MTOTO WA FLORA JIPU PWAA!
![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjJr0Ve0zj4axEBhaOKGQxkQ0iynZ33wNxypC1jpA5XiYWXPG5ArVzGyKpGkXOIKIdL9iSzHQN3UWf2Ir6LdIjqs/1.jpg)
Stori: Richard Bukos na Issa Mnally/Risasi Mchanganyiko BAADA ya utata wa uhalali wa baba wa mtoto wa Mwimba Injili maarufu Bongo, Flora Mbasha kutawala kwenye magazeti mbalimbali na mitandao ya kijamii, hatimaye jipu limepasuka baada ya baba mdogo wa Flora, aliyejitambulisha kwa jina moja la Kisekwa kufunguka kwamba mtoto huyo ni damu halali ya Mbasha, Risasi Mchanganyiko lina kauli yake kuthibitisha hilo. Mwimba Injili...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo06 Feb
MTOTO WA WA FLORA MBASHA AIBUA MAZITO
![](http://api.ning.com/files/hMNECPNor9-zFhxQmEL793PAvWZrf50-PD65j5xw57RORqvWt6-tqvWX53JCFj2c5rEH7RMva*B7Jfy0DFFdIzpUVKXIMMA7/IMG20150204WA0004.jpg?width=650)
MSHTUKO KWANZABaadhi ya mitandao ya kijamii ilitundika picha ya Flora akiwa kitandani hospitalini na kichanga chake huku watu wakitupia maneno yenye kuonesha mshtuko, kama vile:“He! Kwani Flora alikuwa na mimba? Mbona alikuwa kawaida sana?”“Wanawake wengine wameumbwa hivyo, matumbo yao hayawi makubwa. Nampa hongera kwa kujifungua.”“He! Jamani! Dada Flora kajifungua kweli au ni igizo? Maana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hMNECPNor9-XM8lW5KcwnYVFLbtt4Wx8NwhsFT-bsLvI-IDV8lPyMEIT0VUpeqoUaJI4n2p2NB3*qFRmzLPJ0QmHHB9Hiijq/FRONT.jpg?width=650)
MTOTO WA FLORA MBASHA AIBUA MAZITO
10 years ago
Mtanzania12 Feb
Mbasha: Flora anaujua ukweli wa mtoto
Veronica Romwald na Mwajuma Mazao, Dar es Salaam
HATIMAYE mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Emmanuel Mbasha, ameibuka na kuweka wazi suala la mgogoro wa mtoto na mkewe Flora Mbasha.
Hatua hiyo imekuja miezi saba tangu wawili hao walipoingia katika mgogoro wa ndoa yao hali iliyosababisha Mbasha kufikishwa mahakamani kwa kosa la ubakaji.
Hivi karibuni, picha za mtoto mchanga zilisambazwa katika mitandao ya kijamii na kudaiwa kuwa ni wa Flora aliyezaa na Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm2YiC13-0sT7dEoQ5-pzCw-b1qIXZ4cGbfD7vAuHibvWyfKMiMeJJjJlnq6Kl4drttfbmEuCk8sTk9Tcqj*sXUJ/flora1.gif?width=650)
FLORA: MTOTO KAVUNJA URAFIKI WETU NA NISHA
10 years ago
VijimamboUTATA MTOTO WA FLORA... FAMILIA YAMWEKA KIKAANGONI...MWENYEWE AJIKAANGA
![](http://www.bongocinema.com/images/casts/flora_mbasha3_1.jpg?width=650)
10 years ago
Bongo519 Jan
H.Baba na mke wake Flora Mvungi wanatarajia kupata mtoto wa pili
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/03AO119erRM/default.jpg)
MCHUNGAJI GWAJIMA ADAI MTOTO ALIEJIFUNGUA FLORA MBASHA SIYO WAKE
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-4HUCfASN9CI%2FVNPo79czpzI%2FAAAAAAADXsQ%2FItzW6auTit4%2Fs1600%2FGWAJIMA.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Huyu ndiyo mtoto alie jifungua Flora Mbasha, mchungaji Gwajima aruka kimanga na kukana kuwa mtoto huyu siyo wake na kusema kuwa (It doesn't hold water) akiwa na maana haina mashiko. Mbasha nae alivyoulizwa juu ya mtoto huyu majibu yake aliyajibu kwa kutuma ujumbe wa wimbo huu wa injili hadi sasa watu wanashindwa kupata ukweli wa nani baba wa mtoto huyu lakini mwenye majibu ya maswali yote ni mwenyewe Flora Mbasha. Jitiririshe na wimbo wa Emmanuel Mbasha hapa chini kama majibu ya wale wote...
10 years ago
Bongo Movies20 Jan
Wakati Wengine Wanakula Ujana Flora Mvungi Anatarajia Kujifungua Mtoto wa Pili Hivi Karibuni!
Mwigizaji wa filamu Flora Mvungi, ambae ni mke wa mwanamziki H.Baba anatarajia kujifungua mtoto wa pili hivi karibuni ikiwa ni moja ya mafanikio ya ndoa yao kwa mwaka jana.
H baba amabe ndio mumeo amethibitisha kuwa mke wake Flora Mvungi ni mjamzito na hivyo wanatarajia kupata mtoto wa pili.
Akizungumza na 255 ya XXL jana, H. Baba amesema miongoni mwa mafanikio aliyopata mwaka jana ni pamoja na kumpa ujauzito mwingine mke wake.
“Faida ya mwaka jana ni mwana mama Flora Mvungi kujaa...
9 years ago
Michuzi09 Sep
KUMBUKUMBU YA FLORA (MAPENDO YA FLORA)
Tunaona ni vema kumshukuru MUNGU hasa kwa mapendo aliyotushirikisha kupitia maisha ya FLORA, nasi tukabakiwa kwa namna ya pekee tunamuenzi kwa matukio mbalimbali hasa kupitia Misa Takatifu katika kanisa kuu la Mtakatifu Joseph Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Siku ya tarehe 10/09/2015, saa 12.30 asubuhi. Baada ya hapo tunazuru makaburi ya Kinondoni.Sote tuzidi...