Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muhubiri wa Kenya aachiliwa kwa dhamana

Muhubiri mwenye utata James Ng'ang'a ameachiliwa kwa dhama ya 500,000.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Khalida Zia aachiliwa kwa dhamana

Mahakama inayoshughulikia ufisadi nchini Bangladesh imemuachilia kwa dhamana kiongozi mkuu wa upinzani Khaleda Zia.

 

10 years ago

KwanzaJamii

HATIMAYE MANSOUR HIMID AACHILIWA KWA DHAMANA

Zanzibar. Mahakama Kuu ya Zanzibar imemwachia kwa dhamana waziri wa zamani wa SMZ, Mansour Yusuph Himid ikisema hakuna kosa lisilokuwa na dhamana Zanzibar kwa mujibu wa sheria kwa kuwa si hatari kumiliki silaha, bali matumizi yake ndiyo hatari. Uamuzi huo ulitolewa jana na Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar, Abraham Mwampashi katika ombi la dhamana lililofunguliwa kwa hati ya dharura, baada ya Mahakama ya Mkoa chini ya Hakimu Khamis Abdallah Shaban kumnyima dhamana ikisema kosa la...

 

9 years ago

BBCSwahili

Muhubiri ashtakiwa kwa kusababisha kifo

Muhubiri mwenye utata James Ng'ang'a ameshtakiwa kwa kusababisha kifo kupitia uendeshaji wa gari vibaya.

 

9 years ago

BBCSwahili

'Aliyeua' tembo 114 apewa dhamana Kenya

Mahakama nchini Kenya imemuachilia kwa dhamana mshukiwa mkuu wa uwindaji haramu aliyekamatwa na tani mbili za pembe za ndovu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Muhubiri awabaka wanawake akidai kuwaponya

Muhubiri wa zamani aliyedai kuwa na 'nguvu za kuponya' amepewa adhabu ya kifungo cha nje cha miaka ishirini kwa kuwabaka wanawake watatu

 

10 years ago

BBCSwahili

Muhubiri mwislamu afungwa maisha USA

Mhubiri wa kiislamu Abu Hamza amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani kwa makosa ya ugaidi katika mahakama moja mjini New York.

 

9 years ago

GPL

MASHA AACHIWA KWA DHAMANA

Lawrence Masha akiwa na wanachama wa Ukawa baada ya kuachiwa. Baada ya jana kulala mahabusu ya segerea, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha leo ameachiwa kwa dhamana baada ya kutimiza masharti ya dhamana. Masha, ambaye anashitakiwa kwa kosa la kuwazuia Polisi wasifanye kazi ikiwa ni pamoja na kuwatolea lugha ya matusi. Jana alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo alisomewa mashtaka...

 

9 years ago

Mwananchi

Hasanoo huru kwa dhamana

Baada ya kusota rumande kwa zaidi ya miaka mitatu hatimaye Mwenyekiti wa Chama cha Soka Pwani (Corefa), Hassani Othman maarufu kama Hasanoo ameachiwa huru kwa dhamana katika Mahakama ya Kisutu.

 

10 years ago

Habarileo

Wapinga dhamana kwa washitakiwa wa ubakaji

WANAHARAKATI wanaopambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia kupitia mradi wa Gewe, wameitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kufuta dhamana kwa watuhumiwa wa makosa ya ubakaji. Akizungumza na gazeti hili wakati wa tathmini ya mradi huo, mwanaharakati Fatma Issa kutoka kijiji cha Dole Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja, alisema kesi nyingi za ubakaji watuhumiwa wake wanaachiwa huru baada ya kukosekana kwa ushahidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani