekabiliwa na kosa la kulawiti ameomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kufungua akaunti za mteja wake zinashoshikiliwa na polisi kwani mashtaka yanayomkabili siyo ya uhujumu uchumi na wala hayahusiani na fedha.
Kicheele amewasilisha maombi hayo leo Februari 17,mwaka 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Rashid Chaungu wakati mshtakiwa Philemon ambaye ni mfanyabiashara na mwenzake ambaye ni...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-8ygaM2K5iIE/Xu8RGcdclvI/AAAAAAAC8C0/K_97K4ZSVWAmYl-AQpq91GFizo_D4-GygCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA CGP KWA MABADILIKO MAKUBWA MAGEREZANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-8ygaM2K5iIE/Xu8RGcdclvI/AAAAAAAC8C0/K_97K4ZSVWAmYl-AQpq91GFizo_D4-GygCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Na Felix Mwagara, MOHA, Morogoro.WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema kasi ya utendaji kazi wa Kamishna Generali wa Jeshi la Magereza Nchini, (CGP) Suleiman Mzee, imemfurahisha kutokana na mabadiliko makubwa ya maendeleo kwa kipindi cha muda mfupi tangu alipoteuliwa kuliongoza Jeshi hilo.
Akizungumza katika hafla ya kuzindua mashine ya kuchimbia ‘excavator’ iliyofanyika Gereza la Mbigili, Wilaya ya Mvomero, Mkoani Morogoro, jana Waziri Simbachawene alisema Jeshi la...
10 years ago
CloudsFM31 Dec
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-feJJIt_rc6I/VTfNzaLCGfI/AAAAAAAHSlQ/VvLkNtRzI_4/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR (ZLSC) CHATOA Mafunzo kwa Maafisa wa Mahakama ya Kadhi juu ya ulinzi wa Mtoto Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-feJJIt_rc6I/VTfNzaLCGfI/AAAAAAAHSlQ/VvLkNtRzI_4/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3UFoPIqQSGQ/VTfNzbIBCsI/AAAAAAAHSlM/2Ho8DN2sAOI/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hn2IJ-Sikyo/VTfNzSW52oI/AAAAAAAHSlY/nwInPgfCaa0/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NZUThdF43tM/VTfN0Kk3KXI/AAAAAAAHSlo/5BI8PVaCODs/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Dol2qq6_UzU/VTfN0dIu_-I/AAAAAAAHSlg/iMtO0DobQ5Y/s1600/unnamed%2B(49).jpg)