Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani waliofanya vurugu Tanga kufikishwa Mahakamani

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Zubery Mwombeji amesema madiwani 10 wa CUF huenda wakafikishwa mahakamani kama watabainika kuhusika na vurugu na kuharibu mali za umma kwenye ukumbi wa halmashauri ya jiji hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Makonda sasa kufikishwa mahakamani

makondaNA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita, ametangaza kumfikisha mahakamani Mkuu mpya wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, baada ya kushindwa kuomba radhi kutokana na kashfa alizozitoa dhidi yao.
Guninita alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana katika mkutano wake na waandishi wa habari,uliofanyika katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo.
Hatua hiyo imekuja baada ya Makonda kuandikiwa barua Februari 12 mwaka...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watuhumiwa kufikishwa mahakamani Kenya

Watu wawili waliopatikana na mabomu mjini Mombasa Pwani ya Kenya, wanatarajiwa kufikishwa mahakamani baadaye leo.

 

5 years ago

CCM Blog

RAIA WA CHINA KUFIKISHWA MAHAKAMANI

Jeshi la polisi Mkoa wa Katavi linatarajia kumfikisha mahakamani raia mmoja wa China Lin Guosong (34) mfanyabiashara wa Majengo Sumbawanga akituhumiwa kukiuka amri halali iliyowekwa na Serikali  ya  kunawa mikono kujikinga na corona.

Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu leo Aprili 11,2020 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Benjamini Kuzaga amesema mtuhumiwa amekiuka utaratibu huo Aprili 5, 2020 katika kizuizi cha Ntibili Majimoto.

"Mtuhumiwa alikuwa anaendesha gari lenye namba za...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanahabari kufikishwa mahakamani Misri

Waandishi habari 20 wakiwemo 4 wa kigeni wanatarajiwa kufikishwa mahakamani leo mjini Cairo, Misri baada ya kuhusihwa na ugaidi

 

10 years ago

BBCSwahili

Karenzi Kareke kufikishwa mahakamani leo

Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda anatarajiwa kufika mahakamani hivi leo kuhusu madai ya uhalifu wa kivita yanayomkabili.

 

10 years ago

Vijimambo

NESI WA EBOLA ALIYEWEKEWA KARANTINI KUFIKISHWA MAHAKAMANI

Nurse Kaci Hickox rides away from the home she is staying in on a rural road in Fort Kent, Maine, to take a bike ride, Thursday, Oct. 30, 2014. Hickox went on an hour-long ride with her boyfriend Ted Wilbur, followed by state police who were monitoring her movements and public interactions.Nesi Kaci Hickox akiendesha baiskeli baada ya kuvunja karatini aliyowekewa wakati akiwa kwenye uchunguzi wa Ebola baada ya kurudi toka Afrika Magharibi alipokua akiwatibu wagonjwa wa Ebola
Mamlaka ya afya mji wa Fort Kent, Maine uliopo mpakani wa Canada wamesema watamfikisha mahakamani Nesi Kaci Hickox baada ya kuvunja karantini siku ya Alhamisi Oktoba 30, 2014 kwa kutoka nje ya nyumba yake na kuendesha baiskeli takribani saa moja.
Nesi Kaci Hickox aliwekewa karantini hiyo baada ya kurudi toka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Madiwani Iramba wataka Jeshi la Polisi kuwasaka waliofanya jaribio la kumuua DED kwa bomu

DSC03499

Katibu wa madiwani wa CCM wilaya ya Iramba na diwani wa kata ya Urughu, Simon Tyosela, akizungumza na waandishi wa habari juu ya tamko lao la kulaani vikali jaribio la kutaka kumuawa Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Iramba, Halima Mpita Januari 2 mwaka huu saa 1.15 asubui akiwa nyumbani kwake.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

MADIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Iramba mkoa wa Singida,wamelaani vikali jaribio la kutaka kumuawa kwa bomu mkurugenzi...

 

10 years ago

Mwananchi

Madiwani wa CUF wazua tafrani Tanga

Madiwani wa Chama cha Wananchi (CUF) wakiwa na wafuasi wa chama hicho, jana walivamia mara mbili ukumbi wa ofisi za Mipango Miji ya Jiji la Tanga na kukitawanya kikao cha Kamati ya Fedha na Uongozi kilichokuwa kikiongozwa na Mstahiki Meya wa Jiji hilo, Omar Guled.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani