Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daniel Ceballos ameachiliwa huru

Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Venezuela Daniel Ceballos ameachiliwa kutoka kifungoni na kuwekwa chini ya kizuizi cha nyumbani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWSSSS: Basil MRAMBA NA Daniel YONA WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 3. Grey Mngonja huru

Waziri wa zamani Daniel Yona akiituliza familia yake mara baada ya hukumu kutolewa leo katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es salaam.Waziri wa zamani Basi Mramba akiteta na mawakili wake baada ya kuhukumiwa leo mahakamani Kisutu.

Mawaziri wa zamani Basil Mramba  na Daniel Yona  leo wamekutwa na hatia na katika kesi iliyokuwa inawakabili kifungo cha kwenda jela miaka mitatu kila mmoja kwa kukutwa na makosa 10 ya matumizi mabaya ya madaraka.  Aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha...

 

5 years ago

BBCSwahili

Maziko ya Daniel arap Moi: Maelfu ya raia wamiminika Kabarak kumuaga rais mstaafu Daniel Moi

Moi amezikwa kijijini kwake kaaribu na kaburi la marehemu mkewe Lena aliyeaga dunia mwaka 2004.

 

10 years ago

StarTV

Karenzi Kareke ameachiliwa kwa dhamana

Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda anatarajiwa kufika mahakamani hivi leo

Kiongozi wa ujasusi wa Rwanda ameachiliwa kwa dhamana.

Luteni jenerali Karenzi Karake ametakiwa kufika kwenye kituo cha polisi kila siku.

Luteni jenerali Karenzi Karake alikamatwa siku ya jumamosi katika uwanja wa ndege wa Heathrow Jumamosi iliyopita chini ya kibali cha kukamatwa cha ulaya.

nullWaandamanaji wanaopinga kukamatwa kwa KK wako nje ya ubalozi wa Uingereza Kigali

KK anatakiwa na Madrid kuhusiana na vifo vya wafanyikazi...

 

11 years ago

Mwananchi

HURU: Washtakiwa Kesi ya Tabata Dampo huru

>Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa Ilala, John Lubuva na wenzake wanne waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara, wameibuka kidedea katika kesi hiyo.

 

5 years ago

Pain In The Arsenal

Arsenal: Dani Ceballos must do what he’s never done before

Arsenal: Dani Ceballos must do what he’s never done before  Pain In The ArsenalCarlo Ancelotti comments on Mikel Arteta’s lack of senior managerial experience  Just Arsenal NewsChaos, charm and preparation - behind the scenes of Arsenal's successful time in Greece  Football.LondonReport: Arsenal 3 - 2 Everton (incl. goals)  Arseblog NewsArsenal v Everton match preview and score prediction  Just Arsenal NewsView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Managing Madrid

“No discussions” for Arsenal to keep Ceballos, says Arteta

“No discussions” for Arsenal to keep Ceballos, says Arteta  Managing MadridOpinion – Arsenal fans need to be patient with Mikel Arteta  Just Arsenal NewsMikel Arteta praises Arsenal midfielder Daniel Ceballos  Sportslens.comArsenal: Shkodran Mustafi could be Mikel Arteta’s ticket to greatness  Pain In The ArsenalArsenal hopes of hanging on to Pierre-Emerick Aubameyang given a big boost  Just Arsenal NewsView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Pain In The Arsenal

Arsenal: Dani Ceballos encore absolutely worth the wait

Arsenal: Dani Ceballos encore absolutely worth the wait  Pain In The ArsenalMikel Arteta drops Arsenal ace following heated bust-up during Dubai break  CaughtOffsideMikel Arteta's problem with Matteo Guendouzi is why Arsenal need him  Football.LondonArsenal 4-0 Newcastle: Nicolas Pepe's highlights show he's finally arrived in the PL  GIVEMESPORTArsenal: Bukayo Saka really is special  Pain In The ArsenalView Full coverage on Google News

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 26.03.2020: Ibrahimovic, Smalling, Ceballos

Mshambuliaji wa Sweden Zlatan Ibrahimovic anayechezea AC Milan na mchezi wa Paris St-Germain na Uruguay Edinson Cavani uenda wakasajiliwa Leeds United dirisha la uhamisho wa wachezaji lilipofunguliwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 03.04.2020:Wilson, Aubameyang, Ceballos

Mshambuliaji wa Bournemouth Callum Wilson, 28, amesema hastahili kuhusishwa na ligi kubwa kama ya England kutokana na namna uchezaji wake duni msimu huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani