Muhubiri wa Kenya aachiliwa kwa dhamana
Muhubiri mwenye utata James Ng'ang'a ameachiliwa kwa dhama ya 500,000.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Khalida Zia aachiliwa kwa dhamana
10 years ago
KwanzaJamii19 Aug
HATIMAYE MANSOUR HIMID AACHILIWA KWA DHAMANA
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Muhubiri ashtakiwa kwa kusababisha kifo
9 years ago
BBCSwahili22 Aug
'Aliyeua' tembo 114 apewa dhamana Kenya
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Muhubiri awabaka wanawake akidai kuwaponya
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
Muhubiri mwislamu afungwa maisha USA
9 years ago
GPLMASHA AACHIWA KWA DHAMANA
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Hasanoo huru kwa dhamana
10 years ago
Habarileo03 Sep
Wapinga dhamana kwa washitakiwa wa ubakaji
WANAHARAKATI wanaopambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia kupitia mradi wa Gewe, wameitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kufuta dhamana kwa watuhumiwa wa makosa ya ubakaji. Akizungumza na gazeti hili wakati wa tathmini ya mradi huo, mwanaharakati Fatma Issa kutoka kijiji cha Dole Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja, alisema kesi nyingi za ubakaji watuhumiwa wake wanaachiwa huru baada ya kukosekana kwa ushahidi.