Boss Mkuu wa Usalama wa Taifa Rwanda Emanuel Karenzi Karake Akamatwa London

London,Uingereza,
Mkuu wa usalama wa taifa wa nchi ya Rwanda Major Gen.Emanuel Karenzi Karake amekamatwa na wanausalama katika uwanja wa ndege wa Heathrow nchini Uingereza mwishoni mwa wiki iliyopita,kwa kutuhuma za mauaji ya kivita mwaka 1994 na baada ya mwaka huo pia.Major Gen.Karenzi Karake aliwekwa kizuwizini na baadaye kufikishwa katika mahakama ya Westminister,amri ya kukamatwa kwa mkuu huyo wa idara ya ujasusi (NISS) ya Rwanda kunatokana na ombi la mahakama ya nchi ya Spain ambayo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com
Rwanda angry over London arrest of spy chief Karenzi Karake

The Rwandan government has branded the arrest of its intelligence chief Karenzi Karake as "an outrage".Gen Karake, 54, was arrested at Heathrow Airport on Saturday, accused of ordering massacres in the wake of the 1994 Rwanda genocide.
He was arrested by Met police officers under the European Arrest Warrant on behalf of the Spanish authorities.Williams Nkurunziza, Rwanda's High Commissioner to the UK, said it was "an insult to our collective conscience".Prime Minister David Cameron's official...
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Karenzi Karake akamatwa Heathrow
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Je, Karenzi Karake ni nani?
5 years ago
CCM Blog16 May
MSHUKIWA MKUU WA MAUAJI YA KIMARI RWANDA AKAMATWA

5 years ago
BBCSwahili16 May
Félicien Kabuga: Mshukiwa mkuu wa mauaji ya Kimbari Rwanda akamatwa
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Idara ya usalama ya Rwanda imethibitisha kuwa inamshikilia mwanamuziki nyota nchini Rwanda, Kizito Mihigo
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI SILIMA AFUNGUA MKUTANO MKUU WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI JIJINI TANGA
11 years ago
Michuzi
NAIBU WAZIRI SILIMA AFUNGUA MKUTANO MKUU WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI JIJINI ARUSHA LEO

11 years ago
BBCSwahili24 Mar
Kijana akamatwa kwa mauaji London