Karenzi Kareke kufikishwa mahakamani leo
Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda anatarajiwa kufika mahakamani hivi leo kuhusu madai ya uhalifu wa kivita yanayomkabili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV29 Jun
Karenzi Kareke ameachiliwa kwa dhamana
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/23/150623091518_karenzi_karake_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda ameachiliwa kwa dhamana.
Luteni jenerali Karenzi Karake ametakiwa kufika kwenye kituo cha polisi kila siku.
Luteni jenerali Karenzi Karake alikamatwa siku ya jumamosi katika uwanja wa ndege wa Heathrow Jumamosi iliyopita chini ya kibali cha kukamatwa cha ulaya.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/25/150625115654_karenzi_kareke_kufikishwa_mahakamani_leo_624x351_bbc_nocredit.jpg)
KK anatakiwa na Madrid kuhusiana na vifo vya wafanyikazi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-oOHmo8VfZss/XpH8Ca8h3tI/AAAAAAABnHw/hTo_aGa6umo5HbMFztUpz0WmTH7EGj2CACLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
RAIA WA CHINA KUFIKISHWA MAHAKAMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-oOHmo8VfZss/XpH8Ca8h3tI/AAAAAAABnHw/hTo_aGa6umo5HbMFztUpz0WmTH7EGj2CACLcBGAsYHQ/s640/images.jpg)
Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu leo Aprili 11,2020 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Benjamini Kuzaga amesema mtuhumiwa amekiuka utaratibu huo Aprili 5, 2020 katika kizuizi cha Ntibili Majimoto.
"Mtuhumiwa alikuwa anaendesha gari lenye namba za...
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Watuhumiwa kufikishwa mahakamani Kenya
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Wanahabari kufikishwa mahakamani Misri
10 years ago
Mtanzania28 Feb
Makonda sasa kufikishwa mahakamani
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita, ametangaza kumfikisha mahakamani Mkuu mpya wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, baada ya kushindwa kuomba radhi kutokana na kashfa alizozitoa dhidi yao.
Guninita alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana katika mkutano wake na waandishi wa habari,uliofanyika katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo.
Hatua hiyo imekuja baada ya Makonda kuandikiwa barua Februari 12 mwaka...
10 years ago
Vijimambo31 Oct
NESI WA EBOLA ALIYEWEKEWA KARANTINI KUFIKISHWA MAHAKAMANI
![Nurse Kaci Hickox rides away from the home she is staying in on a rural road in Fort Kent, Maine, to take a bike ride, Thursday, Oct. 30, 2014. Hickox went on an hour-long ride with her boyfriend Ted Wilbur, followed by state police who were monitoring her movements and public interactions.](http://www.theday.com/apps/pbcsi.dll/storyimage/NL/20141030/NWS13/141039991/AR/0/AR-141039991.jpg)
Mamlaka ya afya mji wa Fort Kent, Maine uliopo mpakani wa Canada wamesema watamfikisha mahakamani Nesi Kaci Hickox baada ya kuvunja karantini siku ya Alhamisi Oktoba 30, 2014 kwa kutoka nje ya nyumba yake na kuendesha baiskeli takribani saa moja.
Nesi Kaci Hickox aliwekewa karantini hiyo baada ya kurudi toka...
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Madiwani waliofanya vurugu Tanga kufikishwa Mahakamani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6xuxflMu0eM/XtehP8UrreI/AAAAAAALsfM/fTxjP0G-76kD8phVO2GOYZSmlO6p0j-MQCLcBGAsYHQ/s72-c/tanzania-tra-pccb.gif)
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Je, Karenzi Karake ni nani?