Hasanoo huru kwa dhamana
Baada ya kusota rumande kwa zaidi ya miaka mitatu hatimaye Mwenyekiti wa Chama cha Soka Pwani (Corefa), Hassani Othman maarufu kama Hasanoo ameachiwa huru kwa dhamana katika Mahakama ya Kisutu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNTXMlZpr5liEmlyHhVqDDTinztrz4PMvoerqmaki6*7UC-06v4ful78d6KN6JkP9NqdZOvV7fDseuvaAv8Mv31W/gwajima.jpg)
WAKATI MBASHA AKIWA HURU KWA DHAMANA, GWAJIMA APASUA JIPU!
10 years ago
CloudsFM18 Dec
NASSARI AACHIWA HURU KWA DHAMANA NA MAHAKAMA,BAADA YA KUTUHUMIWA KUCHOMA BENDERA YA CCM
Hakimu David Mwita wa Mahakama ya mwanzo ya maji ya chai ameahirisha hadi Decemba 24, shauri la kesi inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Arumeru mashariki Joshua Nassari (CHADEMA), kwa tuhuma za kuharibu mali ya uma kwa kuichoma yenye dhamani ya shilingi laki mbili (bendera ya CCM),pamoja na kumteka mtu na kumtishia kwa bunduki tukio ambalo anatuhumiwa kufanya december 15 mwaka huu
mahakama hiyo imemuachia mbunge huyo mara baada ya kutimiza mashariti ya dhamana, ambapo shariti la kwanza ni kuwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0BwsZPYwdWUHlREjZJJCN14VGA0kW62IZxO7T930-3L9YeRMgD7unOxs9gfxwrHsXtiHS1QMaV1UrhxoSPwIAyr/PICHACHADEMA.jpg?width=750)
MASHA AACHIWA KWA DHAMANA
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Khalida Zia aachiliwa kwa dhamana
10 years ago
GPLWAFUASI 29 WA CUF WAACHIWA KWA DHAMANA
9 years ago
BBCSwahili21 Aug
Muhubiri wa Kenya aachiliwa kwa dhamana
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Mansour aachiwa kwa dhamana Z’bar
10 years ago
Habarileo03 Sep
Wapinga dhamana kwa washitakiwa wa ubakaji
WANAHARAKATI wanaopambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia kupitia mradi wa Gewe, wameitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kufuta dhamana kwa watuhumiwa wa makosa ya ubakaji. Akizungumza na gazeti hili wakati wa tathmini ya mradi huo, mwanaharakati Fatma Issa kutoka kijiji cha Dole Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja, alisema kesi nyingi za ubakaji watuhumiwa wake wanaachiwa huru baada ya kukosekana kwa ushahidi.
9 years ago
Mwananchi04 Nov
Wanachama wa Chadema waachiwa kwa dhamana