Karenzi Karake akamatwa Heathrow
Mkuu wa upelelezi nchini Rwanda,ambaye alikuwa anasakwa nchini Hispania kwa makosa ya uhalifu wa kivita, amekamatwa mjini London.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2vR2T0kxDII/VYnaSb_ip6I/AAAAAAADtWc/tOIxyMLM3EY/s72-c/Major%2BGen.%2BK.%2BKarake.jpg)
Boss Mkuu wa Usalama wa Taifa Rwanda Emanuel Karenzi Karake Akamatwa London
![](http://1.bp.blogspot.com/-2vR2T0kxDII/VYnaSb_ip6I/AAAAAAADtWc/tOIxyMLM3EY/s640/Major%2BGen.%2BK.%2BKarake.jpg)
Mkuu wa usalama wa taifa wa nchi ya Rwanda Major Gen.Emanuel Karenzi Karake amekamatwa na wanausalama katika uwanja wa ndege wa Heathrow nchini Uingereza mwishoni mwa wiki iliyopita,kwa kutuhuma za mauaji ya kivita mwaka 1994 na baada ya mwaka huo pia.Major Gen.Karenzi Karake aliwekwa kizuwizini na baadaye kufikishwa katika mahakama ya Westminister,amri ya kukamatwa kwa mkuu huyo wa idara ya ujasusi (NISS) ya Rwanda kunatokana na ombi la mahakama ya nchi ya Spain ambayo...
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Je, Karenzi Karake ni nani?
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-mejLA6RCiD4/VYpWFoJW7SI/AAAAAAAACNk/wUx8Tm0pHF4/s72-c/_83797515_83797513.jpg)
Rwanda angry over London arrest of spy chief Karenzi Karake
![](http://4.bp.blogspot.com/-mejLA6RCiD4/VYpWFoJW7SI/AAAAAAAACNk/wUx8Tm0pHF4/s400/_83797515_83797513.jpg)
The Rwandan government has branded the arrest of its intelligence chief Karenzi Karake as "an outrage".Gen Karake, 54, was arrested at Heathrow Airport on Saturday, accused of ordering massacres in the wake of the 1994 Rwanda genocide.
He was arrested by Met police officers under the European Arrest Warrant on behalf of the Spanish authorities.Williams Nkurunziza, Rwanda's High Commissioner to the UK, said it was "an insult to our collective conscience".Prime Minister David Cameron's official...
5 years ago
The Guardian11 Mar
Heathrow passengers down by almost 5% in February and March
5 years ago
Simple Flying07 Mar
Air New Zealand’s London Heathrow Slot Sold For $27m
5 years ago
The Guardian01 Apr
Virgin Atlantic bailout backed by Rolls-Royce, Airbus and Heathrow
10 years ago
StarTV29 Jun
Karenzi Kareke ameachiliwa kwa dhamana
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/23/150623091518_karenzi_karake_624x351_bbc_nocredit.jpg)
Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda ameachiliwa kwa dhamana.
Luteni jenerali Karenzi Karake ametakiwa kufika kwenye kituo cha polisi kila siku.
Luteni jenerali Karenzi Karake alikamatwa siku ya jumamosi katika uwanja wa ndege wa Heathrow Jumamosi iliyopita chini ya kibali cha kukamatwa cha ulaya.
![null](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/25/150625115654_karenzi_kareke_kufikishwa_mahakamani_leo_624x351_bbc_nocredit.jpg)
KK anatakiwa na Madrid kuhusiana na vifo vya wafanyikazi...
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Karenzi Kareke kufikishwa mahakamani leo