WAKATI MBASHA AKIWA HURU KWA DHAMANA, GWAJIMA APASUA JIPU!
![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNTXMlZpr5liEmlyHhVqDDTinztrz4PMvoerqmaki6*7UC-06v4ful78d6KN6JkP9NqdZOvV7fDseuvaAv8Mv31W/gwajima.jpg)
Stori: Haruni Sanchawa na Richard Bukos WAKATI mume wa mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha akiachiwa huru kwa dhamana kufuatia kesi ya kudaiwa kumbaka shemejiye, Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la jijini Dar es Salaam, Josephat Gwajima ameibuka na kunena mazito kuhusiana na sakata hilo, Risasi Jumamosi limesheheni mkobani. Mbasha akiwa na Pingu. Mbasha aliachiwa kwa dhamana juzi akitokea Gereza la...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Ruge apasua jipu
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Zitto apasua jipu
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, amesema hana chuki na yeyote ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Zitto, alisema baadhi ya watu wanafikiri ana chuki na viongozi wenzake...
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Lilian Internet apasua jipu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq*TqL7itixtFtHzwNRIkgOXrJj128saaLBuzCcsulczOc*CdXztBa89hzrB*XdEuU09n5wr3s6qXz9WUn8roXh2/2.jpg?width=650)
MKE MTARAJIWA APASUA JIPU
10 years ago
Dewji Blog15 Jan
Balozi Seif apasua jipu kuhusu maendeleo
Mbunge wa Jimbo la Kitope ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi Mabomba ya kusambazia maji safi Diwani ya Wadi ya Upenja Bibi Asha Abdulla Mussa kwa ya Kijiji cha kilombero Mkoa wa Kaskazini Unguja.Kati kati yao ni Mke wa Balozi Seif Mama Asha Suleiman Iddi.
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi alisema licha ya juhudi zinazochukuliwa na viongozi katika kuchangia nguvu za kukabiliana na matatizo mbali mbali yanayowakabili wananchi katika...
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Hasanoo huru kwa dhamana
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Gwajima atoka hospitali, aachiwa kwa dhamana
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-DS2MVavE1Y0/VRq3EMRvWGI/AAAAAAAAPg8/CJn969KZlmg/s1600/1.jpg?width=650)
ASKOFU GWAJIMA ATOLEWA POLISI KWA DHAMANA
10 years ago
CloudsFM18 Dec
NASSARI AACHIWA HURU KWA DHAMANA NA MAHAKAMA,BAADA YA KUTUHUMIWA KUCHOMA BENDERA YA CCM
Hakimu David Mwita wa Mahakama ya mwanzo ya maji ya chai ameahirisha hadi Decemba 24, shauri la kesi inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Arumeru mashariki Joshua Nassari (CHADEMA), kwa tuhuma za kuharibu mali ya uma kwa kuichoma yenye dhamani ya shilingi laki mbili (bendera ya CCM),pamoja na kumteka mtu na kumtishia kwa bunduki tukio ambalo anatuhumiwa kufanya december 15 mwaka huu
mahakama hiyo imemuachia mbunge huyo mara baada ya kutimiza mashariti ya dhamana, ambapo shariti la kwanza ni kuwa...