Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto apasua jipu

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, amesema hana chuki na yeyote ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Zitto, alisema baadhi ya watu wanafikiri ana chuki na viongozi wenzake...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ruge apasua jipu

Mkurugenzi wa Kituo cha Vipaji Tanzania (THT), Ruge Mutahaba amesema taasisi hiyo ni sehemu ya mikakati ya kukuza vipaji vya wasanii, na kamwe wanafunzi wake hawahusiani na mambo binafsi yanayowahusu viongozi.

 

10 years ago

GPL

MKE MTARAJIWA APASUA JIPU

Erick evarist
KWELI! Baada ya mitandao mbalimbali kuripoti habari zinazokinzana juu ya tukio la bwana harusi mtarajiwa aliyetajwa kwa jina la Stephano kunaswa kwenye tukio la ujambazi muda mfupi baada ya kumvisha pete ya uchumba mpenzi wake, Happy Merere, bi. Harusi huyo mtarajiwa ameibuka na kuanika ukweli wa mambo, Risasi Jumamosi lina full stori. Stephano akiwa na mpenzi wake mpenzi wake, Happy Merere baada ya kumvisha pete...

 

10 years ago

Mwananchi

Lilian Internet apasua jipu

Mnenguaji mahiri na mkongwe nchini, Lilian Internet(35), amesema vijana wengi walio katika fani hiyo wanajihusisha na matumizi ya dawa za kulevya.

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Seif apasua jipu kuhusu maendeleo

622

Mbunge wa Jimbo la Kitope ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi Mabomba ya kusambazia maji safi Diwani ya Wadi ya Upenja Bibi Asha Abdulla Mussa kwa ya Kijiji cha kilombero Mkoa wa Kaskazini Unguja.Kati kati yao ni Mke wa Balozi Seif Mama Asha Suleiman Iddi.

Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi alisema licha ya juhudi zinazochukuliwa na viongozi katika kuchangia nguvu za kukabiliana na matatizo mbali mbali yanayowakabili wananchi katika...

 

11 years ago

GPL

WAKATI MBASHA AKIWA HURU KWA DHAMANA, GWAJIMA APASUA JIPU!

Stori: Haruni Sanchawa na Richard Bukos WAKATI mume wa mwimba Injili Bongo,  Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha akiachiwa huru kwa dhamana kufuatia kesi ya kudaiwa kumbaka shemejiye, Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la jijini Dar es Salaam, Josephat Gwajima ameibuka na kunena mazito kuhusiana na sakata hilo, Risasi Jumamosi limesheheni mkobani. Mbasha akiwa na Pingu. Mbasha aliachiwa kwa dhamana juzi akitokea Gereza la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chenge apasua serikali

HATIMAYE Kamati ya Bajeti inayoongozwa na Andrew Chenge, imeutosa kwa muda muswada wa kufuta baadhi ya misamaha ya kodi na ule wa kodi kwa madai haijapata muda wa kuipitia kwa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli apasua vichwa wasomi

WAKATI wananchi wengi wakipongeza hatua ya Rais Dk.

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

GPL

PROFESA JAY APASUA ANGA MIKUMI

Stori: Sifael Paul
Katika harakati za kulinyakua Jimbo la Mikumi wilayani Kilosa, Mkoa wa Morogoro kwa tiketi ya chama chake cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mwanamuziki mkongwe wa muziki wa Kizazi Kipya, Joseph Haule almaarufu Profesa Jay (pichani) ameendelea kupasua anga kwenye jimbo hilo akifungua matawi mapya na kuhamasisha watu kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura. Profesa Jay akiwa na Joseph...

 

10 years ago

GPL

MTOTO WA FLORA JIPU PWAA!

Stori: Richard Bukos na Issa Mnally/Risasi Mchanganyiko
BAADA ya utata wa uhalali wa baba wa mtoto wa Mwimba Injili maarufu Bongo, Flora Mbasha kutawala kwenye magazeti mbalimbali na mitandao ya kijamii, hatimaye jipu limepasuka baada ya baba mdogo wa Flora, aliyejitambulisha kwa jina moja la Kisekwa kufunguka kwamba mtoto huyo ni damu halali ya Mbasha, Risasi Mchanganyiko lina kauli yake kuthibitisha hilo.  Mwimba Injili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani