Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKILI KICHEELE AIOMBA MAHAKAMA KUFUNGUA AKAUNTI YA MTUHUMIWA ANAYEKABILIWA KWA KOSA LA KULAWITI

Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu 

WAKILI Nyaronyo Kicheele anayemtetea mshtakiwa Samwel Philemon anayekabiliwa na kosa la kulawiti ameomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kufungua akaunti za mteja wake zinashoshikiliwa na polisi kwani mashtaka yanayomkabili siyo ya uhujumu uchumi na wala hayahusiani na fedha.

Kicheele amewasilisha maombi hayo leo Februari 17,mwaka 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Rashid Chaungu wakati mshtakiwa Philemon ambaye ni mfanyabiashara na mwenzake ambaye ni...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Ahukumiwa maisha jela kwa kosa la kubaka na kulawiti



Na Amiri kilagalila,Njombe

Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Njombe imemuhukumu Hezron Ndone ( 44) mkazi wa joshoni kata ya mji mwema mjini Njombe kwenda jela kifungo cha maisha kwa kosa kumbaka na kumlawiti mtoto wake wa kumzaa ambaye ni mwanafunzi darasa la tano mwenye umri wa miaka 10.

Akisoma hukumu ya kesi namba 14 ya mwaka 2020 hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya mkoa Njombe Hassan Mkakube alisema mtuhumiwaalishtakiwa kwa makosa manne mawili ya kuzini na maalimu kinyume na...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE ASHANGAA MTUHUMIWA KUACHIWA NA MAHAKAMA ZANZIBAR KWA KUKOSEKANA MKALIMANI

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na Watendaji Wakuu wa Jeshi na Polisi Zanzibar, katika ukumbi wa mikutano wa Jeshi hilo, Mjini Unguja, leo. Simbachawene amesema atafuatilia kwa viongozi baada ya kupokea taarifa ya Jeshi lake, kuwa mtuhumiwa wa dawa za kulevya mjini humo kuachiwa huru na mahakama kwasasabu ya kukosekana kwa mkalimani. Pia alishangazwa na baadhi watuhumiwa wa dawa za kulevya kuachiliwa huru na mahakama kwa kupewa adhabu ndogo ambacho...

 

10 years ago

Habarileo

Watetea viongozi kufungua akaunti nje

BAADHI ya wajumbe wa Bunge la Katiba wametetea viongozi kufungua akaunti nje ya nchi wakisema uongozi si utumwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajasiriamali watakiwa kufungua akaunti ACB

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Benki ya ACB, Fredrick Archard, ametoa wito kwa wajasiriamali nchini kufungua akaunti katika benki hiyo ili waweze kukuza biashara zao haraka.

 

11 years ago

Habarileo

DPP aiomba Mahakama Kuu kutupa ombi la Ponda

MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP), ameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali ombi la Katibu wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu Shekhe Issa Ponda kusimamisha kesi ya uchochezi inayomkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakili Minde ashauri gharama za kufungua kesi zipunguzwe

Wakili maarufu mkoani Kilimonjaro, Elizabeth Minde, ameliomba Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, kuangalia upya sheria ya gharama za kufungua kesi mahakamani ambazo alisema zimepanda mno na kusababisha wananchi wa kipato cha chini, kushindwa kufungua kesi pale wanapoona haki yao imepokonywa.

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA; NI KOSA ASKARI KUONDOKA NA MTU MWINGINE BAADA YA KUMKOSA MTUHUMIWA NYUMBANI.

             Na  Bashir  Yakub.
Malalamiko  ya raia  dhidi  ya  jeshi  la  polisi  hayataishi  kama  polisi  wenyewe hawatajirekebisha.  Na ieleweke kuwa  si  kweli  kwamba wanaolalamika  ni  wajinga  au hawana sababu  za  msingi.  Mara  zote  ukiangalia  malalamiko  ya  raia huwa  ni  ya  msingi  na  mzizi  wake ni  mmoja  tu.  Ni  utamaduni  wa  askari  wetu  kutopenda  kutenda  hatua  kwa  hatua  kama sheria  inavyoagiza. Sheria  imetoa  maelezo  mazuri  tu  ya namna  ya  kuyaendea  mambo....

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe apanda kizimbani Himo, aiomba Mahakama ifute kesi

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe ameiomba mahakama kutupilia mbali kesi inayomkabili kwakuwa ni kesi  iliyotengenezwa  kutokana na chuki za kisiasa na jazba za kushindwa katika uchaguzi mkuu uliopita wa mwaka 2010.

 

11 years ago

Michuzi

News alert mahakama ya rufaa yawaachia huru wachina wawili waliofungwa kwa kosa la kuvua samaki nchini kinyume na sheria

Mahakama ya Rufani imewaachia huru wafungwa wawili raia China (pichani)  waliokuwa wakitumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la uvuvi haramu katika katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari ya Tanzania (Exclusive Economic Zone- EEZ) Wafungwa hao , Hsu Chin Tai ambaye alikuwa nahodha wa meli ya Tawaliq 1 waliyokamatwa nayo wakifanya uvuvi huo haramu na aliyekuwa wakala wa meli hiyo, pamoja na baharia Zhao Hanquing.   Walitiwa hatiani na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Februari 23,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani