Karenzi Kareke ameachiliwa kwa dhamana
Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda anatarajiwa kufika mahakamani hivi leo
Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda ameachiliwa kwa dhamana.
Luteni jenerali Karenzi Karake ametakiwa kufika kwenye kituo cha polisi kila siku.
Luteni jenerali Karenzi Karake alikamatwa siku ya jumamosi katika uwanja wa ndege wa Heathrow Jumamosi iliyopita chini ya kibali cha kukamatwa cha ulaya.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/25/150625115654_karenzi_kareke_kufikishwa_mahakamani_leo_624x351_bbc_nocredit.jpg)
KK anatakiwa na Madrid kuhusiana na vifo vya wafanyikazi...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Karenzi Kareke kufikishwa mahakamani leo
Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda anatarajiwa kufika mahakamani hivi leo kuhusu madai ya uhalifu wa kivita yanayomkabili.
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Daniel Ceballos ameachiliwa huru
Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Venezuela Daniel Ceballos ameachiliwa kutoka kifungoni na kuwekwa chini ya kizuizi cha nyumbani.
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Je, Karenzi Karake ni nani?
Nchini Rwanda anajulikana zaidi kwa jina fupi KK.luteni jenerali Karenzi Karake, ana mwenye umri wa miaka 54
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Karenzi Karake akamatwa Heathrow
Mkuu wa upelelezi nchini Rwanda,ambaye alikuwa anasakwa nchini Hispania kwa makosa ya uhalifu wa kivita, amekamatwa mjini London.
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Hasanoo huru kwa dhamana
Baada ya kusota rumande kwa zaidi ya miaka mitatu hatimaye Mwenyekiti wa Chama cha Soka Pwani (Corefa), Hassani Othman maarufu kama Hasanoo ameachiwa huru kwa dhamana katika Mahakama ya Kisutu.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0BwsZPYwdWUHlREjZJJCN14VGA0kW62IZxO7T930-3L9YeRMgD7unOxs9gfxwrHsXtiHS1QMaV1UrhxoSPwIAyr/PICHACHADEMA.jpg?width=750)
MASHA AACHIWA KWA DHAMANA
Lawrence Masha akiwa na wanachama wa Ukawa baada ya kuachiwa. Baada ya jana kulala mahabusu ya segerea, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha leo ameachiwa kwa dhamana baada ya kutimiza masharti ya dhamana. Masha, ambaye anashitakiwa kwa kosa la kuwazuia Polisi wasifanye kazi ikiwa ni pamoja na kuwatolea lugha ya matusi. Jana alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo alisomewa mashtaka...
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Mansour aachiwa kwa dhamana Z’bar
Mahakama Kuu ya Zanzibar imemwachia kwa dhamana waziri wa zamani wa SMZ, Mansour Yusuph Himid ikisema hakuna kosa lisilokuwa na dhamana Zanzibar kwa mujibu wa sheria kwa kuwa si hatari kumiliki silaha, bali matumizi yake ndiyo hatari.
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Lema, wenzake waachiwa kwa dhamana
Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Lema na wenzake wanne wameachiliwa kwa dhamana leo baada ya kushikiliwa na polisi tangu jana.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
DIAMOND AKAMATWA NA KUACHIWA KWA DHAMANA
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' . Baada ya wacheza shoo wake kukamatwa, hatimaye Diamond naye ajisalimisha polisi Kituo cha Polisi cha Oyster Bay, alihojiwa kwa masaa kadhaa kisha kuachiwa kwa dhamana baada ya kukabidhi sare za JWTZÂ kituoni hapo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania