Wakati Wengine Wanakula Ujana Flora Mvungi Anatarajia Kujifungua Mtoto wa Pili Hivi Karibuni!
Mwigizaji wa filamu Flora Mvungi, ambae ni mke wa mwanamziki H.Baba anatarajia kujifungua mtoto wa pili hivi karibuni ikiwa ni moja ya mafanikio ya ndoa yao kwa mwaka jana.
H baba amabe ndio mumeo amethibitisha kuwa mke wake Flora Mvungi ni mjamzito na hivyo wanatarajia kupata mtoto wa pili.
Akizungumza na 255 ya XXL jana, H. Baba amesema miongoni mwa mafanikio aliyopata mwaka jana ni pamoja na kumpa ujauzito mwingine mke wake.
“Faida ya mwaka jana ni mwana mama Flora Mvungi kujaa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo530 Sep
Kim Kardashian anatarajia kujifungua mtoto wake wa pili siku ya Christmas
10 years ago
Bongo519 Jan
H.Baba na mke wake Flora Mvungi wanatarajia kupata mtoto wa pili
9 years ago
Mtanzania02 Sep
Prezzo anatarajia kupata mtoto wa pili
NAIROBI, Kenya
NYOTA wa muziki nchini Kenya, Jackson Makini ‘CMB Prezzo’ anatarajia mtoto wa kiume hivi karibuni.
Prezzo amempa jina la Gabriel mtoto huyo kabla hajazaliwa. Msanii huyo mpaka sasa hajaoa, lakini ana mtoto mmoja na sasa anatarajia kupata mtoto wa pili.
“Natarajia mtoto wa kiume siku yoyote, ni furaha kubwa kupata mtoto wa kiume kwa kuwa naamini ataiga mambo yangu mengi, ikiwemo aina ya mavazi ninayopenda kuvaa.
“Nimeamua kumpa jina mapema kabla ya kuzaliwa kwa kuwa najua...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz61mtUTz9nD1KEnSjyJcN5-XP71nTWmkMQWKBqdImnp28FrxBbHG1U*YlvRqtMCB9ylOJUvJcMylsToEEssBdg52/flora.jpg)
FLORA MVUNGI: MVUNGI NDOA MWAKA MMOJA, MTOTO MMOJA
10 years ago
CloudsFM26 Nov
10 years ago
CloudsFM27 Apr
Baada ya Frolah Mvungi kujifungua,ajipanga kuachia filamu mbili
Baada ya kujifungua mtoto wa kiume aitwaye Afrika,mwigizaji wa filamu za Kibongo,Florah Mvungi amejipanga kuachia filamu mbili kwa mpigo.
Mume wa msanii huyo,msanii H.Baba akizungumza kwa niaba ya mkewe alisema kuwa kwa sasa yeye na mkewe ni muda wao wa kufanya kazi kwani wana mpango wa kuachia filamu mbili mpya kwa mpigo ambazo hajazitaja jina.
‘Unajua tulipanga tuzae watoto wawili tunashukuru mipango yetu imetimia sasa ni muda wa kufanya kazi,nitaachia ngoma yangu mpya hivi karibuni na...
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Flora Mvungi: Sijabahatisha
NYOTA wa filamu za Kibongo ‘Bongo Movie’ aliyegeukia muziki wa Bongo Fleva, Flora Mvungi, amesema hajaingia katika tasnia ya muziki huo kwa kubahatisha, kwani alianza kuimba kabla watu hawajamfahamu kupitia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRMtm9nqBqoyq4aA2XmwJLobKW8OkK*0aaIagsc2I0geR5N5t8LY6--srYYixgV4ZQ8-GuSXRq8vF0rV*SCu4xoT/MAHARIYAFLORAMVUNGI1.jpg)
FLORA MVUNGI ADAIWA KUCHEPUKA!
10 years ago
Bongo Movies01 May