Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HATIMAYE MANSOUR HIMID AACHILIWA KWA DHAMANA

Zanzibar. Mahakama Kuu ya Zanzibar imemwachia kwa dhamana waziri wa zamani wa SMZ, Mansour Yusuph Himid ikisema hakuna kosa lisilokuwa na dhamana Zanzibar kwa mujibu wa sheria kwa kuwa si hatari kumiliki silaha, bali matumizi yake ndiyo hatari. Uamuzi huo ulitolewa jana na Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar, Abraham Mwampashi katika ombi la dhamana lililofunguliwa kwa hati ya dharura, baada ya Mahakama ya Mkoa chini ya Hakimu Khamis Abdallah Shaban kumnyima dhamana ikisema kosa la...

KwanzaJamii

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Maalim Seif Sharif Hamad, akimtambulisha Mansour Yussuf Himid kwa wanachama na wapenzi wa CUF Kiembesamaki, Unguja, leo

 Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, akimtambulisha Mansour Yussuf Himid kwa wanachama wa Kiembesamaki na kuwaomba wamuunge Mkono leo Unguja Aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki (CCM) Mansour Yussuf Himid, akizungumza katika mkutano wa hadhara wa CUF uliofanyika jimboni humo. Wafuasi na wapenzi wa CUF wakifuatilia mkutano huo wa kumtambulisha Mansour.Wafuasi na wapenzi wa CUF wakifuatilia mkutano huo wa kumtambulisha Mansour.

 

9 years ago

BBCSwahili

Muhubiri wa Kenya aachiliwa kwa dhamana

Muhubiri mwenye utata James Ng'ang'a ameachiliwa kwa dhama ya 500,000.

 

10 years ago

BBCSwahili

Khalida Zia aachiliwa kwa dhamana

Mahakama inayoshughulikia ufisadi nchini Bangladesh imemuachilia kwa dhamana kiongozi mkuu wa upinzani Khaleda Zia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mansour Himid akamatwa Zanzibar

ALIYEKUWA mwakilishi wa CCM wa Jimbo la Kiembe Samaki, Mansour Yusuf Himid, amekamatwa na Jeshi la Polisi Zanzibar. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, Naibu Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai, Zanzibar,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mansour aachiwa kwa dhamana Z’bar

Mahakama Kuu ya Zanzibar imemwachia kwa dhamana waziri wa zamani wa SMZ, Mansour Yusuph Himid ikisema hakuna kosa lisilokuwa na dhamana Zanzibar kwa mujibu wa sheria kwa kuwa si hatari kumiliki silaha, bali matumizi yake ndiyo hatari.

 

10 years ago

GPL

MANSOUR HIMID AJIUNGA RASMI CUF, ZANZIBAR

Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, akimpongeza Mhe. Mansour Yussuf Himid baada ya kuamua kujiunga na chama hicho na kumkabidhi rasmi kadi ya CUF katika viwanja vya Paje, Wilaya ya Kusini Unguja. Mwanachama mpya wa CUF Mansour Yussuf Himid akizungumza na wanachama wenzake , baada ya kujiunga na chama hicho katika viwanja vya Paje, Wilaya ya Kusini… ...

 

10 years ago

Michuzi

MANSOUR HIMID AJIUNGA RASMI CUF,ZANZIBAR

Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, akimpongeza Mhe. Mansour Yussuf Himid baada ya kuamua kujiunga na chama hicho na kumkabidhi rasmi kadi ya CUF katika viwanja vya Paje, Wilaya ya Kusini Unguja.Mwanachama mpya wa CUF Mansour Yussuf Himid akizungumza na wanachama wenzake , baada ya kujiunga na chama hicho katika viwanja vya Paje, Wilaya ya Kusini Unguja.Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, akihutubia mkutano wa hadhara wa chama hicho katika viwanja vya Paje, Wilaya ya Kusini...

 

10 years ago

Mtanzania

Mahakama: Mansour ana haki ya dhamana

Aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yusuf Himid

Aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yusuf Himid

Na Is-haka Omar, Zanzibar

MAHAKAMA Kuu ya Zanzibar, imesema haina pingamizi na ombi la dhamana kwa aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembesamaki, Mansour Himid Yussuf.

Imesema kutokana na ombi hilo, mahakama imebaini kuwa limezingatia vigezo vyote vya kisheria.

Ombi hilo la dhamana liliamuliwa jana  baada ya mawakili wa upande wa utetezi na Serikali kuvutana kisheria mahakamani hapo.

Baada ya mabishano hayo ya kisheria, anayesikiliza ombi...

 

11 years ago

Mtanzania

Mawakili wa Mansour wawasilisha hati ya kuomba dhamana

Aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yusuf Himid

Aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yusuf Himid

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar

MAWAKILI wanaomtetea waziri wa zamani wa Zanzibar, Mansour Yussuf Himid, wamewasilisha rasmi ombi la dhamana chini ya hati ya dharura (certificate of urgency) katika Mahakama Kuu ya Zanzibar ambayo ndiyo yenye uwezo wa kutoa dhamana kwa aina ya makosa aliyoshtakiwa nayo.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Katibu wa Kamati ya Maridhiano Zanzibar, Ismail Jussa Ladhu, ilieleza kuwa mawakili hao, Fatma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani