Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO WA FLORA MBASHA AIBUA MAZITO

Stori:MWandishi wetu HAKUNA dogo! Siku tano zimekatika baada ya mwimba Injili nyota nchini, Flora Henry Mayalla Mbasha kujifungua mtoto wa kike huku kichanga hicho kikiibua mazito kwenye mitandao ya kijamii, Ijumaa ‘Kubwa’ linakupa zaidi.
Kwa mujibu wa chanzo, Flora alijifungua mtoto wa kike kwa njia ya upasuaji Jumanne iliyopita kwenye hospitali moja iliyopo jijini Dar es Salaam. Mwimba Injili nyota nchini,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MTOTO WA WA FLORA MBASHA AIBUA MAZITO

Mwimba Injili nyota nchini, Flora Henry Mayalla Mbasha akiwa na mtoto wake wa kike baada ya kujifungua.
MSHTUKO KWANZABaadhi ya mitandao ya kijamii ilitundika picha ya Flora akiwa kitandani hospitalini na kichanga chake huku watu wakitupia maneno yenye kuonesha mshtuko, kama vile:“He! Kwani Flora alikuwa na mimba? Mbona alikuwa kawaida sana?”“Wanawake wengine wameumbwa hivyo, matumbo yao hayawi makubwa. Nampa hongera kwa kujifungua.”“He! Jamani! Dada Flora kajifungua kweli au ni igizo? Maana...

 

10 years ago

Mtanzania

Mbasha: Flora anaujua ukweli wa mtoto

MBASHA3gwajima2Veronica Romwald na Mwajuma Mazao, Dar es Salaam
HATIMAYE mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Emmanuel Mbasha, ameibuka na kuweka wazi suala la mgogoro wa mtoto na mkewe Flora Mbasha.
Hatua hiyo imekuja miezi saba tangu wawili hao walipoingia katika mgogoro wa ndoa yao hali iliyosababisha Mbasha kufikishwa mahakamani kwa kosa la ubakaji.
Hivi karibuni, picha za mtoto mchanga zilisambazwa katika mitandao ya kijamii na kudaiwa kuwa ni wa Flora aliyezaa na Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la...

 

10 years ago

Vijimambo

MCHUNGAJI GWAJIMA ADAI MTOTO ALIEJIFUNGUA FLORA MBASHA SIYO WAKE


Huyu ndiyo mtoto alie jifungua Flora Mbasha, mchungaji Gwajima aruka kimanga na kukana kuwa mtoto huyu siyo wake na kusema kuwa (It doesn't hold water) akiwa na maana haina mashiko. Mbasha nae alivyoulizwa juu ya mtoto huyu majibu yake aliyajibu kwa kutuma ujumbe wa wimbo huu wa injili hadi sasa watu wanashindwa kupata ukweli  wa nani baba wa mtoto huyu lakini mwenye majibu ya  maswali yote ni mwenyewe Flora Mbasha. Jitiririshe na wimbo wa Emmanuel Mbasha hapa chini kama majibu ya wale wote...

 

9 years ago

GPL

FLORA MBASHA AKIRI: MWANANGU SI WA MBASHA!

Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha na aliyekuwa mumewe, Emmanuel Mbasha. Waandishi wetu OHOOO! Kimenuka tena. Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha amesema mwanaye mdogo (jina linahifadhiwa) hahusiani hata kidogo na aliyekuwa mumewe, Emmanuel Mbasha huku akidai kuwa anamtambua mwanaume huyo kama mzazi mwenzake kwa mtoto mmoja tu (Liz), Risasi Jumatano linakupa zaidi. Mtoto anayedaiwa kuibuwa mazito. Akizungumza na...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sumaye aibua mazito CCM

Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye akihutubia mkutano wa kampeni za mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa uliyofanyika Manyoni, Singida juzi. Na Thobias Mwanakatwe 13th September 2015 Kipindi cha utawala wa CCM […]

The post Sumaye aibua mazito CCM appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

CloudsFM

TRAFIKI ‘FEKI’ AIBUA MAZITO

SAKATA la askari 'feki' wa Kikosi cha Usalama Barabarani, kunaswa wakiwa na sare za jeshi hilo baada ya kufukuzwa kazi kwa makosa mbalimbali, bado limeendelea kulitesa Jeshi la Polisi nchini. Agosti 14,2013, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, lilimkamata 'Trafiki feki', aliyefahamika kwa jina la James Hussein (45), mkazi wa Kimara Tangibovu, katika eneo la Tabata, Kinyerezi akijifanya askari wa kikosi hicho.
Juzi katika eneo la Chamazi Muhimbili, askari mwingine 'feki'...

 

10 years ago

Vijimambo

Mwandosya aibua mazito urais CCM.

Mchakato wa kumpata mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) umeendelea kuibua mapya na kuleta mvutano baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Mark Mwandosya, kunukuliwa akisema kuwa majina matano yaliyopelekwa kwenye Kamati Kuu ya CCM (CC) kutoka kwenye Kamati ya Maadili yalijulikana hata kabla ya kikao cha Kamati ya Maadili hakijaketi.

Prof. Mwandosya ambaye ni Mbunge wa Rungwe Mashariki amenukuliwa akisema hayo kwenye sauti yenye maelezo yake iliyorekodiwa na...

 

11 years ago

GPL

BILIONEA ALIYEJIUA... MKE WAKE AIBUA MAZITO

Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro ogin’g
MKE wa marehemu bilionea Suleiman Muhema, Zihija Muhema ametoboa siri kuhusiana na kifo cha mume wake aliyekutwa amefariki dunia kwa kujipiga risasi akiwa ndani ya gari lake Kisarawe, Pwani. Akizungumza na gazeti hili juzi, Zihija alisema kifo cha mume wake kimegubikwa na usiri mkubwa baada ya mumewe siku ya tukio kumwambia kuwa anamfuata mama yake aliko, hali ambayo ilimshitua...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Aliyejilipua kwa risasi aibua mambo mazito


NA LILIAN JOEL, ARUSHA
SAKATA la Mkurugenzi wa Kampuni ya Kitalii ya DAGT, Timoth Mroki, kujiua kwa kujilipua kwa risasi, limeibua mambo mapya kutokana na kuelezwa kuwa wivu wa kimapenzi.
Habari zilizopatikana jijini hapa, zinasema kuwa Mroki (36), alikuwa na vimada wawili ambao ni wake za watu na kuwa kabla ya kujilipua kwa risasi na kupoteza maisha, alitoa taarifa kwa wanawake hao (majina yanahifadhiwa).
Imeelezwa kuwa Mroki alikuwa akitoka na wanawake hao kila mmoja kwa muda wake, lakini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani