Aliyejilipua kwa risasi aibua mambo mazito
NA LILIAN JOEL, ARUSHA
SAKATA la Mkurugenzi wa Kampuni ya Kitalii ya DAGT, Timoth Mroki, kujiua kwa kujilipua kwa risasi, limeibua mambo mapya kutokana na kuelezwa kuwa wivu wa kimapenzi.
Habari zilizopatikana jijini hapa, zinasema kuwa Mroki (36), alikuwa na vimada wawili ambao ni wake za watu na kuwa kabla ya kujilipua kwa risasi na kupoteza maisha, alitoa taarifa kwa wanawake hao (majina yanahifadhiwa).
Imeelezwa kuwa Mroki alikuwa akitoka na wanawake hao kila mmoja kwa muda wake, lakini...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM05 Aug
TRAFIKI ‘FEKI’ AIBUA MAZITO
SAKATA la askari 'feki' wa Kikosi cha Usalama Barabarani, kunaswa wakiwa na sare za jeshi hilo baada ya kufukuzwa kazi kwa makosa mbalimbali, bado limeendelea kulitesa Jeshi la Polisi nchini. Agosti 14,2013, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, lilimkamata 'Trafiki feki', aliyefahamika kwa jina la James Hussein (45), mkazi wa Kimara Tangibovu, katika eneo la Tabata, Kinyerezi akijifanya askari wa kikosi hicho.
Juzi katika eneo la Chamazi Muhimbili, askari mwingine 'feki'...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar13 Sep
Sumaye aibua mazito CCM
Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye akihutubia mkutano wa kampeni za mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa uliyofanyika Manyoni, Singida juzi. Na Thobias Mwanakatwe 13th September 2015 Kipindi cha utawala wa CCM […]
The post Sumaye aibua mazito CCM appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo06 Feb
MTOTO WA WA FLORA MBASHA AIBUA MAZITO
![](http://api.ning.com/files/hMNECPNor9-zFhxQmEL793PAvWZrf50-PD65j5xw57RORqvWt6-tqvWX53JCFj2c5rEH7RMva*B7Jfy0DFFdIzpUVKXIMMA7/IMG20150204WA0004.jpg?width=650)
MSHTUKO KWANZABaadhi ya mitandao ya kijamii ilitundika picha ya Flora akiwa kitandani hospitalini na kichanga chake huku watu wakitupia maneno yenye kuonesha mshtuko, kama vile:“He! Kwani Flora alikuwa na mimba? Mbona alikuwa kawaida sana?”“Wanawake wengine wameumbwa hivyo, matumbo yao hayawi makubwa. Nampa hongera kwa kujifungua.”“He! Jamani! Dada Flora kajifungua kweli au ni igizo? Maana...
10 years ago
Vijimambo30 Jul
Mwandosya aibua mazito urais CCM.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mwandosya-30july2015.jpg)
Prof. Mwandosya ambaye ni Mbunge wa Rungwe Mashariki amenukuliwa akisema hayo kwenye sauti yenye maelezo yake iliyorekodiwa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hMNECPNor9-XM8lW5KcwnYVFLbtt4Wx8NwhsFT-bsLvI-IDV8lPyMEIT0VUpeqoUaJI4n2p2NB3*qFRmzLPJ0QmHHB9Hiijq/FRONT.jpg?width=650)
MTOTO WA FLORA MBASHA AIBUA MAZITO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXvV1e9DfNsCUWPIkAYsl42vlJOP--gEm2Xa7PSl2j3USTFLH-3gSNiyu1d6SmMR2o*if1s73gbf-JhLBL2YZycM/bilionea.jpg?width=650)
BILIONEA ALIYEJIUA... MKE WAKE AIBUA MAZITO
10 years ago
Mtanzania03 Feb
JK aibua mambo urais CCM
Esther Mbusi na Aziza Masoud, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kuwaonya wagombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na kuzungumzia mchakato wa kura ya maoni ya Katiba Mpya, wasomi mbalimbali wametoa maoni yao kuhusu hotuba yake.
Aliyekuwa Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Azaveri Lwaitama, alisema rais anashauriwa vibaya kuhusu mchakato wa Katiba Mpya kuelekea katika kura ya maoni.
Alisema tayari viongozi wa dini wamemsihi kutoharakishwa kwa...
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-ICPGTpQhO18/U6mpgVvsvSI/AAAAAAAABQU/1VpcVl92QuM/s72-c/Acting+Minister+for+Finance.jpg)
Mambo mazito
Serikali yasema misamaha ya kodi imetosha CAG kuchunguza iliyoingiwa na wawekezaji Kodi ya PAYEE, ukomo wa mikweche palepale
SERIKALI imesema haitapunguza zaidi kodi kwenye mishahara ya wafanyakazi (PAYE) kwa sasa kutokana na ongezeko la mishahara lililofanywa kwa wafanyakazi wa sekta ya umma hivi karibuni.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ICPGTpQhO18/U6mpgVvsvSI/AAAAAAAABQU/1VpcVl92QuM/s1600/Acting+Minister+for+Finance.jpg)
Aidha serikali imesema umri wa magari yatakayoruhusiwa kisheria kuingizwa nchini utaendelea kuwa miaka minane badala ya 10 kama ilivyopendekezwa kwenye bajeti ya serikali.
Msimamo huo...