Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, Karenzi Karake ni nani?

Nchini Rwanda anajulikana zaidi kwa jina fupi KK.luteni jenerali Karenzi Karake, ana mwenye umri wa miaka 54

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Karenzi Karake akamatwa Heathrow

Mkuu wa upelelezi nchini Rwanda,ambaye alikuwa anasakwa nchini Hispania kwa makosa ya uhalifu wa kivita, amekamatwa mjini London.

 

10 years ago

Africanjam.Com

Rwanda angry over London arrest of spy chief Karenzi Karake


The Rwandan government has branded the arrest of its intelligence chief Karenzi Karake as "an outrage".Gen Karake, 54, was arrested at Heathrow Airport on Saturday, accused of ordering massacres in the wake of the 1994 Rwanda genocide.
He was arrested by Met police officers under the European Arrest Warrant on behalf of the Spanish authorities.Williams Nkurunziza, Rwanda's High Commissioner to the UK, said it was "an insult to our collective conscience".Prime Minister David Cameron's official...

 

10 years ago

Vijimambo

Boss Mkuu wa Usalama wa Taifa Rwanda Emanuel Karenzi Karake Akamatwa London

London,Uingereza,
Mkuu wa usalama wa taifa wa nchi ya Rwanda Major Gen.Emanuel Karenzi Karake amekamatwa na wanausalama katika uwanja wa ndege wa Heathrow nchini Uingereza mwishoni mwa wiki iliyopita,kwa kutuhuma za mauaji ya kivita mwaka 1994 na baada ya mwaka huo pia.Major Gen.Karenzi Karake aliwekwa kizuwizini na baadaye kufikishwa katika mahakama ya Westminister,amri ya kukamatwa kwa mkuu huyo wa idara ya ujasusi (NISS) ya Rwanda kunatokana na ombi la mahakama ya nchi ya Spain ambayo...

 

10 years ago

StarTV

Karenzi Kareke ameachiliwa kwa dhamana

Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda anatarajiwa kufika mahakamani hivi leo

Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda ameachiliwa kwa dhamana.

Luteni jenerali Karenzi Karake ametakiwa kufika kwenye kituo cha polisi kila siku.

Luteni jenerali Karenzi Karake alikamatwa siku ya jumamosi katika uwanja wa ndege wa Heathrow Jumamosi iliyopita chini ya kibali cha kukamatwa cha ulaya.

nullWaandamanaji wanaopinga kukamatwa kwa KK wako nje ya ubalozi wa Uingereza Kigali

KK anatakiwa na Madrid kuhusiana na vifo vya wafanyikazi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Karenzi Kareke kufikishwa mahakamani leo

Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda anatarajiwa kufika mahakamani hivi leo kuhusu madai ya uhalifu wa kivita yanayomkabili.

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP

Historia yake Fahmi Nasoro Dovutwa ni Mwenyekiti wa kitaifa wa Chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP). Alizaliwa Februari 27, 1957 mjini Kisarawe mkoani Pwani (Amefikisha miaka 58 Februari mwaka huu).

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo

Historia yake Peter Mziray ni Rais Mtendaji wa Chama cha APPT Maendeleo, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa na kitaaluma ni mtaalamu wa mifugo na uchumi wa kilimo.

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: Profesa Ibrahim Lipumba: Mwenyekiti wa CUF

Ibrahim Lipumba ni mchumi wa kimataifa na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF). Alizaliwa Juni 6, 1952 katika Kijiji cha Ilolangulu mkoani Tabora.

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: DK Willibroad Slaa: Katibu Mkuu wa Chadema

Historia yake Dk Willibrod Slaa ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Slaa alizaliwa Oktoba 29, 1948 kijijini Kwermusi, Wilaya ya Mbulu (Oktoba atafikisha umri wa miaka 67). Slaa alisoma Shule ya Msingi Kwermusi iliyoko wilayani Mbulu mwaka 1958-1961 na baadaye Shule ya Kati (Middle School) ya Karatu kati ya mwaka 1962-1965.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani